Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa

Mkuu Lokissa, mimi ni Pasco wa jf, nakuomba usifananishe!, Pasco wa jf akarudin TBC kufanya nini?!. Nana pekee ya kuisaidia TBC ni kwa sisi humu jf tuiandike sana TBC mpaka wakuu wasikie waibadilishe!.

Kuhusu bahasha, nimesema ziko bahasha safi ambazo sio rushwa na ziko bahasha chafu ambazo ni rushwa!. Mpaka kati ya bahasha safi na chafu ni malengo ya hizo bahasha, zikitolewa kwa malengo mabaya, ni rushwa, zikitolewa kwa malengo mazuri ni bahasha safi!.

Hakuna cha malengo wala shabaha, hiyo ni rushwa, nasita kukulaani kwa sababu mafundisho ya dini yangu yananikataza kumlaani mtu, lakini kitendo cha rushwa kutowa au kupokea ni laana kubwa sana.
 
Kama inabidi utengeneza pesa kwa njia hata ya haramu, mimi naweza kukusaidia ushauri wa kutengeza pesa za halali kwa njia ya uandishi na hauna wala hautakuwa na haja tena ya kupokea au kugawa vibahasha vya pesa, utakuwa unalipwa ki halali kwa invoice na utaweza kuitetea popote lakini hii? no way.

Matatizo ya mtu kama wewe ni "exposure" uliyoipata, umeyakuta hayo ya vibahasha kwenye industry na ukaiona ndio norm na sasa unajaribu kuitetea ingawa ni dhambi. Tafadhali sana, achana na hizo rushwa, hutokuwa na amani maisha yako.
 
6. Jee Bahasha za "asante"-Takrima nayo ni rushwa?
Nimeruka number 5 ili kumalizia kundi la mwisho la bahasha safi, hizi zinaitwa bahasha za asante, bahasha hizi waandishi hulipwa kupewa asante kwa kazi nzuri walizofanya, hizi ni kama tip au keep change, hazina uhusiano wowote na kuimfluence bali hizi ni appreciation.
Kulitokea news ya mteja mmoja muhimu alikuwa ana news yake siku ya Alhamisi mchana, akataka magazeti 6 ya Kiingereza, Daily News, Guardian, Citizen, This Day, The Express, na The African. Nikamtajia the Bussiness Times, akasema yeye ofisi yake hawalinunui na wanaliona kama lipolipo tuu.

Siku ilipofika nikawapitia hao waandishi waliochaguliwa nikawapeleka, miongoni mwao kukawepo mwandishi wa Bussiness Times nikamwambia gazeti lako halitakiwi, akaniomba sana aje, nikamkatalia taharibu bajeti, akaomba kuja hata bure bila bahasha!, nikamkubalia!.

Kufika pale waandishi wakajitambulisha, ilipofika zama ya jamaa wa Bussiness Times, yule bosi akamzodoa wewe nani kakuita hapa?, kabla hajajibu, nikaingilia kati kuwa nimemleta mimi, bosi akatoa amri aondoke kwa vile hatamlipa, mimi nikamwambia bosi, nitamlipa mimi!. Hoyu bosi akasema kuna vijigazeti vingine viko viko tuu, vinachapishwa na kuishia kufungia samaki na maadazi!. Hata mimi nilijisikia vibaya!.

Akamuita mzungu wake akazungumza saa nzima!, kuja kumaliza jamaa wa Bussiness Times akaniaga, fasta, nikamlinda, akaondoka zake!. Wale wengine wakasubiria bahasha nene, by the time zimetoka ni saa 10 jioni!. Tukaondoka zetu.

Kesho yake asubuhi, boss kanipigia simu kuniambia asante sana, amesikia news yake imetoka lead story front page na picha kubwa full color ila hajui gazeti gani!. Akiwa njiani kuelekea kazini akanunua Daily News, Guardian, Citizen, This Day, The Express na The African. Kutafuta story hakuona kitu!. Akanipigia tena kuniuliza iko gazeti gani?. Nikamwambia bado sijaliona ila nitakwenda ofisi kwake saa 4.

Nikapitia ubao wa Magazeti ndipo nikaona big headline kwenye Bussiness Times!, of all the papers!. Nikalinunua kwenda nalo huku njia nikawapigia wale wengine wote licha ya bahasha nene, there is nothing!, wote wakasema shauri ya kusubiria bahasha, walichelewa deadline, hivyo wataitoa kesho yake!. Kufika ofisi nikaripoti kwa boss sababu ya kuchelewa na kumkabith the BT, alifurahi na kushukuru sana, ila hakukumbuka ndio yule jamaa aliyemzodoa!.

Kesho yake Jumamosi kucheki magazeti yote hamna kitu!. Nikapiga tena simu na kuuliza kulikoni, ndipo wakanijibu story imekaa kibiashara zaidi, hivyo imewekwa bussiness news, Jumamosi na Jumapili hakuna bussiness news!, hivyo nisubirie mpaka Jumatatu, huku mzungu anaondoka Jumapili anataka kuondoka na news clips zake!. Nilalaumiwa nimemlet down!. Ikabidi Mzungu aondoke na clip moja tuu ya BT!.

Jumatatu kweli magazeti mengine wakatoa, sio front page na sio headline!. Wakati wa postmortem na boss akaishukuru sana BT, akanituma nimtafuteb yule mwandishi amuombe msamaha in person na kuamua kumlipa 5 times more as appreciation!. Hii ni bahasha ya shukrani, it has nothing to to na rushwa!. Zile tuzo mbalimbali wanazopata waandishi zikiandamana na bahasha nene, ni shukrani na sio rushwa!. Waandishi wengine hupewa trips za abroad kama asante kwa kazi nzuri. Bahasha hizi za asante ndio kundi la nmwisho la bahasha safi.

Saa hizi usiku umekuwa mkubwa, kesho nitaakia bahasha chafu ambazo ndizo rushwa na ni za kuogopwa kama ukoma!.
 
Dada yangu FaizaFoxy, hebu muulize Maalim wako Mohammed Said, aliwezaje kuyaandika hayo aliyoaandika na atawezaje kuya print na kuyasambnaza maandishgi yake bila kuwezeshwa?. Ili media zifanye kazi zake vyema ni lazima ziwezeshwe!. Huu uwezeshaji wa media zetu masikini ili zitimize wajibu wake nazo ni bahasha!.

Hivi unajua kwa nini shule la Islamic Seminaries zinafanya vibaya na ndizo shule zinazovuta mkia zikifuatiwa na shule za Wazazi?!. Jee unadhani watoto wa Kiislamu wanazaliwa na akili pungufu ya Wakikrito?!. Hapana!, wote wanazaliwa na akili zawa na wengine hata kuwazidi Wakristu, kwa nini sasa ndio wana end up failures?!. Tena tuna bahati hatujafanya sense walioko magerezani wengi ni wa dini gani, au idadi ya masikini wanaioshi katika umasikini uliotopea wengi ni wa dini gani?!, utashang'aa!. Sababu ni nini?, ni kiwango cha uwezeshaji!. Wenzenu Wakristu wanafanya uwezeshaji kwa taasisi zake huku wakisaidiwa na ile MOU ambayo nayo ni bahasha!.

Media zetu ni masikini za kutupwa bila kuwezeshwa, haziwezi!. Sasa kama uwezeshaji huu unaiuta rushwa!, hebu muulize Rais Kikwete huwa anawapa nini wale waandishi wa habari anao safiri nao?!. Kama kweli kila anaetoa bahasha kwa waandishi lazima aende jela, naomba tuanzie na Ikulu, nami jela nitajipeleka mwenyewe bila hata kusubiri kutafutwa!

Lengo la hii mada ni kuonyesha kuwa kweli bahasha zipo lakini sio kila bahasha ni rushwa!. Ziko bahasha safi za facilitation ambazo lengo lake ni uwezeshaji wa media, hizi sio rushwa!.

You are too low kama mwandishi wa habari, kuanza kuingiza mambo ya dini na mambo ya Mohamed Said, tena huyo wala usiseme, huyo ni author wa vitabu, usitake kudanganya watu, wewe ni kanjanja.

Huna zaidi ya kuwa ni mla rushwa na mgawa rushwa na usitake kuingiza mengine kwa kujitetea. Nakuona unaanza kutaka kupoteza mada kwa kuingiza yasiyokuwemo. Na hiyo MoU inayosema kuwa ni kibahasha basi na wewe tuoneshe MoU yako iko wapi?

Too low, nilikuwa nakuona wa maana kumbe msemo "you cant judge the book by its cover" kwako ndio umehitimisha.
 
Pasco,
Nimeipenda story ya Business Times. Sote katika fani hii tunatakiwa kuwa hivyo. Hudhuria press conference, kimbia ofisini na andika story yako to meet the deadline.
 
Wanabodi,
Kuna hoja ya waandishi wa habari kupokea bahasha ambayo inatafsiriwa vibaya kama rushwa/hongo/chochote/mlungula etc. Mchokoza mada ni Mkuu Lunyungu kama alivyoichokoza hivi


Angalizo, kabla sijaanza kujibu hoja, samahani sana Mkuu Lunyungu kwa kutoijibu thread yako kufuatia thread ile kumchafua member mwingine wa jf, Pascal Mayalla kwa kufananishwa na Pasco wa jf, naowaombeni wachangiaji wa uzi huu, tujikite kwenye issue na sio kwenye watu, pia nakumbushia sheria za jf, mtu kama amejitambulisha yeye ni fulani, naombe tuheshimu utambulisho huo, hata kama unadhani unamjua huyo fulani ndio fulani kiukweli huruhusiwi kumtaja, hiyo ni name calling. Naombeni reference zote kwenye mada hii zitamhusu Pasco wa jf na sio vinginevyo!.

Mkuu Lunyungu, ni kweli waandishi wa habari hupokea bahasha, na mimi kama mwandishi, nimeishazipokea sana, mpaka sasa mimi ndio nazigawa, ila ukweli halisi wa mambo, sio kweli kila bahasha mwandishi anayopokea ni rushwa!. Ziko bahasha waandishi wanapokea sio rushwa na zipo bahasha kweli ni rushwa. Sasa tuanzie hapa, na mimi nitaendesha hilo somo kidogo kidogo kwa kutoa dozi ndogo ndogo mpaka hatimaye mwisho wa siku tutaelewana na mtatuelewa sisi ndugu zenu waandishi.

Mada itakuwa kwenye vipengele kadhaa!.

1. Bahasha za Waandishi ni nini?
2. Jee kuna bahasha aina ngapi?
3. Jee kuna uhalali wa Waandishi kupokea bahasha hizo?.
4. Jee ni bahasha zipi sio rushwa?
5. Jee ni bahasha zipi ni rushwa?
6. Jee Bahasha za "asante"-Takrima nayo ni rushwa?.
7. Jee ni kweli kwa waandishi kupokea bahasha ni kuendekeza njaa?
8. Kuibuka kwa kada ya Makanjanja kufukuzia Bahasha?.
9. Jee ni waandishi ndio waoomba hizo baasha au sources ndio huzitoa wenyewe?.
10. Pasco wa JF na msimamo wa kutetea bahasha!.

Kwa hayo na mengine mengi yatakayojitokeza, fuatana nami katika mada hii ya Waandishi wa Habari na Bahasha!.

Pasco wa jf,

Karibuni sana!.

1. Jee, Bahasha za Waandishi ni nini?
Bahasha za waandishi wa habari, ni fedha zilizowekwa kwenye bahasha ambazo waandishi wa habari hupewa, ama ili wahudhurie mahali, waandike habari, wazue habari fulani isitoke, waandike habari mbaya kuhusu jambo fulani, au waandike habari za kufagilia au hata uzushi. Kwa kifupi bahasha ni fedha waandishi wanazopewa na bahasha nyingine ni za asante tuu ama takrima. Mara nyingi bahasha hizi zimetafsiriwa kama zote ni rushwa, ila ikweli wa mambo, sio kweli bahasha zote ni rushwa, japo nyingine kweli ni rushwa ila sio bahasha zote ni rushwa!.
2. Jee kuna bahasha aina ngapi?
Bahasha ziko za aina nyingi, lakini aina kubwa ambayo ndio most popular ni bahasha ya pesa, "those little brown envelopes'. Lakini bahasha ziko za aiona nyingi kama vile rushwa zilivyo za aina nyingi na pia zinatumia majina tofauti. Bahasha sio lazima iwe pesa?. Ziko bahasha za favours fulani ambapo mwandishi anapewa favours ili afanye positive covarage, facility visit- ni mwandishi anapewa trip fulani hadi nje ya nchi ili kufanya favourable coverage, free bees, kama chakula, vinywaji hutolewa kwa waandishi kama chai, vitafunwa, chakula na vinywaji ili waandishi wakuandike vizuri. Materias kama vizawadi fulani kuanzia vitendea kazi, mavazi, laptops, na wenye bahati zao hupewa zawadi mpaka za magari au kupewa/kujengewa nyumba. Mpaka sasa tunavyozungumzia bahasha hizi, bado tunazungumzia bahasha kama bahasha na hakuna uthibitisho kuwa bahasha hizi ni rushwa!.

3. Jee kuna uhalali wa waandishi kupokea bahasha hizo au kuzidai?.
Jibu ni ndio, kwa zile bahasha ambazo ni halali. Naomba nitaileta justification baada ya kusema bahasha zipi ni halali na baasha zipi ni rushwa!. Sasa zile bahasha za halali za kupokea hizi ni halali tena hata kudaiwa. Na kwa zile bahasha ambazo ni favour, takrima, bakhshish na asante hizi haziombwi wala hazidaiwi, huletwa tuu na wahusika pia naunga mkono bahasha hizi zipokelewe!.
Bahasha mbaya ni zile za rushwa na hizi ndio hata mimi nazipinga!.
4. Jee ni bahasha zipi sio rushwa?.
Nilianza uandishi zamamani enzi za redio ni moja tuu, RTD na magazeti mawili tuu ya Daily News na Uhuru. Wakati huo mimi nilikuwa RTD. Ofisi ilikuwa na magari hivyo tunapelekwa kusubiriwa na kurudishwa. Ukiwa na tukio lako, unaleta gari yako ina pick waandishi na kuwarudisha. Enzi hizo hakuna bahasha!. Ukiwa na safari nje ya mkoa unaleta barua kuwa utangarimia waandishi, hivyo unawalipia usafiri chakula na malazi na kuwarudisha bila bila!.

Vyombo vya habari vilipofumka na kuwa vingi, sasa ikawa sii rahisi kuwapelekea usafiri vyombo vyote na pia matukio ya habari ni mengi, si rahisi kila chombo kupeleka waandishi wake kila mahali, hapa sasa ndio zikaanza bahasha za mwanzo za halali.

Hivyo ukiwa na habari yako ili waandishi waweze kufika, lazima uwapatie usafiri na kwa vile vyombo viko vingi huo usafiri kupita kote utapoteza muda mrefu, then wewe mwenye tukio lako unawapa go ahead waandishi kujitegemea kwa usafiri na wewe utawarudishia naili yao na kuwaongezea nauli ya kurudia na huu ndio mwanzo wa bahasha ambazo ni genuine.

Hivyo bahasha ya usafiri hii ndio bahasha ya kwanza genuine na halali ambayo mwandishi anapewa. Kwa vile vyombo vyenye usafiri wake sio lazima kupewa bahasha za naili. TBC ni miongoni mwa media zenye usafiri wake na mara kibao waandishi wa TBC na baadhi ya media wakimaliza kazi hutimka bila kusubiri bahasha.

Kwa kuanzia wanabodi, naomba tukubaliane kuwa bahasha za usafiri ni genuine kama zinatolewa kwa malengo ya kuwawezesha waa ndishi wafike mahali pa tukio na kurudi. Media zetu ni masikini za kutupwa!, Pamoja na kuwa na vituo vya TV lukuki na vingine viko kwa zaidi ya miaka 10, vituo vyote hivi viko hoi bin taaban kiuchumi na kuna vingine vina survive kwa kudra ya mwenyeenzi Mungu!. Ukiondoa TBC ambayo ni spoon fed, vituo vingine vyote vinavyo survive God knows!. Umasikini wa vituo hivi utaujua kwa kuangalia amount of local programing na quality of creativity na quality of production ni very poor!. Hatuna local series hata moja!. Series zote 100% kwenye TV zetu zote, ni foreign!. Hakuna media yoyote nchini yenye budget ya invetigative stories, Jerry Mura alipoondoka ITV, Usiku wa Habari ukajifia natural death!. Ukiondoa talk show ya Kiti Moto enzi zile, bado sijaona talk show ambayo inaniwahisha nyumbani never to miss it, Dakika 45 ya ITV sasa ni angalau angalau. Jeneral on Monday alitaka kujitahidi lakini wapi!. Talk show zote za studio ni cheap stuff ambazo ndizo only we can afford, redio na magazeti ndio msiseme kabisa!.

Kufuatia umasikini huo, whoever mwenye news yake ambayo iko mbali, lazima awafacilitate waandishi wafike, the easiest facilitation ni kupitia bahasha. Media zote dunia nzima ili ziweze kutimiza wajibu wake ni lazima ziwezeshwe ili ziwawezeshe waandishi wake watimize wajibu wao!. Uwezeshaji wowote wa media, hizi ndizo bahasha zenyewe!. Rais wetu afanyapo ziara za mikoani na hata nje ya nchi, husafiri na pool of journalits ambao lazima wewezeshwe kwa bahasha!. Mkisikia ripota wa ITV, TBC, Chanel Ten au Star TV anaripoti ziara ya rais akiwa nje ya nchi, ukae ukijua chombo chake pekee hakija jeuri ya kumpeleka kuripoti Marekani bila kuwa facilitated na Ikulu!. Kwa maana hiyo mpaka Ikulu inakata panga!.

Mtu asikutanganye eti CNN na vyombo vya habari vya Marekani wanaosafiri kwenye Airforce One na rais Obama, wanasafiri bure!. Wanakatiwa bahasha za nguvu kutoka vyombo vyao na labda hivyo vyombo vyao vinachangia gharama, lakini hizo fedha za vyombo vyao ni mibahasha minene toka ma multanational na matlilateral companies/organizations, lakini the bottom line ni bahasha!.

Kuna watu wanaweza kuleta hoja kuhusu BBC ambacho ndicho chombo pekee cha habari ambacho hakipokea matangazo, hivyo hakipokei bahasha ya mtu!. Kwa wasio jua watafikiri BBC ndio chombo malaika hakipokei bahasha!, No!. BBC wanapokea bahasha kupitia kodi ambayo inakatwa kwa kila mtu aliyeko Uingereza, haijalishi unaisikia au husikilizi redio yake au huangalii tivi yake, unailipia utake usitake!. Hizi ndizo bahasha ambazo BBC inakiburi cha kuwakatia waandishi wake watimize wajibu wao!.

Bahasha za Posho za Vikao nazo Rushwa?.
Tunaendelea na bahasha safi. Hapa Tanzania huwa tunayo vikao, mikutano, semina, warsha na makongamano, vyote hivyo hutengewa posho iitwayo sitting allowances, yaani posho za vikao. Hizi ni pesa halali ambazo zinalipwa kwa kila aliyealikwa. Waandishi wakialikwa kama wajumbe wa vikao hivyo, na wakahudhuria kama wajumbe wengine, mwisho wa siku hulipwa kama wengine na bahasha hizi pia ni halali na nazitetea kwa nguvu zangu zote!.

Kwa msio elewa, wakati wa kikao cha bunge, mtashuhudia vikao, mikutano, semina, warsha na makongamano mengi yakifanyikia Dodoma siku za Jumamosi na Jumapili na Spika huwatangazia wabunge na kusisitiza "utaratibu " utafuatwa, anamaanisha kila atakayehudhuria, atalipwa ile sitting allowance ya bunge ambnayo ilikuwa 80,000 sasa ni 200,000!. Kwenye vikao, mikutano, semina, warsha na makongamano haya, waandishi hualikwa lakini wao kwa vile sio wajumbe, huripoti tuu opening na kutoka nje, hapa sasa ndipo vile vibahasha vya ama transport ama lunch hutolewa na waandishi huishia zao. Posho hizi hazina uhusiano na kuimfluence reporting bali kuwawezesha waandishi watimize wajibu wao!. Hizi pia ni posho halali hivyo bahasha halali ambazo sio rushwa!. Mkiamua kuziita nazo ni rushwa, sawa, ila waanze kwanza hao wabunge watangulie gerezani nasi wanahabari tutawafuatia!.
6. Jee Bahasha za "asante"-Takrima nayo ni rushwa?
Nimeruka number 5 ili kumalizia kundi la mwisho la bahasha safi, hizi zinaitwa bahasha za asante, bahasha hizi waandishi hulipwa kupewa asante kwa kazi nzuri walizofanya, hizi ni kama tip au keep change, hazina uhusiano wowote na kuimfluence bali hizi ni appreciation.
Kulitokea news ya mteja mmoja muhimu alikuwa ana news yake siku ya Alhamisi mchana, akataka magazeti 6 ya Kiingereza, Daily News, Guardian, Citizen, This Day, The Express, na The African. Nikamtajia the Bussiness Times, akasema yeye ofisi yake hawalinunui na wanaliona kama lipolipo tuu.

Siku ilipofika nikawapitia hao waandishi waliochaguliwa nikawapeleka, miongoni mwao kukawepo mwandishi wa Bussiness Times nikamwambia gazeti lako halitakiwi, akaniomba sana aje, nikamkatalia taharibu bajeti, akaomba kuja hata bure bila bahasha!, nikamkubalia!.

Kufika pale waandishi wakajitambulisha, ilipofika zama ya jamaa wa Bussiness Times, yule bosi akamzodoa wewe nani kakuita hapa?, kabla hajajibu, nikaingilia kati kuwa nimemleta mimi, bosi akatoa amri aondoke kwa vile hatamlipa, mimi nikamwambia bosi, nitamlipa mimi!. Hoyu bosi akasema kuna vijigazeti vingine viko viko tuu, vinachapishwa na kuishia kufungia samaki na maadazi!. Hata mimi nilijisikia vibaya!.

Akamuita mzungu wake akazungumza saa nzima!, kuja kumaliza jamaa wa Bussiness Times akaniaga, fasta, nikamlinda, akaondoka zake!. Wale wengine wakasubiria bahasha nene, by the time zimetoka ni saa 10 jioni!. Tukaondoka zetu.

Kesho yake asubuhi, boss kanipigia simu kuniambia asante sana, amesikia news yake imetoka lead story front page na picha kubwa full color ila hajui gazeti gani!. Akiwa njiani kuelekea kazini akanunua Daily News, Guardian, Citizen, This Day, The Express na The African. Kutafuta story hakuona kitu!. Akanipigia tena kuniuliza iko gazeti gani?. Nikamwambia bado sijaliona ila nitakwenda ofisi kwake saa 4.

Nikapitia ubao wa Magazeti ndipo nikaona big headline kwenye Bussiness Times!, of all the papers!. Nikalinunua kwenda nalo huku njia nikawapigia wale wengine wote licha ya bahasha nene, there is nothing!, wote wakasema shauri ya kusubiria bahasha, walichelewa deadline, hivyo wataitoa kesho yake!. Kufika ofisi nikaripoti kwa boss sababu ya kuchelewa na kumkabith the BT, alifurahi na kushukuru sana, ila hakukumbuka ndio yule jamaa aliyemzodoa!.

Kesho yake Jumamosi kucheki magazeti yote hamna kitu!. Nikapiga tena simu na kuuliza kulikoni, ndipo wakanijibu story imekaa kibiashara zaidi, hivyo imewekwa bussiness news, Jumamosi na Jumapili hakuna bussiness news!, hivyo nisubirie mpaka Jumatatu, huku mzungu anaondoka Jumapili anataka kuondoka na news clips zake!. Nilalaumiwa nimemlet down!. Ikabidi Mzungu aondoke na clip moja tuu ya BT!.

Jumatatu kweli magazeti mengine wakatoa, sio front page na sio headline!. Wakati wa postmortem na boss akaishukuru sana BT, akanituma nimtafuteb yule mwandishi amuombe msamaha in person na kuamua kumlipa 5 times more as appreciation!. Hii ni bahasha ya shukrani, it has nothing to to na rushwa!. Zile tuzo mbalimbali wanazopata waandishi zikiandamana na bahasha nene, ni shukrani na sio rushwa!. Waandishi wengine hupewa trips za abroad kama asante kwa kazi nzuri. Bahasha hizi za asante ndio kundi la nmwisho la bahasha safi.

Saa hizi usiku umekuwa mkubwa, kesho nitaakia bahasha chafu ambazo ndizo rushwa na ni za kuogopwa kama ukoma!.


Una uhakika wa hayo maneno kwenye red?
 
6. Jee Bahasha za "asante"-Takrima nayo ni rushwa?
Nimeruka number 5 ili kumalizia kundi la mwisho la bahasha safi, hizi zinaitwa bahasha za asante, bahasha hizi waandishi hulipwa kupewa asante kwa kazi nzuri walizofanya, hizi ni kama tip au keep change, hazina uhusiano wowote na kuimfluence bali hizi ni appreciation.
Kulitokea news ya mteja mmoja muhimu alikuwa ana news yake siku ya Alhamisi mchana, akataka magazeti 6 ya Kiingereza, Daily News, Guardian, Citizen, This Day, The Express, na The African. Nikamtajia the Bussiness Times, akasema yeye ofisi yake hawalinunui na wanaliona kama lipolipo tuu.

Siku ilipofika nikawapitia hao waandishi waliochaguliwa nikawapeleka, miongoni mwao kukawepo mwandishi wa Bussiness Times nikamwambia gazeti lako halitakiwi, akaniomba sana aje, nikamkatalia taharibu bajeti, akaomba kuja hata bure bila bahasha!, nikamkubalia!.

Kufika pale waandishi wakajitambulisha, ilipofika zama ya jamaa wa Bussiness Times, yule bosi akamzodoa wewe nani kakuita hapa?, kabla hajajibu, nikaingilia kati kuwa nimemleta mimi, bosi akatoa amri aondoke kwa vile hatamlipa, mimi nikamwambia bosi, nitamlipa mimi!. Hoyu bosi akasema kuna vijigazeti vingine viko viko tuu, vinachapishwa na kuishia kufungia samaki na maadazi!. Hata mimi nilijisikia vibaya!.

Akamuita mzungu wake akazungumza saa nzima!, kuja kumaliza jamaa wa Bussiness Times akaniaga, fasta, nikamlinda, akaondoka zake!. Wale wengine wakasubiria bahasha nene, by the time zimetoka ni saa 10 jioni!. Tukaondoka zetu.

Kesho yake asubuhi, boss kanipigia simu kuniambia asante sana, amesikia news yake imetoka lead story front page na picha kubwa full color ila hajui gazeti gani!. Akiwa njiani kuelekea kazini akanunua Daily News, Guardian, Citizen, This Day, The Express na The African. Kutafuta story hakuona kitu!. Akanipigia tena kuniuliza iko gazeti gani?. Nikamwambia bado sijaliona ila nitakwenda ofisi kwake saa 4.

Nikapitia ubao wa Magazeti ndipo nikaona big headline kwenye Bussiness Times!, of all the papers!. Nikalinunua kwenda nalo huku njia nikawapigia wale wengine wote licha ya bahasha nene, there is nothing!, wote wakasema shauri ya kusubiria bahasha, walichelewa deadline, hivyo wataitoa kesho yake!. Kufika ofisi nikaripoti kwa boss sababu ya kuchelewa na kumkabith the BT, alifurahi na kushukuru sana, ila hakukumbuka ndio yule jamaa aliyemzodoa!.

Kesho yake Jumamosi kucheki magazeti yote hamna kitu!. Nikapiga tena simu na kuuliza kulikoni, ndipo wakanijibu story imekaa kibiashara zaidi, hivyo imewekwa bussiness news, Jumamosi na Jumapili hakuna bussiness news!, hivyo nisubirie mpaka Jumatatu, huku mzungu anaondoka Jumapili anataka kuondoka na news clips zake!. Nilalaumiwa nimemlet down!. Ikabidi Mzungu aondoke na clip moja tuu ya BT!.

Jumatatu kweli magazeti mengine wakatoa, sio front page na sio headline!. Wakati wa postmortem na boss akaishukuru sana BT, akanituma nimtafuteb yule mwandishi amuombe msamaha in person na kuamua kumlipa 5 times more as appreciation!. Hii ni bahasha ya shukrani, it has nothing to to na rushwa!. Zile tuzo mbalimbali wanazopata waandishi zikiandamana na bahasha nene, ni shukrani na sio rushwa!. Waandishi wengine hupewa trips za abroad kama asante kwa kazi nzuri. Bahasha hizi za asante ndio kundi la nmwisho la bahasha safi.

Saa hizi usiku umekuwa mkubwa, kesho nitaakia bahasha chafu ambazo ndizo rushwa na ni za kuogopwa kama ukoma!.

Sasa hiyo ndio hadithi ya bahasha safi, that is total corruption, no more no less. Samahani sana lakini huo ni uozo unaojisifia hapo juu. Sina hata la kusema! Jamani Pasco kumbe ni bigger problem than I thought!
 
You are too low kama muandishi wa habri, kuanzan kuingiza mambo ya dini mambo ya Mohamed Said, tena huyo wala usiseme, huyo ni author wa vitabu, usitake kudanganya watu, wewe ni kanjanja.

Huna zaidi ya kuwa ni mla rushwa na mgawa rushwa na usitake kuingiza mengine kwa kujitetea. Nakuona unaanza kutaka kupoteza mada kwa kuingiza yasiyokuwemo. Na hiyo MoU inayosema kuwa ni kibahsha basi na wewe tuoneshe MoU yako iko wapi?

Too low, nilikuwa nakuona wa maana kumbe msemo "you cant judge the book by its cover" kwako ndio umehitimisha.
FaizaFoxy kalale saa hizi ni usiku mkubwa!. Nakupa tofauti ya bahasha za uwezeshaji na matokeo ya kutowezeshwa unapiga kelele!. Nakudhibitishia hata wewe, wazazi wako wasingekuwezesha na ilmu na Mungu kukujali mume, you never know saa hizi ungekuwa wapi!.

Nakuambia ziko bahasha kwa waandishi wanapewa ili kuwezeshwa kutekeleza majukumu yao, wewe unashiupalia ni rushwa!. Nakushauri muulize maalim suala la uwexzeshaji, mwandishi wa habari ni swa na mwandishi wa vitabu anaelewa maana ya uwezeshaji, wewe huelewi ndio maana kila uwezeshaji kwako ni rushwa!.
Haya nimekubali, mimi Pasco wa JF ni mla rushwa mkubwa!. Haya kalale!.
 
Pasco
Mtu asikutanganye eti CNN na vyombo vya habari vya Marekani wanaosafiri kwenye Airforce One na rais Obama, wanasafiri bure!. Wanakatiwa bahasha za nguvu kutoka vyombo vyao na labda hivyo vyombo vyao vinachangia gharama, lakini hizo fedha za vyombo vyao ni mibahasha minene toka ma multanational na matlilateral companies/organizations, lakini the bottom line ni bahasha!.

Kuna watu wanaweza kuleta hoja kuhusu BBC ambacho ndicho chombo pekee cha habari ambacho hakipokea matangazo, hivyo hakipokei bahasha ya mtu!. Kwa wasio jua watafikiri BBC ndio chombo malaika hakipokei bahasha!, No!. BBC wanapokea bahasha kupitia kodi ambayo inakatwa kwa kila mtu aliyeko Uingereza, haijalishi unaisikia au husikilizi redio yake au huangalii tivi yake, unailipia utake usitake!. Hizi ndizo bahasha ambazo BBC inakiburi cha kuwakatia waandishi wake watimize wajibu wao!.

Kutaka kuhalalisha dhambi zake anatupa hadithi za kusadikika zisizo na vielelezo, itabidi uwajibu BBC na CNN na ubalozi wa US kwa kumtaja Obama kuwa mtoa rushwa kwa waandishi wa habari. Nna uhakika watakusoma.

Na hiyo haihalalishi upokeaji wako wa rushwa!
 
FaizaFoxy kalale saa hizi ni usiku mkubwa!. Nakupa tofauti ya bahasha za uwezeshaji na matokeo ya kutowezeshwa unapiga kelele!. Nakudhibitishia hata wewe, wazazi wako wasingekuwezesha na ilmu na Mungu kukujali mume, you never know saa hizi ungekuwa wapi!.

Nakuambia ziko bahasha kwa waandishi wanapewa ili kuwezeshwa kutekeleza majukumu yao, wewe unashiupalia ni rushwa!. Nakushauri muulize maalim suala la uwexzeshaji, mwandishi wa habari ni swa na mwandishi wa vitabu anaelewa maana ya uwezeshaji, wewe huelewi ndio maana kila uwezeshaji kwako ni rushwa!.
Haya nimekubali, mimi Pasco wa JF ni mla rushwa mkubwa!. Haya kalale!.

Kesho ntakupa darsa kuhusu rushwa halafu wewe uende kwa Maalim wako unaemtegemea akueleze vizuri.

Huwezi kuhalalisha haramu hata uwe nani. Huna zaidi ya dhambi tupu zilizokujaa na leo umejiumbua mwenyewe, kamuamrishe mkeo akalale, usintafute saa hizi.
 
Una uhakika wa hayo maneno kwenye red?
Mkuu Wacha1, hivi ulidhani wale waandishi wanaosafiri na Obama wanasafiri bure, wanakula bure na kulala bure?. Si wanapewa bahasha nene huko makazini kwao! Wanaotoa hizo pesa za hizo bahasha nene ni kina nani?.

Au unatazama na kusikiliza BBC ukijua ni bure tuu kama sadaka?!. Kila aliye Uingereza anakatwa pesa za kusikiliza na kuangalia BBC, usikilize, usisikilize, utazame, usitazame, unakatwa!.
 
Kutaka kuhalalisha dhambi zake anatupa hadithi za kusadikika zisizo na vielelezo, itabidi uwajibu BBC na CNN na ubalozi wa US kwa kumtaja Obama kuwa mtoa rushwa kwa waandishi wa habari. Nna uhakika watakusoma.

Na hiyo haihalalishi upokeaji wako wa rushwa!
Ningekuwa nawategemea kuomba viza, labda ningeogopa!, mama nina viza za miaka mine mine hii ni ya tatu!, bi mkubwa yuko kule, so US is my second home!. Mnamuogopa sana Obama?!.
 
Pasco,
Nimeipenda story ya Business Times. Sote katika fani hii tunatakiwa kuwa hivyo. Hudhuria press conference, kimbia ofisini na andika story yako to meet the deadline.

Huyo alinyimwa bahasha hakungoja! alikatiwa kitu kidogo na Pasco kabla ya vibahasha, mbona hujamalizia?
 
Kesho ntakupa darsa kuhusu rushwa halafu wewe uende kwa Maalim wako unaemtegemea akueleze vizuri.

Huwezi kuhalalisha haramu hata uwe nani. Huna zaidi ya dhambi tupu zilizokujaa na leo umejiumbua mwenyewe, kamuamrishe mkeo akalale, usintafute saa hizi.
Kwa darsa nitakusikiliza, ila nakuomba na wewe, nikikufikisha mahali ukaelewa kuwa sio kila bahasha ni rushwa, nakuomba ukubali, usiwe king'ang'anizi!
 
Ningekuwa nawategemea kuomba viza, labda ningeogopa!, mama nina viza za miaka mine mine hii ni ya tatu!, bi mkubwa yuko kule, so US is my second home!. Mnamuogopa sana Obama?!.

Hata akiwa wapi, wewe ni mla rushwa na mgawa rushwa ni mtu hatari sana kwenye jamii, na kama mama anayasoma haya nadhani saa hizi matumbo yanamkatika lakini kuna msemo "nyoka hazai kinyonga" inawezekna hii tabia ya kufanya maovu na kujitetea na kutetea maovu ipo kwenye damu. Hata ujitetee vipi leo umejiumbuwa, mwenyeewe.

Lunyungu inabidi nimpe hongera nyingi sana kwa kukutukunyuwa mpaka ukabwabwaja hapa.
 
Kwa darsa nitakusikiliza, ila nakuomba na wewe, nikikufikisha mahali ukaelewa kuwa sio kila bahasha ni rushwa, nakuomba ukubali, usiwe king'ang'anizi!

Mpaka sasa hakuna ulichonikinaisha hata kimoja, na ikiwa itatokea nikaliona, basi mimi ndio wa kwanza kukiri hiyo ni halali yako. Lakini hili la kupewa vibahasha na "source" hata uniambie vipi, haliniingii kabisa.
 
Sasa hiyo ndio hadithi ya bahasha safi, that is total corruption, no more no less. Samahani sana lakini huo ni uozo unaojisifia hapo juu. Sina hata la kusema! Jamani Pasco kumbe ni bigger problem than I thought!

Jamaa is a disaster mi nashangaa hata mnavyopoteza muda kubishana nae,hamtaelewana hata mpaka kesho,dizaini yuko kama mlokole flani hivi,akishaingiza kitu kichwani ni ngumu kukitoa....kila la kheri mnaohangaika nae!
 
Hata akiwa wapi, wewe ni mla rushwa na mgawa rushwa ni mtu hatari sana kwenye jamii, na kama mama anayasoma haya nadhani saa hizi matumbo yanamkatika lakini kuna msemo "nyoka hazai kinyonga" inawezekna hii tabia ya kufanya maovu na kujitetea na kutetea maovu ipo kwenye damu. Hata ujitetee vipi leo umejiumbuwa, mwenyeewe.

Lunyungu inabidi nimpe hongera nyingi sana kwa kukutukunyuwa mpaka ukabwabwaja hapa.
Swali dogo kwako, rushwa ni fedha yoyote kwenye bahasha haijalishi ni kwa malengo yepi au rushwa ni fedha inayotolewa kwa malengo?.
 
Back
Top Bottom