FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,820
- 109,103
Mkuu Lokissa, mimi ni Pasco wa jf, nakuomba usifananishe!, Pasco wa jf akarudin TBC kufanya nini?!. Nana pekee ya kuisaidia TBC ni kwa sisi humu jf tuiandike sana TBC mpaka wakuu wasikie waibadilishe!.
Kuhusu bahasha, nimesema ziko bahasha safi ambazo sio rushwa na ziko bahasha chafu ambazo ni rushwa!. Mpaka kati ya bahasha safi na chafu ni malengo ya hizo bahasha, zikitolewa kwa malengo mabaya, ni rushwa, zikitolewa kwa malengo mazuri ni bahasha safi!.
Hakuna cha malengo wala shabaha, hiyo ni rushwa, nasita kukulaani kwa sababu mafundisho ya dini yangu yananikataza kumlaani mtu, lakini kitendo cha rushwa kutowa au kupokea ni laana kubwa sana.