Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,794
- 71,212
Waandishi wengi wapatwapo na misukosuko wanapiganiwa sana na Wanaharakati, wanasiasa hasa wa upinzani na wananchi wa kawaida mfano wa karibu ni Mwandishi Kabendera na Azory Gwanda.
Ila jambo la kusikitisha hatuoni nguvu yao ingawa wana nafasi nzuri kwa kalamu yao kupigania wengine wanaponyanyaswa hasa Wanasiasa wa upinzani na wanaharakati? Wananchi wanapotendewa yasiyo ya haki kwao sio habari kama hakuna bahasha? Mbona wamebaki na tabia ya kulamba nyayo za watawala wakiendekeza matumbo yao tuu?
Waandishi wajitathimini la sivyo itafika wakati nao wataachwa kwenye hilo fungu walilochagua
Ila jambo la kusikitisha hatuoni nguvu yao ingawa wana nafasi nzuri kwa kalamu yao kupigania wengine wanaponyanyaswa hasa Wanasiasa wa upinzani na wanaharakati? Wananchi wanapotendewa yasiyo ya haki kwao sio habari kama hakuna bahasha? Mbona wamebaki na tabia ya kulamba nyayo za watawala wakiendekeza matumbo yao tuu?
Waandishi wajitathimini la sivyo itafika wakati nao wataachwa kwenye hilo fungu walilochagua