Waandishi wa Habari mna matatizo gani? Mnashindwa hata na wasanii, nini tatizo?

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Haiwezekani mwenzenu anapotea tu hivi hivi huku ninyi mko kimya kila mmoja na hamsini zake, mnaitia aibu sana tasnia ya habari nchini. Sina imani kabisa kama hata 80% ya wanahabari wetu wanazijua haki zao. Yaani mmeishia kupiga kelele zisizokua na impact yeyote kila mmoja anaogopa wasiojulikana.Kwakweli inashangaza sana.

Ndugu Azori Gwanda mwandishi wa mwananchi amepotea lakini jitahada za waandishi wa habari wenyewe kuhakikisha kua mwenzao anapatikana si za kuridhisha hata kidogo. Mazingira aliyopotea Azori hayana tofauti na alivyopotea msanii Roma Katoliki, lakini kwakua wasanii waliamua kuungana kwa umoja wao na kuamua nini wafanye, hatimaye walifanikiwa kumpata mwenzao. Lakini waandishi wetu wa habari kila mtu na hamsini zake.

Unajua hata magaidi wanapoteka mtu hua kuna kitu wanahitaji kutoka kwa maadui zao ili wamwachie mateka huru, ikiwa kuna chanzo cha kuanza kutafuta ni maringira gani alipotelea mtu ni lazima ukweli utafahamika kua yuko wapi, na ikishajulika yuko wapi basi kuna haja ya kuwauliza au kuwalikia waliomshikilia wamwachie hata kama ni kwa makubaliano flani flani. Lakini waandishi wa habari bongo kila mmojana na ugali wake bhaasi.

Yawezekana kabisa kuna mgawanyiko mkubwa sana baina ya wabahari wetu, ndio unaowafanya washindwe kuungana na kujuya yu-wapi mwenzao. TEF,MCT na vyombo vingine vinavyowakilishia taaluma hii ni vimebaki kama majina tuu, viongozi wake kila mmoja na maslahi yake.


Nimeamini kabisa lile suala la kutaka kila mwandishi walao awe na shahada ya kwanza ya chuo kikuu ni sawa na ni zuri pengine watu watajielewa.


CC
Paskali Mayala
Mwanahabari huru
 
Aiseee kumbe bado hajapatikana

Ila najua itasaidia wakitangaza mengine juu yake ya masaa/siku/mahala ya mwisho kuonekana hata kusema mavazi aliyokuwa amevaaa n.k.
Hii ikisambazwa huwa inasaidia sana mtu tu alikuwepo maeneo hayo au vipi kuweza kukumbuka alichokiona na kuwasilisha.

Kuna mengi sana katika kufatilia haya haswa waandishi wa habari.. kama kuna mtu alijuwa anamweleza kitu pia anaweza kukumbuka nini alisema juu ya habari fulani au fulani na ikisenwa inapimwa uzito wake na wahusika pia.. ni mengi

Natumaini atapatikana
 
Haiwezekani mwenzenu anapotea tu hivi hivi huku ninyi mko kimya kila mmoja na hamsini zake, mnaitia aibu sana tasnia ya habari nchini. Sina imani kabisa kama hata 80% ya wanahabari wetu wanazijua haki zao. Yaani mmeishia kupiga kelele zisizokua na impact yeyote kila mmoja anaogopa wasiojulikana.Kwakweli inashangaza sana.

Ndugu Azori Gwanda mwandishi wa mwananchi amepotea lakini jitahada za waandishi wa habari wenyewe kuhakikisha kua mwenzao anapatikana si za kuridhisha hata kidogo. Mazingira aliyopotea Azori hayana tofauti na alivyopotea msanii Roma Katoliki, lakini kwakua wasanii waliamua kuungana kwa umoja wao na kuamua nini wafanye, hatimaye walifanikiwa kumpata mwenzao. Lakini waandishi wetu wa habari kila mtu na hamsini zake.

Unajua hata magaidi wanapoteka mtu hua kuna kitu wanahitaji kutoka kwa maadui zao ili wamwachie mateka huru, ikiwa kuna chanzo cha kuanza kutafuta ni maringira gani alipotelea mtu ni lazima ukweli utafahamika kua yuko wapi, na ikishajulika yuko wapi basi kuna haja ya kuwauliza au kuwalikia waliomshikilia wamwachie hata kama ni kwa makubaliano flani flani. Lakini waandishi wa habari bongo kila mmojana na ugali wake bhaasi.

Yawezekana kabisa kuna mgawanyiko mkubwa sana baina ya wabahari wetu, ndio unaowafanya washindwe kuungana na kujuya yu-wapi mwenzao. TEF,MCT na vyombo vingine vinavyowakilishia taaluma hii ni vimebaki kama majina tuu, viongozi wake kila mmoja na maslahi yake.


Nimeamini kabisa lile suala la kutaka kila mwandishi walao awe na shahada ya kwanza ya chuo kikuu ni sawa na ni zuri pengine watu watajielewa.


CC
Paskali Mayala
Mwanahabari huru

Great post

inauma sana kwa kweli mtu kupotea like that

halafu, alikuwa anatoa maandiko gani??
 
Aiseee kumbe bado hajapatikana

Ila najua itasaidia wakitangaza mengine juu yake ya masaa/siku/mahala ya mwisho kuonekana hata kusema mavazi aliyokuwa amevaaa n.k.
Hii ikisambazwa huwa inasaidia sana mtu tu alikuwepo maeneo hayo au vipi kuweza kukumbuka alichokiona na kuwasilisha.

Kuna mengi sana katika kufatilia haya haswa waandishi wa habari.. kama kuna mtu alijuwa anamweleza kitu pia anaweza kukumbuka nini alisema juu ya habari fulani au fulani na ikisenwa inapimwa uzito wake na wahusika pia.. ni mengi

Natumaini atapatikana
Mwambie boss wako Bashite tunamtaka huyu mwandishi akiwa hai.
 
Great post

inauma sana kwa kweli mtu kupotea like that

halafu, alikuwa anatoa maandiko gani??
Mkuu wewe ni mnafki sana, hivi unaanzaje kumuuliza mwanaume mwenzio kama yuko period ilhali kaongea kitu chenye logic?

Anyway [HASHTAG]#KATUBU[/HASHTAG] maana Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema anasema "hata kama dhambi zenu ni nyekundu kama damu atazisafisha zingae kama theluji." ( ISAYA 1:18 )
 
Mkuu wewe ni mnafki sana, hivi unaanzaje kumuuliza mwanaume mwenzio kama yuko period ilhali kaongea kitu chenye logic?

Anyway [HASHTAG]#KATUBU[/HASHTAG] maana Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema anasema "hata kama dhambi zenu ni nyekundu kama damu atazisafisha zingae kama theluji." ( ISAYA 1:18 )
Mkuu, huyu ni mnafki anajulikana haya usiumize kichwa.
 
Inavyonekana mwandishi alipata ukweli wa kile kilichokuwa kinaendelea kule kibiti tofauti na polisi wanavyotoa taarifa ndio maana wakamuwahi mapema lakini mbaya zaidi wakaja na uongo mwingine eti watoto zaidi ya elfu hawajulikani walipo.

Uongo siku zote ni solution ya mtu mfupi na pia haudumu.
 
Waandishi gani?
Hawa hawa ambao wamekuwa wakitukanwa miaka nenda rudi? Alianza rais mstaafu B. W. Mkapa (mwandishi mwenzao) akawaita makanjanja, wakafuatia wengi tu, na hivi karibuni Nkamia (mwandishi mwenzao). Wakachukua hatua nyepesi zilizoyeyuka baadaye.

Aliuawa Mwangosi, wakaishia kutoa matamko mepesi.

Clouds media walivamiwa na mkuu wa mkoa was Dar, wakaishia kusalitiana.

Hata hili la mwandiahi wa Mwananchi usitegemee lolote.

Wamegawanyika mno, hawajiamini kuliko kawaida
 
Waandishi wameshindwa kumlilia mwenzao dunia ikajua, waliomteka wakajua! Utekaji wa mwandishi huyo ni tukio la kisiasa. Matukio ya kisiasa yanajibiwa kisiasa. Waandishi mlitakiwa kuact kwa nguvu kwa kuifanya issue kuwa mbele ya magazeti kila siku na kuandamana mfululizo ili mpigwe mabomu na virungu hata kama serikali ingewathibiti lkn wangepata somo kwamba kuteka mwandishi sio jambo la mchezomchezo. Kwa mulioonyesha kwa Mwandishi huyu mtapuuzwa sana na taaluma yenu hiyo mtabaki kutumiwa tu na watu kupatia kiki na mkijifanya kwenda tofauti na wafalme mtaendelea kupotezwa kirahisi.
 
Aiseee kumbe bado hajapatikana

Ila najua itasaidia wakitangaza mengine juu yake ya masaa/siku/mahala ya mwisho kuonekana hata kusema mavazi aliyokuwa amevaaa n.k.
Hii ikisambazwa huwa inasaidia sana mtu tu alikuwepo maeneo hayo au vipi kuweza kukumbuka alichokiona na kuwasilisha.

Kuna mengi sana katika kufatilia haya haswa waandishi wa habari.. kama kuna mtu alijuwa anamweleza kitu pia anaweza kukumbuka nini alisema juu ya habari fulani au fulani na ikisenwa inapimwa uzito wake na wahusika pia.. ni mengi

Natumaini atapatikana
Kweli mkuu cocochannel, atapatikana tuu...mtekaji ni mume wako makonda na Mungu wako makofuri kwa msaada wa policcm.
 
Tusiwalaumu sana wanahabari,wao hawatoki Kenya wala Uarabun.Ni sehemu ya sisi jamii iliyojaa uoga, ubinafsi na unafiki.

Kama ambavyo sisi kama Taifa tunaishia kunung'unika na kutia tia huruma kila tunapotendwa visivyo na watawala,jamii ambayo tumekubali kuendeshwa kwa matukio,ndivyo ambavyo wanahabari kwa kuwa ni sehemu ya jamii hii wanafanya.

Mangapi yamefanywa na watawala yakatuumiza,lakini tuliishia kulalamika na kusikitika tu na mwishowe tukasahau.

Tukubali sisi kama Taifa ni jamii ya hovyo ilyojaa kila aina ya unafiki na ubinafsi,ni jamii isiyoweza kujikusanya,kukusanya nguvu na kupigania maslahi ya Taifa,ni jamii ambayo inaridhishwa na umbea,uwongo,jamii isiyoweza kutafakari mambo ya msingi kwa Taifa...Jamii yetu ni Lemavu.

Hivyo tusitarajie kupata wanahabari majasiri hata siku moja.
 
Aiseee kumbe bado hajapatikana

Ila najua itasaidia wakitangaza mengine juu yake ya masaa/siku/mahala ya mwisho kuonekana hata kusema mavazi aliyokuwa amevaaa n.k.
Hii ikisambazwa huwa inasaidia sana mtu tu alikuwepo maeneo hayo au vipi kuweza kukumbuka alichokiona na kuwasilisha.

Kuna mengi sana katika kufatilia haya haswa waandishi wa habari.. kama kuna mtu alijuwa anamweleza kitu pia anaweza kukumbuka nini alisema juu ya habari fulani au fulani na ikisenwa inapimwa uzito wake na wahusika pia.. ni mengi

Natumaini atapatikana
Watekaji na wauaji ni lumumba wenzio angekua mtu wa lumumba ndio kapotea au kuuawa tungeona moto wa sironga na mambo ya sasa....fanyeni siasa safi mauaji,vitisho huwa havidumu muulizeni amin na mobutu
 
Back
Top Bottom