toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,795
- 10,152
sasa tusaidiane kuwatoa upumbavu wao..kiukweli ni nafasi hadimu sana mtu kama JK kukaa nae kiti kimoja alafu maswali unayouliza mmhhh kiukweli salama atuombe radhi kabisa
umeona eeeeh ??
sasa tusaidiane kuwatoa upumbavu wao..kiukweli ni nafasi hadimu sana mtu kama JK kukaa nae kiti kimoja alafu maswali unayouliza mmhhh kiukweli salama atuombe radhi kabisa
Angalia maudhui ya kipindi kwanza,Next time ukiwa na mgeni kama huyu toa taarifa mapema. Ambia watazamaji watume maswali yachuje baki nayo yale muhimu tu, then uliza kama unakosa cha kuuliza
Jambo la kwanza ambalo nataka mfahamu,ni kwamba hicho kipindi kina sera zake na kina mwenye kipindi,hivyo huyo salama ni lazima azingatie hayo.Pili unapomhoji mtu mwenye wadhifa kama j.k ni lazima mkubaliane naye rasimu ya maswali,huzuki tu na maswali utakayoWaandishi wa habari wa Tanzania hawana weledi kabisa kabisa.
Nimeangalia mahojiano ya Rais Mstaafu na Salama Jabir kwakweli inasikitisha mno. It is a Golden opportunity wasted.
Mtu unapata nafasi ya kuzungumza na Rais badala ya kuuliza maswali yenye tija na kutufanya watazamaji tujifunze mambo ya msingi ya kitaifa wakati kuna mambo kadhaa ya kupata opinion yake, unaishia kumuuliza Rais eti tofauti ya kuwa babu na baba ni ipi? Au unazungumziaje kifo cha Kobe Bryant. Jamani?
Next time ukiwa na mgeni kama huyu toa taarifa mapema. Ambia watazamaji watume maswali yachuje baki nayo yale muhimu tu, then uliza kama unakosa cha kuuliza.
Mnatukosea Sana waandishi wa habari kutuletea mambo rahisi rahisi tu kujaza ubongo wetu.
Salma Jabir ni msanii tu kama wale wa Bongo Fleva, yaani hana maswali ya maana hata kidogo....utangazaji Tanzania siku hizi hauna umakini hata kidogo.Waandishi wa habari wa Tanzania hawana weledi kabisa kabisa.
Nimeangalia mahojiano ya Rais Mstaafu na Salama Jabir kwakweli inasikitisha mno. It is a Golden opportunity wasted.
Mtu unapata nafasi ya kuzungumza na Rais badala ya kuuliza maswali yenye tija na kutufanya watazamaji tujifunze mambo ya msingi ya kitaifa wakati kuna mambo kadhaa ya kupata opinion yake, unaishia kumuuliza Rais eti tofauti ya kuwa babu na baba ni ipi? Au unazungumziaje kifo cha Kobe Bryant. Jamani?
Next time ukiwa na mgeni kama huyu toa taarifa mapema. Ambia watazamaji watume maswali yachuje baki nayo yale muhimu tu, then uliza kama unakosa cha kuuliza.
Mnatukosea Sana waandishi wa habari kutuletea mambo rahisi rahisi tu kujaza ubongo wetu.