Waandishi wa Habari kupakiwa kwenye gari za Serikali kwenda kuripoti habari ni rushwa

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,704
6,499
RIP waandishi walio fariki kwenye ajari ya msafara wa mkuu wa Mkoa.

Turudi kwenye Maada, huwa sielewi inawezekana vipi waandishi wanadandia usafiri wa Viongozi na kwenda kureport habari zao.

Kwa kupewa tu kift, lazima habari yenyewe impambe vilivyo alie kupa lift, huwezi tarajia negative habari kutoka kwenye mwandishi ulie mlipia hadi usafiri na saa zingine hadi posho wanapewa na hao hao viongozi.

Ndo maana kwa saaa juna asilimia kubwa ya habari za kusifia tu kuanzia juu hadi Chini ni kuabudu na kutukuza.
 
Trillion 1.3 lazima tuimbe mapambio ya kusifu na kutukuza.Utasikia haijawahi kutokea tangu tupate uhuru madarasa 47 matundu ya choo 38 na zahanati 4 zimekamilika kwa 95%.

Wasichowezakukuambia Zanzibar wamepewa 230 billion yenye ukubwa wa eneo 1.666 km na watu 1.5 million huku Mkoa wa Mwanza ukubwa wa eneo 3.655 na idadi ya watu 2.8 million ukiambulia 15 billion.
 
Trillion 1.3 lazima tuimbe mapambio ya kusifu na kutukuza.Utasikia haijawahi kutokea tangu tupate uhuru madarasa 47 matundu ya choo 38 na zahanati 4 zimekamilika kwa 95%.

Wasichowezakukuambia Zanzibar wamepewa 230 billion yenye ukubwa wa eneo 1.666 km na watu 1.5 million huku Mkoa wa Mwanza ukubwa wa eneo 3.655 na idadi ya watu 2.8 million ukiambulia 15 billion.

^Lakini hiyo Zenj ni serikali, tofauti na Mwanza. Gharama za kuendeshea serikali unazijua? Muungano unaupenda ama hauupendi? Hiyo ndiyo gharama ya ndoa. Uvumilivu tafadhali.^~ Sauti kutoka Pemba.
 
^Lakini hiyo Zenj ni serikali, tofauti na Mwanza. Gharama za kuendesha serikali inazijua? Muungano unaupenda ama hauupendi? Hiyo ndiyo gharama ya ndoa. Uvumilivu tafadhali.^~ Sauti kutoka Pemba.

Hizi fedha zimekopwa na Serekali ya JMT,katika makubaliano baina ya Serekali ya muungano na Zanzibar wanastahili 4.5% tu.

Mwisho fedha hizi zitalipwa na Serekali ya JMT Zanzibar hawatoi hata ndururu.

Fedha hizi badala ya kutumika kwa malengo sahihi ndio hizi tunatumia kupamba watu kwamba tumshukuru fulani katoa hiki ama kile.
 
Hizi fedha zimekopwa na Serekali ya JMT,katika makubaliano baina ya Serekali ya muungano na Zanzibar wanastahili 4.5% tu...
Mkuu kuna ushahidi kua Zanzibar hailipi share yake ya mkopo?

Una hakika siku zote Zanzibar inapata 4.5% yake kama inavyotakiwa na sheria?

Unauhakika fedha hizo zinatumika vibaya kinyume na malengo yaliyokusudiwa?
 
Hizi fedha zimekopwa na Serekali ya JMT,katika makubaliano baina ya Serekali ya muungano na Zanzibar wanastahili 4.5% tu...
Hizo zote ni hearsays. Una hakika gani hazitarudi? Kama Zenj wamekopa kutoka Bara, then watakuwa wanalipa kidogokidogo. Or, better yet, 2025 wakatupatia tena Rais mwingine, ikawa ndiyo shukrani na fidia ya huo mkopo?

Twendeni taratibu bila jazba wala mihemko, ^two-tar-fee-car two!^ Huu mchezo wa wakubwa hauhitaji hasira ^car-bee-sir!^
 
Back
Top Bottom