Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,281
- 2,423
Vipi umeacha kuripoti mambo yanayo andikwa kwenye THE ECONOMIST maana yanamchafua msukuma mwenzio..kama ulivyoripoti ya Kabendera!Wanabodi
Matukio ya Waandishi wa Habari Kukamatwa na Polisi katika utekelezaji wa majukumu yao, yameelezwa baadhi ni uonevu tuu wa vyombo vya dola, hivyo umetolewa mwito kwa Serikali na mamlaka zake, kuacha uonevu kuwaonea waandishi wa habari, hivyo serikali imetakiwa kutenda haki kwa kuzingatia uhuru wa habari, na kuheshimu haki za binadamu.
Wito huo umetolewa kwenye mjadala wa kipindi cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachotangazwa mubashara na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi.
Kwa wenye nafasi, angalia Star TV, wengine andamana nami
P.