Waandishi wa Habari Kukamatwa na Polisi ni Uonevu!. Serikali Yatakiwa Kutenda Haki Kwa Kuheshimu Uhuru wa Habari, na Haki za Binadamu-Jicho Letu.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,466
113,548
Wanabodi

Matukio ya Waandishi wa Habari Kukamatwa na Polisi katika utekelezaji wa majukumu yao, yameelezwa baadhi ni uonevu tuu wa vyombo vya dola, hivyo umetolewa mwito kwa Serikali na mamlaka zake, kuacha uonevu kuwaonea waandishi wa habari, hivyo serikali imetakiwa kutenda haki kwa kuzingatia uhuru wa habari, na kuheshimu haki za binadamu.

Wito huo umetolewa kwenye mjadala wa kipindi cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachotangazwa mubashara na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi.

Kwa wenye nafasi, angalia Star TV, wengine andamana nami

P.
 
Wanabodi
Matukio ya Waandishi wa Habari Kukamatwa na Polisi katika utekelezaji wa majukumu yao, yameelezwa baadhi ni uonevu tuu wa vyombo vya dola, hivyo umetolewa mwito kwa Serikali na mamlaka zake, kuacha uonevu kuwaonea waandishi wa habari, hivyo serikali imetakiwa kutenda haki kwa kuzingatia uhuru wa habari, na kuheshimu haki za binadamu.
Wito huo umetolewa kwenye mjadala wa kipindi cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachotangazwa mubashara na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi.
Kwa wenye nafasi, angalia Star TV, wengine andamana nami
P.
Umesahau ulipoitwa Dodoma kutokana na maoni yako ukiwa mtanzania mwenye haki ya kutoa maoni!
 
Wanabodi

Matukio ya Waandishi wa Habari Kukamatwa na Polisi katika utekelezaji wa majukumu yao, yameelezwa baadhi ni uonevu tuu wa vyombo vya dola, hivyo umetolewa mwito kwa Serikali na mamlaka zake, kuacha uonevu kuwaonea waandishi wa habari, hivyo serikali imetakiwa kutenda haki kwa kuzingatia uhuru wa habari, na kuheshimu haki za binadamu.

Wito huo umetolewa kwenye mjadala wa kipindi cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachotangazwa mubashara na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi.

Kwa wenye nafasi, angalia Star TV, wengine andamana nami

P.

Naangalia kuna jamaa wamemweka katikati lakini anachomoa!...yeye anatetea "spade ibaki spade"
 
Wanabodi
Matukio ya Waandishi wa Habari Kukamatwa na Polisi katika utekelezaji wa majukumu yao, yameelezwa baadhi ni uonevu tuu wa vyombo vya dola, hivyo umetolewa mwito kwa Serikali na mamlaka zake, kuacha uonevu kuwaonea waandishi wa habari, hivyo serikali imetakiwa kutenda haki kwa kuzingatia uhuru wa habari, na kuheshimu haki za binadamu.
Wito huo umetolewa kwenye mjadala wa kipindi cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachotangazwa mubashara na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi.
Kwa wenye nafasi, angalia Star TV, wengine andamana nami
P.
....imetakiwa kuacha kuwaonea waandishi wa habari na iwatendee haki.....
Ondoa mrundikano wa hivyo, hivyo, wewe ni mwandishi mzuri uliyebobea.
Karihu vaveja.
 
Wewe Pascal Mayalla ndio mnafiki mkubwa kabisa.Na hiki ulichokiandika hapa kinathibitisha unafiki wako.
Wewe ndio uliesababisha Erick Kabendera kukamatwa na sio tu kukamatwa bali kutaka kupotezwa .

Leo hapa unakuja kutuambia nini?
 
Wachangia wa Mwanzo ni Aloys Nyanda, Mansoor, na Leonard Boniface Mapuli, Dar es Salaam yuko nguli Kamanda Manyerere Jacton.

Mjadala ni moto.
P.
 
1566626113240.jpeg
 
Wanabodi

Matukio ya Waandishi wa Habari Kukamatwa na Polisi katika utekelezaji wa majukumu yao, yameelezwa baadhi ni uonevu tuu wa vyombo vya dola, hivyo umetolewa mwito kwa Serikali na mamlaka zake, kuacha uonevu kuwaonea waandishi wa habari, hivyo serikali imetakiwa kutenda haki kwa kuzingatia uhuru wa habari, na kuheshimu haki za binadamu.

Wito huo umetolewa kwenye mjadala wa kipindi cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachotangazwa mubashara na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi.

Kwa wenye nafasi, angalia Star TV, wengine andamana nami

P.


Haki ianze kutendwa na hao wanaoogopa kuandikwa, kwanini wanavikwepa, kuvihujumu na kuvionea vyombo vya habari kama wanasimamia haki na wanatenda kazi zao kwa uadilifu, mtu akitenda jema litaonekana jema na vyombo vya habari vitaandika jema kama lilivyo, kadhalika baya liandikwe kwa ubaya uleule ambao jicho la habari limeona ili kusahihisha makosa yasijirudie na kuleta athari kwa jamii tetewa.
 
Wanabodi

Matukio ya Waandishi wa Habari Kukamatwa na Polisi katika utekelezaji wa majukumu yao, yameelezwa baadhi ni uonevu tuu wa vyombo vya dola, hivyo umetolewa mwito kwa Serikali na mamlaka zake, kuacha uonevu kuwaonea waandishi wa habari, hivyo serikali imetakiwa kutenda haki kwa kuzingatia uhuru wa habari, na kuheshimu haki za binadamu.

Wito huo umetolewa kwenye mjadala wa kipindi cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachotangazwa mubashara na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi.

Kwa wenye nafasi, angalia Star TV, wengine andamana nami

P.
Nyie wenyewe waadishi ndo mnapaswa kupigania haki zenu bila kugawanyika, kifikra na kivitendo.....lakini tatizo la waadishi wahabari Tz ni njaa nakua 'unproffessional' wanatumika na wanasiasa kwa malipo kidogo tu,
 
Wanabodi

Matukio ya Waandishi wa Habari Kukamatwa na Polisi katika utekelezaji wa majukumu yao, yameelezwa baadhi ni uonevu tuu wa vyombo vya dola, hivyo umetolewa mwito kwa Serikali na mamlaka zake, kuacha uonevu kuwaonea waandishi wa habari, hivyo serikali imetakiwa kutenda haki kwa kuzingatia uhuru wa habari, na kuheshimu haki za binadamu.

Wito huo umetolewa kwenye mjadala wa kipindi cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachotangazwa mubashara na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi.

Kwa wenye nafasi, angalia Star TV, wengine andamana nami

P.
Je waanshi wa habari wakitenda kosa wafanyweje? Hivi waandishi wote wanafuata maadili ya uandishi? Hakuna hata anaye kwenda kinyume?
 
Manyerere anasisitiza msingi Mkuu wa uandishi wa habari ni kusema ukweli, kuandika ukweli kwa kuzingatia misingi na maadili ya uandishi wa habari.

Kukamatwa kwa mwandishi aliyekamatwa Dar na kupelekwa Iringa kwa kuripoti unyama waliofanya polisi huko Iringa kwa watuhumiwa. Huyo mwandishi ametimiza wajibu wake kwa kuiandika hii habari kwa waledi, ali balance kila upande, hivyo kukamatwa kwa mwandishi huyu kumeelezwa kuwa ni uonevu tuu.

Hivyo serikali imetakiwa kuwa himililivu kuambiwa ukweli wasiopenda kuusikia na kusisitizwa kuzingatia na kuheshimu taaluma ya habari na haki za binaadam.
P
 
Manyerere amelaani tabia mbaya ya jeshi la kuwanyanyasa waandishi wa habari katika kutimiza majukumu yao kwa kujiona wao ndio kila kitu halafu waandishi they are nothing. Amesisisiza vyombo vya habari kuzingatia maadili na vyombo vya dola kuheshimu taaluma ya habari, akitolea mfano wa habari hiyo ya Polisi Iringa, Mwandishi ametimiza wajibu wake kwa kuibalance hiyo story, hivyo hicho kilichofanyika ni uonevu tuu.

Manyerere amekwenda mbali zaidi kwa kueleza kwa vile tukio hilo la Iringa, wahusika ni polisi, polisi wana mtindo wa kulindana hivyo haikutegemewa RPC akubali, lakini kwa vile mwandishi aliwahoji wahusika waliotendewa unyama huo na kuthibitishwa na ripoti ya dakitari kuwa wahusika wamepata majeraha sehemu husika kutokana na udhalilishaji huo, hivyo habari hiyo imekamilika kwa mizania zote za kihabari. Hivyo kukamatwa kwa mwandishi huyo ni uonevu tuu.
P
 
Manyerere amevitaka vyombo vya dola kuwa stahimilivu kwa habari za ukweli wasiopenda kuusikia na kuzitumia kufanya uchunguzi wa ukweli wa tukio hilo hivyo kulisafisha jeshi la Polisi linalochafuliwa na askari wachache wasiozingatia sheria.

Akatolea mfano wa baadhi ya habari za uchunguzi gazeti lao la Jamhuri linazoibua, habari nyingine zinalisaidia taifa na amekiri serikali ya Magufuli kuwa ni serikali sikivu inayozifanyia kazi taarifa nyingi za uchunguzi za madudu yanayoibuliwa.

Hata hivyo nguli mkongwe Kamanda Manyerere Jacton aliasa waandishi wa habari, pamoja na jukumu la kuusema ukweli, waandishi pia wanapaswa kuongozwa na Uzalendo na utaifa katika kuusema ukweli kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, na kutolea mfano kutangaza habari za vita, utaifa unatangulizwa mbele hivyo sio lazima kila ukweli usemwe bali ule ukweli tuu wenye maslahi kwa taifa.
P
 
Back
Top Bottom