Waandishi wa habari jifunzeni kuvaa mavazi yanayoendana na Matukio mnayoyafanyia Coverage

Kabulala

JF-Expert Member
Oct 13, 2019
695
935
Ndugu waandishi,

Nimekua nikifuatilia KAZI zenu hasa za kwenye TV zenu za YouTube na kugundua wengi wenu mavazi yenu hayawatanabaishi kama wataaluma/ watu wenye Ku-command respect kutoka Kwa vyanzo vyenu mnavyochukua habari hasa zile za kisiasa au stream/wadau wenu mnakopereka habari.

Natambua wengi wenu bado ni vijana na wengi wenu mnapenda Sana Kuvaa kisasa lakini nahisi uvaaji wenu unaweza ukamperekea Yule MTU mnayemuhoji kutokuwachukulia serious. Imagine mgombea wa Urais au Ubunge anawaita kwenye press conference na mnatambua ni Tukio la kisiasa lakini mnaenda wengine mmevaa casual tuu(jezi za timu za soccer za magharibi na sandals).

Sidhani outlook yenu inaonesha utanashati si tuu Kwa macho lakini pia Kwa Taaluma yenu.

Nashauri jaribuni kuwa na muonekano wa kuvutia kikazi ili muweze Kuleta mvuto Kwa wadau wenu, binafsi nisingependa kumwona presenter akiwa kavalia jezi za timu akiniletea taarifa za kisiasa au kiuchumi ata kama Mimi pia ni shabiki wa timu husika.. Shati nadhifu na Tai simple ingependeza..si kutuvalia matishirts yenye maudhui yasiyoendana na habari mnazotuletea.

Samahani kama nimewakwaza ila ni kwa ajili ya kuboresha tasnia yenu ili iendane na Karne hii.
 
Ndugu waandishi,

Nimekua nikifuatilia KAZI zenu hasa za kwenye TV zenu za YouTube na kugundua wengi wenu mavazi yenu hayawatanabaishi kama wataaluma/ watu wenye Ku-command respect kutoka Kwa vyanzo vyenu mnavyochukua habari hasa zile za kisiasa au stream/wadau wenu mnakopereka habari.

Natambua wengi wenu bado ni vijana na wengi wenu mnapenda Sana Kuvaa kisasa lakini nahisi uvaaji wenu unaweza ukamperekea Yule MTU mnayemuhoji kutokuwachukulia serious. Imagine mgombea wa Urais au Ubunge anawaita kwenye press conference na mnatambua ni Tukio la kisiasa lakini mnaenda wengine mmevaa casual tuu(jezi za timu za soccer za magharibi na sandals).

Sidhani outlook yenu inaonesha utanashati si tuu Kwa macho lakini pia Kwa Taaluma yenu.

Nashauri jaribuni kuwa na muonekano wa kuvutia kikazi ili muweze Kuleta mvuto Kwa wadau wenu, binafsi nisingependa kumwona presenter akiwa kavalia jezi za timu akiniletea taarifa za kisiasa au kiuchumi ata kama Mimi pia ni shabiki wa timu husika.. Shati nadhifu na Tai simple ingependeza..si kutuvalia matishirts yenye maudhui yasiyoendana na habari mnazotuletea.

Samahani kama nimewakwaza ila ni kwa ajili ya kuboresha tasnia yenu ili iendane na Karne hii.
NAKANJANGA KATIKA UBORA WAO
 
Unakuta ripota wa habari ana kitambi kikubwa halafu kavaa shati ya kitenge na yale mapete yao makubwa vidoleni halafu anatangaza
 
Ndugu waandishi,

Nimekua nikifuatilia KAZI zenu hasa za kwenye TV zenu za YouTube na kugundua wengi wenu mavazi yenu hayawatanabaishi kama wataaluma/ watu wenye Ku-command respect kutoka Kwa vyanzo vyenu mnavyochukua habari hasa zile za kisiasa au stream/wadau wenu mnakopereka habari.

Natambua wengi wenu bado ni vijana na wengi wenu mnapenda Sana Kuvaa kisasa lakini nahisi uvaaji wenu unaweza ukamperekea Yule MTU mnayemuhoji kutokuwachukulia serious. Imagine mgombea wa Urais au Ubunge anawaita kwenye press conference na mnatambua ni Tukio la kisiasa lakini mnaenda wengine mmevaa casual tuu(jezi za timu za soccer za magharibi na sandals).

Sidhani outlook yenu inaonesha utanashati si tuu Kwa macho lakini pia Kwa Taaluma yenu.

Nashauri jaribuni kuwa na muonekano wa kuvutia kikazi ili muweze Kuleta mvuto Kwa wadau wenu, binafsi nisingependa kumwona presenter akiwa kavalia jezi za timu akiniletea taarifa za kisiasa au kiuchumi ata kama Mimi pia ni shabiki wa timu husika.. Shati nadhifu na Tai simple ingependeza..si kutuvalia matishirts yenye maudhui yasiyoendana na habari mnazotuletea.

Samahani kama nimewakwaza ila ni kwa ajili ya kuboresha tasnia yenu ili iendane na Karne hii.
CLOUDS FM/TV wanaongoza
 
Mwandishi anahojiana na waziri au kiongozi fulani amevaa suti maridadi halafu yeye mwandishi kavaa jeans kata kundu na T-shirt yenye maandishi kifuani ama mgongoni yakisomeka "Gays' Club"..!!

Yaani yeye anaona poa tu, hajali kabisa. Njoo kichwani, hamna kitu na utawagundua kuwa kichwani ni " blank" kwa namna wanavyouliza maswali yao....!

Kwenye eneo hili, wachache sana wako very competent....
 
Ndugu waandishi,

Nimekua nikifuatilia KAZI zenu hasa za kwenye TV zenu za YouTube na kugundua wengi wenu mavazi yenu hayawatanabaishi kama wataaluma/ watu wenye Ku-command respect kutoka Kwa vyanzo vyenu mnavyochukua habari hasa zile za kisiasa au stream/wadau wenu mnakopereka habari.

Natambua wengi wenu bado ni vijana na wengi wenu mnapenda Sana Kuvaa kisasa lakini nahisi uvaaji wenu unaweza ukamperekea Yule MTU mnayemuhoji kutokuwachukulia serious. Imagine mgombea wa Urais au Ubunge anawaita kwenye press conference na mnatambua ni Tukio la kisiasa lakini mnaenda wengine mmevaa casual tuu(jezi za timu za soccer za magharibi na sandals).

Sidhani outlook yenu inaonesha utanashati si tuu Kwa macho lakini pia Kwa Taaluma yenu.

Nashauri jaribuni kuwa na muonekano wa kuvutia kikazi ili muweze Kuleta mvuto Kwa wadau wenu, binafsi nisingependa kumwona presenter akiwa kavalia jezi za timu akiniletea taarifa za kisiasa au kiuchumi ata kama Mimi pia ni shabiki wa timu husika.. Shati nadhifu na Tai simple ingependeza..si kutuvalia matishirts yenye maudhui yasiyoendana na habari mnazotuletea.

Samahani kama nimewakwaza ila ni kwa ajili ya kuboresha tasnia yenu ili iendane na Karne hii.
Mkuu, ninadhani changamoto kubwa ni kipato kwa maana vijana bado ni wadogo hawa na magazeti siku hizi watu hawanunui sana kama zamani.
 
Ndugu waandishi,

Nimekua nikifuatilia KAZI zenu hasa za kwenye TV zenu za YouTube na kugundua wengi wenu mavazi yenu hayawatanabaishi kama wataaluma/ watu wenye Ku-command respect kutoka Kwa vyanzo vyenu mnavyochukua habari hasa zile za kisiasa au stream/wadau wenu mnakopereka habari.

Natambua wengi wenu bado ni vijana na wengi wenu mnapenda Sana Kuvaa kisasa lakini nahisi uvaaji wenu unaweza ukamperekea Yule MTU mnayemuhoji kutokuwachukulia serious. Imagine mgombea wa Urais au Ubunge anawaita kwenye press conference na mnatambua ni Tukio la kisiasa lakini mnaenda wengine mmevaa casual tuu(jezi za timu za soccer za magharibi na sandals).

Sidhani outlook yenu inaonesha utanashati si tuu Kwa macho lakini pia Kwa Taaluma yenu.

Nashauri jaribuni kuwa na muonekano wa kuvutia kikazi ili muweze Kuleta mvuto Kwa wadau wenu, binafsi nisingependa kumwona presenter akiwa kavalia jezi za timu akiniletea taarifa za kisiasa au kiuchumi ata kama Mimi pia ni shabiki wa timu husika.. Shati nadhifu na Tai simple ingependeza..si kutuvalia matishirts yenye maudhui yasiyoendana na habari mnazotuletea.

Samahani kama nimewakwaza ila ni kwa ajili ya kuboresha tasnia yenu ili iendane na Karne hii.
Picha tafadhali
 
Mwandishi anahojiana na waziri au kiongozi fulani amevaa suti maridadi halafu yeye mwandishi kavaa jeans kata kundu na T-shirt yenye maandishi kifuani ama mgongoni yakisomeka "Gays' Club"..!!

Yaani yeye anaona poa tu, hajali kabisa. Njoo kichwani, hamna kitu na utawagundua kuwa kichwani ni " blank" kwa namna wanavyouliza maswali yao....!

Kwenye eneo hili, wachache sana wako very competent....
true
 
Mkuu, ninadhani changamoto kubwa ni kipato kwa maana vijana bado ni wadogo hawa na magazeti siku hizi watu hawanunui sana kama zamani.
Shati zuri,Tai, Suruali na kiatu kizuri gharama yake haiwezi kuzidi TSH 60,000/= Equipment wanazotumia sio Chini ya TSH 1,000,000/= .... watoto wa shule wanavaa smarter kuliko waandishi hawa.... nadhani wako reckless.
 
Back
Top Bottom