Kwa kweli hii picha ya huyu jamaa mimi huwa inanichefuaga sana, sasa ina maana hawa waandishi hawana picha ingine au ndio tuseme huyu jamaa ndio sura yake hii?
Kwa kweli hii picha ya huyu jamaa mimi huwa inanichefuaga sana, sasa ina maana hawa waandishi hawana picha ingine au ndio tuseme huyu jamaa ndio sura yake hii?
Ile picha inayotoka nafikiri ndo wameiona iko poa zaidi, sasa ukitaka hizo zingine kazi kwako, utakimbia maana hillo sura limekaa ka jizi fulani la dhahabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.