technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Angalia hizo habari mbili zinazokinzana kwenye gazeti moja uku wanapinga Mbowe kutaka kila Mtanzania achanjwe.
Habari ya pili pale chini wanawaambia Watanzania wachangamkie fursa ya chanjo.
Nani uwa ananunu magazeti ya hivi? Na wanaowaajiri hawa waandishi wanawaajiri kwa vigezo gani?
Nchi hii ina shinda sana sana!
Habari ya pili pale chini wanawaambia Watanzania wachangamkie fursa ya chanjo.
Nani uwa ananunu magazeti ya hivi? Na wanaowaajiri hawa waandishi wanawaajiri kwa vigezo gani?
Nchi hii ina shinda sana sana!