The Stig
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,113
- 1,105
Inasikitisha jinsi waandishi wa BBC wanavyoacha ku-cover suala la mgomo wa madaktari. Vile vile, inasikitisha jinsi wanavyotumika kutangaza ushinda wa CCM hata kabla ya uchaguzi kufanyika.
Leo hii, manersi wa Kenya wamegoma. Tanzania wamegoma madaktari mpaka wa Cancer. Lakini ukisikiliza BBC, ni coverage ya Kenya tu. Inanifanya niamini kuwa waandishi wao DSM wamehongwa kulificha hili suala, au wameahidiwa kitu kwa utumishi wao kwa CCM
Leo hii, manersi wa Kenya wamegoma. Tanzania wamegoma madaktari mpaka wa Cancer. Lakini ukisikiliza BBC, ni coverage ya Kenya tu. Inanifanya niamini kuwa waandishi wao DSM wamehongwa kulificha hili suala, au wameahidiwa kitu kwa utumishi wao kwa CCM