Waandishi na wachambuzi wa michezo ni wanafiki, wakiongozwa na Kitenge

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,180
103,672
Wakati Simba wanaelekea katika kufanya mabadiliko ya uwendeshaji wa klabu hio kulitokea Makundi matatu
1 Waandishi wa Habari za Michezo
2 Watangazaji wa Habari za Michezo
3 Wachambuzi wa Habari za Michezo

Makundi haya kwa Umoja wao yote yaliungana kuiponda klabu ya Simba na hasa muwekezaji Mo Dewji
Wengine walifika mbali zaidi kwa kuonyesha kuwa hili jambo la uwekezaji halifai na halina faida yoyote ile na kuionyesha jamii kuwa Mo Dewji ni kama vile ni mnyonyaji na anataka kuimiliki Klabu ya Simba pasi na hio klabu kupata faida yoyote ile

-Maulid Kitenge* aliamua kuongoza japo la wanahabari wake kumpa muda mrefu Mzee Kilomoni ili tu ionekane kuwa Simba imeporwa na Mzee kilomoni anachokisimamia yupo sahihi. Ilifikia wakati kipindi chake cha michezo mada ni Simba na FCC tu yaani yeye alijipambanua ni mfuasi wa wapinga mabadiliko ya Simba.

Ni kweli, ukweli huchelewa sana kueleweka leo Yanga wemefuata yaleyale waliyokuwa wakiyapinga hao Waandishi, watangazaji na wachambuzi wa habari za michezo.

Na hao hao wote bila ya chembe ya aibu wameisifia sana Yanga kama vile hili jambo ni jipya hapa Tanzania. Ukweli mpira wa Tanzania unahitaji uvumilivu kama walionao Viongozi Wanachama, Mashabiki na Wachezaji wa Simba licha ya juhudi kubwa ya kuliinua na kulipigania soka letu kimataifa bado Simba inapigwa vita sana na baadhi ya watu hasa Waandishi na Wachambuzi wa habari za michezo

Licha ya vitimbi vyote hivi tunawaambia bado mtaiga kila zuri au kila lililofanywa na Simba katika kuelekea mafanikio yenu kubwa acheni roho mbaya michezo si UADUI Michezo ni FURAHA na kizuri kiigwe na kibaya kiachwe.
 
Mchakato wa Yanga uko tofauti kidogo na wa simba, japo lengo la michakato ni kufikia mabadiliko ya kiutendaji.

Mpaka hatua hii ilipofika kwa club ya yanga, bado muwekezaji hajajulikana atakuwa nani.yoyote ananafasi ya kuwekeza kwenye club ya yanga licha ya mchakato kufadhiliwa na GSM.

Mchakato wa simba ulikuwa tofauti kidogo..anaesimamia mchakato wa mabadiliko, tayari amechukua jukumu la kuiendesha club bila mchakato kukamilika. Na ananguvu kiasi cha kuover shadow uwepo wa mwenyekiti wa wanachama wenye asilimia 51. Majority hawamjui hata kwa jina mwenye kiti wa Simba wa sasa.

Kitendo hiki cha MO kuchukua usukani wa club kwa asilimia 100 kabla mchakato haujakamilika ndicho kinacholeta ukakasi kule FCC. Maana anaweza kutumia nafasi yakekutengeneza mazingira yatakayompa favor yeye zaidi wakati xlub inaingia kwenye mabadiliko.

Lakini jambo la pili, ni mchakato wa kumpata mwekezaji. Club ya simba ilitangaza zabuni ya kupata muewekezaji. Masharti ya muewekezaji yalikuwa kwenye tender document, na the highest bidder ndie alitakiwa kupewa timu. MO aliwazidi wenzie kwa kuwekeza bn 20. Ili ushindi wake uwe sahihi, alipaswa kutoa iyo pesa akabidhiwe club. Kitendo cha kusema anapisha ukaguzi wa mali za timu ni kinyume na utaratibu kwa sababu alipaswa kulijua hilo kabla hajasubmit tender document.ili wakati anabid thamani ya uwekezaji wake awe ameshafanya feasibility study ya thaman ya club nakujua bn20 ni sahihi hapa mtu unaweza ukajiuliza alifikiaje bid ya bn 20 wakati hakui thamani ya club, mali na madeni yake.bahati mbaya zaidi mshiriki wa tender anatoa masharti badala ya yeye kuafiki na kutimiza masharti ya tenda.

Kwaiyo, inaonekana alitumia njia yaulaghai kushinda tender na hakuwa tayari kuwekeza. Hii imewanyima fursa wawekezaji wengine, ambao either walibid pesa kidogo, lakini walikuwa tayari kuitoa instantly.

Yanga wanaenda vizuri...so far Mwenyekiti wao bado yuko firm kuongoza club.GSM nao wanabaki kama wafadhili mpaka hatua itakapokamilika.
 
Wadaawa FC malizeni kesi yenu kwanza FCC, kuna makandokando mengi sana hayajakamilika msiite wachambuzi na watangazaji ni Wanafiki

Suala la uendeshaji wa timu kisasa halikwepeki kwa wale wenye 'mbavu nene' kiuchumi
 
Mabadiliko ya Simba yamekwama Yanga hawana Cha kuiga. Bwanyenye wa Simba alitaka kutumia njia ya mkato kujimilikisha Simba. Wenye timu yao Waka acha kupambana kwenye Media Waka anza kupambana kimya kimya na wanaelekea kufanikiwa. Bwanyenye haamini macho yake Kama wazee wenye timu wame mkwamisha.
 
Simba walianzisha Simba day utopolo wakaiga.

Simba wakafanya mabadiliko ya uendeshaji utopolo wakaiga.

Simba is university of football in Tanzania
Wewe Ndio mbumbumbu +aliyekwambia Simba Ndio mwanzilishi wa mchakato wa mabadiliko ni nani? Soma dogo , uongeze maarifa.
 
Kama unavyoipiga vita Yanga wewe na genge lako. Kila wakati mnapokezana tu kuanzisha tred na genge lako. Mada zenu ni Yanga tu.
Hapa tred zinazohusiana na mpira nyingi ni zenu mashabiki wa simba. Mbaya zaidi sio kwa nia ya kushauri,kurekebisha au kuipeleka mbele club ya simba,bali nia ni Yanga tu mwanzo mwisho.
Mnapishana tu wewe unapotakiwa utamke simba unaweka Yanga. Laiti kama mngeifuta Yanga kichwani mwenu. Hizi nguvu zote wekeza kushauri maboresho ya simba,isingekuwa simba hii tena yenye watu wenye maneno mengiiii. Vitendo empty. Mashabiki wa simba mna mdomo hatari.
Mbaya zaidi mnalia lia sana kila mahala,nyie mashabiki wa simba mkiongozwa na manara. Mnabeba mpaka cd kwenda kwenye media.
Mnachangia kwa kiasi kikubwa sana kurudisha mpira wa bongo nyuma. Mna mdomo sana simba
Mpaka hapo jiulize kwanza je hufanani na hao?. .Kwa hiyo ujue tu “Mpiga vita haulizi mwenzie”. ”Kila mwamba ngoma............”
 
Mchakato wa Yanga uko tofauti kidogo na wa simba, japo lengo la michakato ni kufikia mabadiliko ya kiutendaji.

Mpaka hatua hii ilipofika kwa club ya yanga, bado muwekezaji hajajulikana atakuwa nani.yoyote ananafasi ya kuwekeza kwenye club ya yanga licha ya mchakato kufadhiliwa na GSM.

Mchakato wa simba ulikuwa tofauti kidogo..anaesimamia mchakato wa mabadiliko, tayari amechukua jukumu la kuiendesha club bila mchakato kukamilika. Na ananguvu kiasi cha kuover shadow uwepo wa mwenyekiti wa wanachama wenye asilimia 51. Majority hawamjui hata kwa jina mwenye kiti wa Simba wa sasa.

Kitendo hiki cha MO kuchukua usukani wa club kwa asilimia 100 kabla mchakato haujakamilika ndicho kinacholeta ukakasi kule FCC. Maana anaweza kutumia nafasi yakekutengeneza mazingira yatakayompa favor yeye zaidi wakati xlub inaingia kwenye mabadiliko.

Lakini jambo la pili, ni mchakato wa kumpata mwekezaji. Club ya simba ilitangaza zabuni ya kupata muewekezaji. Masharti ya muewekezaji yalikuwa kwenye tender document, na the highest bidder ndie alitakiwa kupewa timu. MO aliwazidi wenzie kwa kuwekeza bn 20. Ili ushindi wake uwe sahihi, alipaswa kutoa iyo pesa akabidhiwe club. Kitendo cha kusema anapisha ukaguzi wa mali za timu ni kinyume na utaratibu kwa sababu alipaswa kulijua hilo kabla hajasubmit tender document.ili wakati anabid thamani ya uwekezaji wake awe ameshafanya feasibility study ya thaman ya club nakujua bn20 ni sahihi hapa mtu unaweza ukajiuliza alifikiaje bid ya bn 20 wakati hakui thamani ya club, mali na madeni yake.bahati mbaya zaidi mshiriki wa tender anatoa masharti badala ya yeye kuafiki na kutimiza masharti ya tenda.

Kwaiyo, inaonekana alitumia njia yaulaghai kushinda tender na hakuwa tayari kuwekeza. Hii imewanyima fursa wawekezaji wengine, ambao either walibid pesa kidogo, lakini walikuwa tayari kuitoa instantly.

Yanga wanaenda vizuri...so far Mwenyekiti wao bado yuko firm kuongoza club.GSM nao wanabaki kama wafadhili mpaka hatua itakapokamilika.
Siku Simba wakija shtuka watakuwa washaibiwa.

Mo Ni janjajanja sana .

Anafanya lobbying huku na kule,anapiga chenga pale,aruka kihunzi mbele.

Endeleeni kufurahia hayo mafanikio ya muda mfupi Ila muda ukifika mtajua kuwa hamkujua

Mkuu Nimekuelewa Sana
 
Yanga wanaenda vizuri...so far Mwenyekiti wao bado yuko firm kuongoza club.GSM nao wanabaki kama wafadhili mpaka hatua itakapokamilika.
Hivi mwenyekiti wa klabu ana nguvu kushinda mjumbe kamati ya usajili Hersi Saidi ? Tofauti ya Gharib na Mo ni moja ,Mo yupo front mwenyewe , Gharib amemuweka Hersi nazani anamuandaa kuwa kiongozi mkubwa pale Yanga
 
Mchakato wa Yanga uko tofauti kidogo na wa simba, japo lengo la michakato ni kufikia mabadiliko ya kiutendaji.

Mpaka hatua hii ilipofika kwa club ya yanga, bado muwekezaji hajajulikana atakuwa nani.yoyote ananafasi ya kuwekeza kwenye club ya yanga licha ya mchakato kufadhiliwa na GSM.

Mchakato wa simba ulikuwa tofauti kidogo..anaesimamia mchakato wa mabadiliko, tayari amechukua jukumu la kuiendesha club bila mchakato kukamilika. Na ananguvu kiasi cha kuover shadow uwepo wa mwenyekiti wa wanachama wenye asilimia 51. Majority hawamjui hata kwa jina mwenye kiti wa Simba wa sasa.

Kitendo hiki cha MO kuchukua usukani wa club kwa asilimia 100 kabla mchakato haujakamilika ndicho kinacholeta ukakasi kule FCC. Maana anaweza kutumia nafasi yakekutengeneza mazingira yatakayompa favor yeye zaidi wakati xlub inaingia kwenye mabadiliko.

Lakini jambo la pili, ni mchakato wa kumpata mwekezaji. Club ya simba ilitangaza zabuni ya kupata muewekezaji. Masharti ya muewekezaji yalikuwa kwenye tender document, na the highest bidder ndie alitakiwa kupewa timu. MO aliwazidi wenzie kwa kuwekeza bn 20. Ili ushindi wake uwe sahihi, alipaswa kutoa iyo pesa akabidhiwe club. Kitendo cha kusema anapisha ukaguzi wa mali za timu ni kinyume na utaratibu kwa sababu alipaswa kulijua hilo kabla hajasubmit tender document.ili wakati anabid thamani ya uwekezaji wake awe ameshafanya feasibility study ya thaman ya club nakujua bn20 ni sahihi hapa mtu unaweza ukajiuliza alifikiaje bid ya bn 20 wakati hakui thamani ya club, mali na madeni yake.bahati mbaya zaidi mshiriki wa tender anatoa masharti badala ya yeye kuafiki na kutimiza masharti ya tenda.

Kwaiyo, inaonekana alitumia njia yaulaghai kushinda tender na hakuwa tayari kuwekeza. Hii imewanyima fursa wawekezaji wengine, ambao either walibid pesa kidogo, lakini walikuwa tayari kuitoa instantly.

Yanga wanaenda vizuri...so far Mwenyekiti wao bado yuko firm kuongoza club.GSM nao wanabaki kama wafadhili mpaka hatua itakapokamilika.
Umeeleza kitaalamu sana
 
Hivi mwenyekiti wa klabu ana nguvu kushinda mjumbe kamati ya usajili Hersi Saidi ? Tofauti ya Gharib na Mo ni moja ,Mo yupo front mwenyewe , Gharib amemuweka Hersi nazani anamuandaa kuwa kiongozi mkubwa pale Yanga.
Unatakiwa kuutambua utofauti kati ya Team ya Yanga na Club ya yanga. Club ya yanga ni taasisi ambayo team ni sehemu tu ya taasisi.

Engineer Hersi na GSM wamekita zaidi kwenye uwezeshaji wa Team. Usajili na kugharamia kambi. Attachment walionayo na club kama taasisi ni kupitia uuzaji wa jezi za Yanga. Hersi hausiki popote na management ya club, wanashirikishwa tu kama wafadhili. Tofauti sana na Babra aliepora management yote ya simba. Simba imeporwa team pamoja na taasisi yake.

Ndo maana GSM ofisi zao ziko Posta na sio pale jangwani. Msola utamkuta pale jangwan makao makuu ya club Akitimiza majukumu yake kama mwenyekiti. Sijajua mwenyekiti wa simba anamajukumu gani hivi sasa.
 
Unatakiwa kuutambua utofauti kati ya Team ya Yanga na Club ya yanga. Club ya yanga ni taasisi ambayo team ni sehemu tu ya taasisi.

Engineer Hersi na GSM wamekita zaidi kwenye uwezeshaji wa Team. Usajili na kugharamia kambi. Attachment walionayo na club kama taasisi ni kupitia uuzaji wa jezi za Yanga. Hersi hausiki popote na management ya club, wanashirikishwa tu kama wafadhili. Tofauti sana na Babra aliepora management yote ya simba. Simba imeporwa team pamoja na taasisi yake.

Ndo maana GSM ofisi zao ziko Posta na sio pale jangwani. Msola utamkuta pale jangwan makao makuu ya club Akitimiza majukumu yake kama mwenyekiti. Sijajua mwenyekiti wa simba anamajukumu gani hivi sasa.
Mbumbumbu hawawezi kukujibu hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Simba wanaelekea katika kufanya mabadiliko ya uwendeshaji wa klabu hio kulitokea Makundi matatu
1 Waandishi wa Habari za Michezo
2 Watangazaji wa Habari za Michezo
3 Wachambuzi wa Habari za Michezo

Makundi haya kwa Umoja wao yote yaliungana kuiponda klabu ya Simba na hasa muwekezaji Mo Dewji
Wengine walifika mbali zaidi kwa kuonyesha kuwa hili jambo la uwekezaji halifai na halina faida yoyote ile na kuionyesha jamii kuwa Mo Dewji ni kama vile ni mnyonyaji na anataka kuimiliki Klabu ya Simba pasi na hio klabu kupata faida yoyote ile

-Maulid Kitenge* aliamua kuongoza japo la wanahabari wake kumpa muda mrefu Mzee Kilomoni ili tu ionekane kuwa Simba imeporwa na Mzee kilomoni anachokisimamia yupo sahihi. Ilifikia wakati kipindi chake cha michezo mada ni Simba na FCC tu yaani yeye alijipambanua ni mfuasi wa wapinga mabadiliko ya Simba.

Ni kweli, ukweli huchelewa sana kueleweka leo Yanga wemefuata yaleyale waliyokuwa wakiyapinga hao Waandishi, watangazaji na wachambuzi wa habari za michezo.

Na hao hao wote bila ya chembe ya aibu wameisifia sana Yanga kama vile hili jambo ni jipya hapa Tanzania. Ukweli mpira wa Tanzania unahitaji uvumilivu kama walionao Viongozi Wanachama, Mashabiki na Wachezaji wa Simba licha ya juhudi kubwa ya kuliinua na kulipigania soka letu kimataifa bado Simba inapigwa vita sana na baadhi ya watu hasa Waandishi na Wachambuzi wa habari za michezo

Licha ya vitimbi vyote hivi tunawaambia bado mtaiga kila zuri au kila lililofanywa na Simba katika kuelekea mafanikio yenu kubwa acheni roho mbaya michezo si UADUI Michezo ni FURAHA na kizuri kiigwe na kibaya kiachwe.
Maulid Kitenge ni mpuuzi tu yule....jitu zima likiongea linabana pua utafikiri linataka kupakatwa na wanaume wenziwe. Watangazaji mahari wapo EFM na station zingine si Wasafi.
 
Mabadiliko ya Simba yamekwama Yanga hawana Cha kuiga. Bwanyenye wa Simba alitaka kutumia njia ya mkato kujimilikisha Simba. Wenye timu yao Waka acha kupambana kwenye Media Waka anza kupambana kimya kimya na wanaelekea kufanikiwa. Bwanyenye haamini macho yake Kama wazee wenye timu wame mkwamisha.
Mchakato ushakamilika hata huko FFC pia washakubali suburi utangaziwe kila kitu simba kiko sawa kabsa tunasubri kipindi cha simba day tuanze kulipua vitu mambo mazuri yanakuja
 
Wewe Ndio mbumbumbu +aliyekwambia Simba Ndio mwanzilishi wa mchakato wa mabadiliko ni nani? Soma dogo , uongeze maarifa.
Kwa hapa Tanzania ni mnyama mkali Simba lunyanyi hakuna mwingine

Nb: Jipige pigie kifua Mwana utopolo vimba popote ulipo kombe letu mwaka huu
 
Back
Top Bottom