Waandishi makanjanja na hatma ya Tanzania

Najijibu:

Gazeti la Sauti Huru ni la Subash Patel na Yusufu Manji! Well, sasa inakuwa rahisi kuweza kung'amua kinachoendelea.

Mkuu Invisible
Achana na kufanya kazi kwa kutumia past experience ni hatari mno,wewe soma ujumbe uuchekeche bila kuagalia nani kaandika ,ukiona ujumbe ni feki kwa mjibu wa upeo wako wa akili na iwe hivyo na ukiona unalipa na uwe hivyo.

mfano.Kama wale waumini wa siku zile wangemsikiliza Sauli(PAULO) kwa kuangalia past experience yake wala hata ktk maandiko matakatifu asingetokea.

Na hata hivyo Mimi binafsi sijaona Mengi vita yake dhidi ya mafisadi zaidi ya yeye kupaza sauti kwa yeye mwenyewe kusema napigana na mafisadi.

Swali mhimu Je? ile habari ya ITV kuhusu Mtikila waliwaomba angalau wananchi msamaha kwa kupeperusha habari ya kufoji? je? walimwomba msamaha mhusika? na je? mwandishi walimchukulia hatua zozote kama yule wa tarime alivyochukuliwa?
 
Mkuu Invisible
Achana na kufanya kazi kwa kutumia past experience ni hatari mno,wewe soma ujumbe uuchekeche bila kuagalia nani kaandika ,ukiona ujumbe ni feki kwa mjibu wa upeo wako wa akili na iwe hivyo na ukiona unalipa na uwe hivyo.
Swali mhimu Je? ile habari ya ITV kuhusu Mtikila waliwaomba angalau wananchi msamaha kwa kupeperusha habari ya kufoji? je? walimwomba msamaha mhusika? na je? mwandishi walimchukulia hatua zozote kama yule wa tarime alivyochukuliwa?


Sasa wewe hapo umefanya nini ? Hivi kwenye hilo swali muhimu hakuna past experience inatakiwa ili kujibu ? Ukiamua kufanya kitu kuwa consistent, usijipendelee. Ndio yale yale...
 
Mkuu Invisible
Achana na kufanya kazi kwa kutumia past experience ni hatari mno,wewe soma ujumbe uuchekeche bila kuagalia nani kaandika ,ukiona ujumbe ni feki kwa mjibu wa upeo wako wa akili na iwe hivyo na ukiona unalipa na uwe hivyo.

mfano.Kama wale waumini wa siku zile wangemsikiliza Sauli(PAULO) kwa kuangalia past experience yake wala hata ktk maandiko matakatifu asingetokea.

Na hata hivyo Mimi binafsi sijaona Mengi vita yake dhidi ya mafisadi zaidi ya yeye kupaza sauti kwa yeye mwenyewe kusema napigana na mafisadi.

Swali mhimu Je? ile habari ya ITV kuhusu Mtikila waliwaomba angalau wananchi msamaha kwa kupeperusha habari ya kufoji? je? walimwomba msamaha mhusika? na je? mwandishi walimchukulia hatua zozote kama yule wa tarime alivyochukuliwa?

Mkuu MkamaP
Kwa sababu umeleta hoja ya maandiko, nakukumbusha (kama umesahau) kila kilichopangwa na Mungu lazima kitokee.
Pili, kila chombo cha habari kina malengo yake zaidi ya kupasha habari. Ulitegemea nini kutoka Uhuru na Mzalendo? The then CCM-RTD? Tanzania Daima? Rai? ITV? Raia Mwema? the list is long...
Ukweli ni kuwa huwezi kujadili hoja kwa kuitenga na mtoa hoja! Hakuna 'neutrality' katika kuchambua hoja. Ukiona mtu anajidai 'neutral' mwangalie kama 'mnafiki'. Na Watanzania ni werevu sana katika hili
 
Sasa wewe hapo umefanya nini ? Hivi kwenye hilo swali muhimu hakuna past experience inatakiwa ili kujibu ? Ukiamua kufanya kitu kuwa consistent, usijipendelee. Ndio yale yale...


mimi binafsi sijafanya lolote kuhusu mafisadi zaidi ya kelele za chura humu jf .Na Mengi amefanya nini? ktk past exp sijakuelewa unasema nini?
 
mimi binafsi sijafanya lolote kuhusu mafisadi zaidi ya kelele za chura humu jf .Na Mengi amefanya nini? ktk past exp sijakuelewa unasema nini?

Nina maana kuwa unamwambia mwenzio asitumie past experience wakati wewe unataka tumia hiyo experience !
 
Mkuu MkamaP
Kwa sababu umeleta hoja ya maandiko, nakukumbusha (kama umesahau) kila kilichopangwa na Mungu lazima kitokee.
Pili, kila chombo cha habari kina malengo yake zaidi ya kupasha habari. Ulitegemea nini kutoka Uhuru na Mzalendo? The then CCM-RTD? Tanzania Daima? Rai? ITV? Raia Mwema? the list is long...
Ukweli ni kuwa huwezi kujadili hoja kwa kuitenga na mtoa hoja! Hakuna 'neutrality' katika kuchambua hoja. Ukiona mtu anajidai 'neutral' mwangalie kama 'mnafiki'. Na Watanzania ni werevu sana katika hili

Nakupata Mkuu wangu.
Ndio maana nikasema unapoliangalia jambo usijikite zaidi kwa kuangalia huko nyuma Mengi alifanya nini ama Manji alifanya nini ama MkamaP alisema nini ktk hoja ile kwa hivyo ktk hoja hii nimeshaelewa anataka kusema nini hivyo sihitaji kusoma maandishi yake tena.

Ndiyo invisible nikamukumbusha ya kwamba kwa mtu aliyekuwa amekwishamsikiliza SAULI hakuwa na haja tena baade kumsikiliza PAULO maana alikuwa ameshamwelewa yule madili yake ni kuuwa tu.

Ndivyo tulivyo wanadamu unaweza anza vizuri ukamaliza vibaya ama kuanza vibaya ukamaliza vizuri.
 
Nina maana kuwa unamwambia mwenzio asitumie past experience wakati wewe unatumia experience !

Naitumia ndiyo lakini si kwa ku jaji, mwezangu amebainisha kabisa kwa kusema akiona maandiko ya fulani basi hata hasomi.Bado una hoja?
 
Umequote

Najijibu:

Gazeti la Sauti Huru ni la Subash Patel na Yusufu Manji! Well, sasa inakuwa rahisi kuweza kung'amua kinachoendelea.

Halafu ukarespond

Mkuu Invisible
Achana na kufanya kazi kwa kutumia past experience ni hatari mno,wewe soma ujumbe uuchekeche bila kuagalia nani kaandika ,ukiona ujumbe ni feki kwa mjibu wa upeo wako wa akili na iwe hivyo na ukiona unalipa na uwe hivyo.

mfano.Kama wale waumini wa siku zile wangemsikiliza Sauli(PAULO) kwa kuangalia past experience yake wala hata ktk maandiko matakatifu asingetokea.

Na hata hivyo Mimi binafsi sijaona Mengi vita yake dhidi ya mafisadi zaidi ya yeye kupaza sauti kwa yeye mwenyewe kusema napigana na mafisadi.

Swali mhimu Je? ile habari ya ITV kuhusu Mtikila waliwaomba angalau wananchi msamaha kwa kupeperusha habari ya kufoji? je? walimwomba msamaha mhusika? na je? mwandishi walimchukulia hatua zozote kama yule wa tarime alivyochukuliwa?

Nami nikauliza

Sasa wewe hapo umefanya nini ? Hivi kwenye hilo swali muhimu hakuna past experience inatakiwa ili kujibu ? Ukiamua kufanya kitu kuwa consistent, usijipendelee. Ndio yale yale...


Nawe ukajibu

mimi binafsi sijafanya lolote kuhusu mafisadi zaidi ya kelele za chura humu jf .Na Mengi amefanya nini? ktk past exp sijakuelewa unasema nini?

Nikaeleza nilichomaanisha

Nina maana kuwa unamwambia mwenzio asitumie past experience wakati wewe unataka tumia hiyo experience !

Then ukamalizia hapa

Naitumia ndiyo lakini si kwa ku jaji, mwezangu amebainisha kabisa kwa kusema akiona maandiko ya fulani basi hata hasomi.Bado una hoja?

Baada ya hapo utaona hoja yangu. Kama huoni hoja sina la zaidi la kuusaidia ubongo wako.
 
Najijibu:

Gazeti la Sauti Huru ni la Subash Patel na Yusufu Manji! Well, sasa inakuwa rahisi kuweza kung'amua kinachoendelea.

hii kali mheshimiwa..i was doubtin mengi's claims lakini haya majina mawili yanatosha katika utata wangu...
 
Certainly, nilitaka kwanza kufahamu hili gazeti linamilikiwa na nani. Inawezekana liko chini yake (Mengi) au likawa chini ya kina Rostam & Co. Kujadili ujumbe ndani ya hoja ndio msingi wa majadiliano ila frankly gazeti hili ndiyo mara yangu ya kwanza kulisikia. Kuna link ambayo inaweza kunipeleka katika tovuti ya gazeti husika?

Kumfananisha Robert Maxwell na Reginald Mengi kwangu naona kuna mwelekeo ulio mbali na uhalisia wa mambo japo kuna mantiki katika hoja ya mwandishi. Ndiyo mawazo huru!

Afterall alichokichambua mwandishi hakina tofauti kubwa na yale mawazo huru ya wadau mbalimbali waliyoyaainisha katika "The Mengi vs Masha Saga" thread.

Just assume unakuta gazeti hilo ni lake mwenyewe (yani liko chini ya IPP), ni ujumbe gani utapata? Bado nadhani kuna umuhimu wa kumjua mmiliki wa gazeti hilo ama Mhariri mkuu wake ni nani. Kuna watu ambao siku hizi hata huwa sipendi kuumiza kichwa kusoma wameandika nini; Manyerere mmojawapo!


Mama
Tatizo siwezi kukushikia bunduki ili angalau uwe unasoma ujumbe wote ,ila nitakusadi angalia hapo ktk nyeusi ili ukurupakaji upunguwe ,maana na amini hujaelewa nilichokuwa naongelea.
 
Mama
Tatizo siwezi kukushikia bunduki ili angalau uwe unasoma ujumbe wote ,ila nitakusadi angalia hapo ktk nyeusi ili ukurupakaji upunguwe ,maana na amini hujaelewa nilichokuwa naongelea.


Fuata mabandiko uliyo quote acha na mambo ya kushika bunduki hapa. Acha udikteta wa mawazo.

Wewe ndio ulikurupuka kufanya quotation! Rejea mtiririko wa mabandiko yako!

By the way huna haki ya kumlazimisha au kumwambia yeyote cha kufanya au kusoma. Ni uamuzi binafsi.
 
Mama

Angalia duuuu
sasa unataka kila post niwe na quate maajabu haya!!!! Udikteta wa mawazo uko wapi kama huu sio mkurupuko mwingine tena ?
Ushauri wa bure !!uwe unasoma mwenzo wa thread hadi mwisho ili upate mtiririko kudandia dandia shauri yako!!
 
Kwa tanzania ya sasa ni muhimu kujua credibility/ownership ya chanzo cha habari kabla ya kuchangia hoja iliyopo.Vyanzo vingi vya habari viko biased na ndiyo mana tukio linakuwa moja lakini linaripotiwa tofautitofauti mpaka unajiuliza hili tukio lilitokea sehemu na siku tofauti?
 
Wale wote wanaompinga Mengi hakika ni mafisadi kwani anachopigania ni haki za wanyonge.Hebu fikiria kwa hatua waliofikia viongozi wetu ya wizi wa kupindukia, Maskini wasingeweza kufichua maovu kwani wengine huongwa fedha,hutishiwa maisha na hata kuawa.Ndio maana hata watu husema mabadiliko yatatokea CCM wakigawanyika kati ya wezi na waaminifu na ndicho kinachotokea.Suala hili tulijadili kwa nia njema ya kuiokoa Nchi yetu mikononi mwa manyang'au.Anayemtetea nyang'au na ni nyang'au na anayefaidika na fedha za ufisadi naye ni fisadi.Tusilale hadi Nchi ikombolewe.
 
Wale wote wanaompinga Mengi hakika ni mafisadi kwani anachopigania ni haki za wanyonge.Hebu fikiria kwa hatua waliofikia viongozi wetu ya wizi wa kupindukia, Maskini wasingeweza kufichua maovu kwani wengine huongwa fedha,hutishiwa maisha na hata kuawa.Ndio maana hata watu husema mabadiliko yatatokea CCM wakigawanyika kati ya wezi na waaminifu na ndicho kinachotokea.Suala hili tulijadili kwa nia njema ya kuiokoa Nchi yetu mikononi mwa manyang'au.Anayemtetea nyang'au na ni nyang'au na anayefaidika na fedha za ufisadi naye ni fisadi.Tusilale hadi Nchi ikombolewe.

Mkuu
Mimi nafikiri tusichukulie mambo kinamna hivyo pia nafikri tusiangalie mambo kimtazamo wa generic.

Mkuu sijaji ila ni kujaribu kuona kilicho ndani nikiwa na maana huu mjadala uwe wa kuelimishana na sio mjadala wa kulinda masilahi ya mtu fulani.

tunaomba mwenye kopi ya magazeti ya IPP ktk mchakato wa wa u RAIS 2005 yaliongelea nini kuhusu mtandao kwa kuwa mtandao toka enzi hizo ulijulikana ni mtandao wa kimafya dizaini.

1.Je toka enzi hizo IPP waliupinga mtandao na kumpinga JK na kama ndivyo ni vyema na kama sivyo je?
IPP iliunga mkono mtandao pamoja na JK japo mtandao toka enzi hizo ulionekana ni mtandao wa kimafya dizaini na je alimuunga mkono JK na mtandao ili iwe nini kama ni mtetezi wa wanyonge? Na je kuna uhusiano kwamba aliuunga akitegemea kupata faida fulani kutoka ktk huo mtandao na faida alizozitegemea amezikosa ndio akaamuwa kuamsha beef akiji lebel yeye mwenyewe ni mtetea wanyonge?

ni hatari kujaji kwa kutumia uzooefu lakini bado unaweza kutumia ktk kupata dira kutokana na matendo ya sasa ya mhusika hapa nikiwa na maana je matendo haya bado yanafungamana kwa namna moja ama nyingine na yale ya zamani ama hayafungamani kabisa.
 
...Mkuu kwa nini mnauliza mwenye gazeti au ndio kilichoandikwa gazetini kinapimwa kutokana na mmiliki wake???:confused:

Ndugu

Wakati mwingine ni hivyo. Mashitaka ya Chui dhidi ya mbuzi...lazima hakimu uwe makini.
 
Hakuna cha sauti huru wala nani wote mafisadi tu.

Mtu awe ccm au chadema, kama mtu anatetea ufisadi - hafai kwenye zama hizi.

Watanzania wengi ni wajinga sana, wapo wachache wameanza kuona mbali na tunakoelekea, wameanza kupambana na ufisadi maana tukiwaachia hawa viongozi wetu pumzi kidogo tu, watauza hata watoto wetu na wake wetu.

Ndiyo maana iwe kwa unafiki au vinginevyo ikiwa ni pamoja na maslahi mengine, mtu yeyote atakayekuwa anapapmbana na ufisadi anapaswa kuungwa mkono.
Aliyeleta hii habari hapa pamoja na huyo aliyeandika anataka tuone kweli Masha ndiye yupo upnande wa wananchi walio wanyonge? wana bahati sikumbuki ile shirt watu wanaojua kiingereza wanayosemaga - niliposoma hii biesed story nilijikuta nikisema SHIRT!!

Nani asiyejua madhaifu ya viongozi wa upinzani? tunayajua yote ya kila mmoja tena kwa data. lakini huu sio wakati wa kuyajadili manna washikaji wanafanya nchi bankrupty sasa hivi tukiona - na watoto wetu watashindwa hata kufika form 2, upumbavu gani huu wa kutounga nguvu pamoja kwenye vita hii, Hawa vilaza wametoka wapi? Huu sio wakati wa kuichia ccm pumzi kwa kumjadili mengi.

Vilaza watahongwa sana lakini vita itaendelea.
 
...mwandishi anajifanya anamtakia mema Mengi kwa kumpa ushauri kumbe majungu tuu na kuanguka kwa Mengi ndio wanachotaka,hizi media propaganda zipo tangu adam kwa hiyo sioni cha ajabu hapa,i respect mengi kwa anayoyafanya katika society kwa kuajiri watu wengi na kulipa kodi...kuna uzalendo zaidi ya huo?
 
Vita dhidi ya ufisadi, ni ngumu na mafisadi lazima wajihami kwa matumaini ya kuokoka mkono wa sheria. Na miongoni mwa mbinu zitumikazo ni pamoja na kuanzisha vijigazeti vyenye mlengo wa kufifisha vita hivyo na kuwaandama majemedari wa vita hivyo, kwa matumaini kuwa watakaa kimya. Cha kusikitisha hata wanandishi waliodhaniwa kuwa na sifa za kutukuka walishaingizwa katika line, tangu walipokubali kutumiwa kuikingia kifua Richmond.

walio wengi wamesomea fani zao kipindi cha hawamu ya kwanza. Wamesahau walisoma kwa gharama ya nani? Shame on them!!
 
Nadhani SAUTI HURU ni moja ya vigazeti vilivyoanzishwa na mafisadi wakina Karamagi, Rostam na Lowassa katika juhudi zao za kujikosha na kuwapiga vita mashujaa wanaowaumbua madhambi yao na wanaowatetea wanyonge!! Inshallah Mola atawaangamiza.
 
Back
Top Bottom