Waandamanaji huko Hongkong waanza kuiomba USA na Trump kuwasaidia

"Lakini cha kushangaza china wanaishutumu USA chini ya black hand of CIA,na si mtu mwingine,na hata vyombo vya Habari vya china vinataja wazi kuwa CIA inawalipa protesters ili waandamane. Kitu ambacho USA wanagoma,"


This is very true... USA inawafitini sana china kwa nguvu zote...


Cc: mahondaw
 
China ina mfumo mbaya sana wa siasa!

Mfumo wa chama kimoja cha CCP!

Wananchi wote wanakandamizwa na hakuna demokrasia!

Members wote wa CCP ndio wenye madaraka wananchi 1.2Bil wanafuata hao CCP

Rushwa ni kubwa,wanaoruhusiwa kula rushwa ni CCP pekee!

Haki za binadamu hakuna!

Mfumo ya mahakama ni wa hovyo kabisa,mahakama hazitoi haki kwa wote kwa usawa!

Censorship kubwa kwenye mitandao nk!

CCP ndio inasimamia propaganda na vyombo vyote vya habari China!

Their narrative is correct,others hazitakiwi!

Halafu Jiwe na CCM wanasema tu-copy huo upumbavu!

Majinga kabisa haya maCCM!
Aiseeeh

Ccm wanatakiwa kuondoka kwenye uso wa dunia. Alisikika msauzi afrika mmoja.
 
Sababu ni hii USA ikitumia mwamvuli wa demokrasia ulimwenguni imezitawala nchi nyingi dunia kwa kutumia NGO's zake na CIA hii ni kwa nchi za Adrika , Asia na nchi za waarabu hata hao latin Amerika
Nchi za Adrika zipo kwenye bara lipi ?
 
"Lakini cha kushangaza china wanaishutumu USA chini ya black hand of CIA,na si mtu mwingine,na hata vyombo vya Habari vya china vinataja wazi kuwa CIA inawalipa protesters ili waandamane. Kitu ambacho USA wanagoma,"


This is very true... USA inawafitini sana china kwa nguvu zote...


Cc: mahondaw
Mkuu ni kweli kwa hali ya mvutano uliopo Kati ya USA na china unaweza ku suspect hivo kuwa CIA wanahusika,lakini upande wa pili katika hali ya kawaida unaona kuwa source ni ile extradition bill.
 
kinachofanyika Hong kong tukizembea kitakuja tu kutokea na Tanzania.. ipo siku watu watalipwa hela waingie road waandamane kupigania haki za mashoga.
Screenshot hii comment utakuja kukumbuka.
Screenshot mwenyewe halafu wapelekee watoto wako waone ujinga ulioandika baba yao. Shwain
 
Je, wana ushahidi gani kuihusisha CIA na maandamano, ina maana waandamanaji wameonekana mbele ya ofisi za American Embassy au Consulate in Hong Kong wakifolen kupewa dola???

These allegations are fake and utterly fallacious to be levelled by any responsible entity. Let the Chinese stop senseless witch hunt and embrace democracy and the rule of law.
 
Kihistoria HK ni sehemu ya China.

Opium war ndiyo iliyosababisha Mchina kupokonywa maeneo yake ikiwemo HK na Waingereza. Chanzo cha hii vita ni baada ya Mfalme wa China kupiga marufuku nchini mwake uuzaji wa drugs ambao ulikuwa unafanywa na Uingereza. Ambapo awali China ilimwambia Uingereza iache kupitisha drugs na kuuza nchini mwake kutokea India, Uingereza ikakataa kusikia hilo shauri. Baada ya China kupiga marufuku Uingereza ikaivamia China na kuipiga.

Kipindi HK ipo chini ya Uingereza hizi vurugu zinazotokea leo hazikuwepo. Kwa sababu wakazi wa Hong Kong walikuwa ni daraja la chini na hawakuwa na uthubutu hata wa kuandamana kwa sababu risasi zilikuwa zinawahusu. Mkono wa utawala wa Uingereza ulikuwa kwa Hong Kong ulikuwa ni mkono wa chuma. Hata miaka ya 90 hii karibuni kabla ya Hong Kong kurudishwa tena kwa China bado Hong Kong wakazi wake walikuwa daraja la chini.

Miaka ya 1980 kuelekea 90 utawala wa Uingereza ukaanza kubadili mtaala wa elimu wa HongKong, kwamba HongKong ilikuwa inanyonywa na kutawaliwa kimabavu na China na Uingereza ikabidi izuie hiyo hali. Mfumo wa elimu uliyowekwa na utawala wa Uingereza ni wakazi wa HK wawachukie China bara. Na kwa hili amefanikiwa. Kwani vijana wa HK wanachukia China ya bara, wanachukia kuitwa Wachina na wanachukia lugha yao ya mandarin. Lugha wanayoipenda ni Kingereza.

Mwaka 1997 Hong Kong ilikuwa inatoa 20% ya GPD ya China. Kwa sasa inatoa 3% tu. Biashara za kimataifa wakazi wengi wa China bara walikuwa wanaenda kufanyia Hong Kong. Kwa hili, Hong Kong ikawa inachukua 50% yote ya biashara za kimataifa kutoka China bara. Kwa sasa imeshuka mpaka 12%. Stock market ya Hong Kong ilikuwa ni X 2 ya China bara. Miaka 15 iliyopita bandari ya Hong Kong ilikuwa ndiyo bandari kubwa(kama siyo miongoni) Duniani.

Lakini hizo fursa kwa sasa zimepungua sana. Sababu kuu ni kwamba miaka ya nyuma China bara ilikuwa masikini na Hong Kong ni tajiri. Lakini China bara ya sasa ni tajiri. Zile biashara zilizokuwa zinafanywa kwa kupitia Hong Kong sasa hivi zinafanywa bara. Stock market ya Hongkong imezidiwa kwa sana na miji kama Shenzhen na Shanghai. Hata bandari China bara hategemei tena ya HongKong. Bali ana bandari zake miji kama ya Shenghai, Shenzhen, nchi kama Singapore napo kuna bandari. Kwa hiyo ile faida kubwa waliyokuwa wanaipata Hong Kong imepotea kwa kukua kwa China bara na Dunia kwa ujumla.

Mwaka 1997 Hong Kong inarudishwa tena China bara kutoka utawala wa Uingereza hapa ndipo kitimtim kilianza. Hong Kong ameshajazwa sumu kwenye mfumo wake wa elimu na historia yao imepotezwa kwamba wao ni Wachina. Hiki ndicho Muingereza alichokifanya. Vijana wa Hong Kong wanaandamana wanasema wanataka Democracy lakini ni Democracy gani inaruhusu raia kuandamana wamevaa mask. Wanaweka vigingi kwenye barabara kuu za Hong Kong, wanaleta vurugu Subway na kuzuia zisiondoke, wanawapiga na kuwavamia raia wenye msimamo wa tofauti na wao, wanawapiga polisi na kuchoma majengo ya polisi. Hiyo haitoshi! Wana occupy airport.

Halafu wanasema wananyimwa uhuru! Nchi gani Duniani itakayoweza kukuachia kufanya hivyo(?) Na kwa nini wakikamatwa na polisi wakivuliwa mask zao hawataki sura zao zionekane wanainama chini? Wanaondamana wote hawataki kwenda kazini. Swali ni nani anaeyafadhili hayo maandamano? Halafu ajabu Hong Kong kuanzia maji, umeme ni mambo mengine wanategemea na vinafadhiliwa na China bara. Yani Xi Ping akikata hivyo Hong Kong inakuwa kijiji.

Hata hiyo sheria aliyotaka ipitishwe ni baada ya Hong Kongers wapenzi kwenda kula bata Taiwan. Kijana Chan akamuua mpenzi wake huko hotelini na kurudi HongKong. Uchunguzi baada ya kufanywa Taiwan ukaonekane ameuliwa na mpenzi wake ambaye alisharudi Hong Kong. Taiwan wakamhitaji huyo mhalifu kwa sababu uhalifu umetokea kwenye ardhi yake. Bahati mbaya Taiwan na Hong Kong hazikuingia mkataba wa kuhusu raia kama raia akifanya uhalifu anaweza akasafirishwa na kuchukuliwa hatua kwenye ardhi aliyofanyia uhalifu. Kwa hiyo, ushahidi upo, lakini kesi haiwezi kuamuliwa na Chan yupo huru mpaka sasa huko Hong Kong.

Gavana wa Hong Kong baada ya hilo tukio ndiyo akaleta amendments to Hong Kong extradition bill ili kukava hiyo hali kama iliyotokea. Wanaandamana! Sasa sijui wanaandamana nini.

Na Hong Kongers wasichogundua wanatumiwa kama karata tu na west kwa Mchina. Mchina naye haumizi kichwa shughuli zake anazihamisha anazipeleka miji yake mengine. Kama Hong Kong yenyewe inategemea baadhi ya mafungu ya pesa kutoka China bara kujiendesha, miaka 5 mbeleni HonKong itakuwa hali mbaya sana kiuchumi.

Na China bara inapaa kiuchumi,ambayo watu wanakandia chama chao wanasema cha kikomyunisti lakini kimewaondoa zaidi ya raia wake million 200 kwenye umasikini. Na uhuru raia wake wanao.
Hapana umeandika upupu chalii yangu
 
China ina mfumo mbaya sana wa siasa!

Mfumo wa chama kimoja cha CCP!

Wananchi wote wanakandamizwa na hakuna demokrasia!

Members wote wa CCP ndio wenye madaraka wananchi 1.2Bil wanafuata hao CCP

Rushwa ni kubwa,wanaoruhusiwa kula rushwa ni CCP pekee!

Haki za binadamu hakuna!

Mfumo ya mahakama ni wa hovyo kabisa,mahakama hazitoi haki kwa wote kwa usawa!

Censorship kubwa kwenye mitandao nk!

CCP ndio inasimamia propaganda na vyombo vyote vya habari China!

Their narrative is correct,others hazitakiwi!

Halafu Jiwe na CCM wanasema tu-copy huo upumbavu!

Majinga kabisa haya maCCM!
Liberal democracy.
 
Hapana umeandika upupu chalii yangu
Kuhusu data za uchumi wa Hong Kong ulivyokuwa mpaka sasa hivi ulivyo hayo maelezo aliyatamka Grenvile Cross former Hong Kong's director of public prosecutions from 1997-2009. Haya tupatie wewe ukweli katika hili.

Opium war 1839-1842 ni kwamba China alipigana vita na British baada ya kuzuia biashara ya Drugs nchini mwake ambayo iliathiri raia wake wengi vita ambayo ilisababisha Mchina kupokonywa Hong Kong na kulipishwa kodi.British alikuwa anafanya biashara na wafanyabiashara wa magendo wa China.

Mchina akapoteza maeneo yake ya Tizjan, Tzuchan. Hii ilikuwa battle ya tjunpei. Baada ya China kutandikwa wakaingia mkataba wa amani na Britain ambao China will transfer trade power kwa Britain, China itabidi aiachie Hong Kong kwa Britain na Macau itakuwa chini ya Portugal.

1997 Britain akairudisha Hong Kong kwa China. Mkataba waliyoingia ni kwamba Hong Kong utakuwa ni mkoa wenye mamlaka yake maalumu kwa miaka 50. Baada ya hapo serikali ya China itakuwa na mamlaka kamili. Hii ikasababisha basic law of Hong Kong plus the constitution of China. Matokeo yake ikawa one country, two systems. Hii hali mpaka leo imesababisha Hong Kong kutumia UK education System. Unafikiri UK ni mjinga aweke mfumo wa elimu kwamba aliivamia China na kuipora Hong Kong?

Unafikiri kwa nini vijana wa Hong Kong wana ndoto za kwenda Uingereza na kuipenda zaidi Uingereza na kuzungumza kingereza wanaona fahari? Tizama Hong Kongers wakihojiwa hata na mwandishi habari anayejua mandarin hawataki kuzungumza hiyo lugha wanazungumza Kingereza? Unafikiri imekuja bahati mbaya?

Chini ya utawala wa British, Hong Kongers walikuwa hawana haki ya kupiga kura mpaka Hong Kong inarudishwa China kwa makubaliano 1997. Hong kongers walikuwa raia daraja la pili. Leo wanasema wanahitaji uhuru na democracy wakati wanapiga kura ya kuwachagua viongozi wao wenyewe. Joshua Wong ukimjua utajua picha nzima ya maandamano.

Maji, umeme wanategemea kutoka China mainland. Hawana anga, anga wanayoitumia ni ya China mainland. Unafikiri Xi Ping akifunga zote hizo Hong Kong kutakuwa na maisha. Wamezaliana sana matokeo yake kisiwa kidogo. Halafu wanaandamana wamevaa mask! Huo ujinga nenda kaufanye nchi za magaribi uone watakachokufanya. Mnaandamana mpaka uwanja wa ndege mnazuia safari! Nenda kafanye nchi za magharibi uone utakachofanywa. Trump alisambaza jeshi mtaani kama hujui kuhusu maandamano raia wakatulia.

Haya nipinge kihoja si kwa viroja. Msomi huwa hakosoi kwa kusema umekosea/umeandika upupu, bali anakosoa kwa kuweka usahihi wa kile anachokosoa. Nakusubiri.
 
Kuhusu data za uchumi wa Hong Kong ulivyokuwa mpaka sasa hivi ulivyo hayo maelezo aliyatamka Grenvile Cross former Hong Kong's director of public prosecutions from 1997-2009. Haya tupatie wewe ukweli katika hili.

Opium war 1839-1842 ni kwamba China alipigana vita na British baada ya kuzuia biashara ya Drugs nchini mwake ambayo iliathiri raia wake wengi vita ambayo ilisababisha Mchina kupokonywa Hong Kong na kulipishwa kodi.British alikuwa anafanya biashara na wafanyabiashara wa magendo wa China.

Mchina akapoteza maeneo yake ya Tizjan, Tzuchan. Hii ilikuwa battle ya tjunpei. Baada ya China kutandikwa wakaingia mkataba wa amani na Britain ambao China will transfer trade power kwa Britain, China itabidi aiachie Hong Kong kwa Britain na Macau itakuwa chini ya Portugal.

1997 Britain akairudisha Hong Kong kwa China. Mkataba waliyoingia ni kwamba Hong Kong utakuwa ni mkoa wenye mamlaka yake maalumu kwa miaka 50. Baada ya hapo serikali ya China itakuwa na mamlaka kamili. Hii ikasababisha basic law of Hong Kong plus the constitution of China. Matokeo yake ikawa one country, two systems. Hii hali mpaka leo imesababisha Hong Kong kutumia UK education System. Unafikiri UK ni mjinga aweke mfumo wa elimu kwamba aliivamia China na kuipora Hong Kong?

Unafikiri kwa nini vijana wa Hong Kong wana ndoto za kwenda Uingereza na kuipenda zaidi Uingereza na kuzungumza kingereza wanaona fahari? Tizama Hong Kongers wakihojiwa hata na mwandishi habari anayejua mandarin hawataki kuzungumza hiyo lugha wanazungumza Kingereza? Unafikiri imekuja bahati mbaya?

Chini ya utawala wa British, Hong Kongers walikuwa hawana haki ya kupiga kura mpaka Hong Kong inarudishwa China kwa makubaliano 1997. Hong kongers walikuwa raia daraja la pili. Leo wanasema wanahitaji uhuru na democracy wakati wanapiga kura ya kuwachagua viongozi wao wenyewe. Joshua Wong ukimjua utajua picha nzima ya maandamano.

Maji, umeme wanategemea kutoka China mainland. Hawana anga, anga wanayoitumia ni ya China mainland. Unafikiri Xi Ping akifunga zote hizo Hong Kong kutakuwa na maisha. Wamezaliana sana matokeo yake kisiwa kidogo. Halafu wanaandamana wamevaa mask! Huo ujinga nenda kaufanye nchi za magaribi uone watakachokufanya. Mnaandamana mpaka uwanja wa ndege mnazuia safari! Nenda kafanye nchi za magharibi uone utakachofanywa. Trump alisambaza jeshi mtaani kama hujui kuhusu maandamano raia wakatulia.

Haya nipinge kihoja si kwa viroja. Msomi huwa hakosoi kwa kusema umekosea/umeandika upupu, bali anakosoa kwa kuweka usahihi wa kile anachokosoa. Nakusubiri.
Akija kukujibu usisahau kunitag mkuu
 
Mkuu ni kweli kwa hali ya mvutano uliopo Kati ya USA na china unaweza ku suspect hivo kuwa CIA wanahusika,lakini upande wa pili katika hali ya kawaida unaona kuwa source ni ile extradition bill.
Us anahusika na pandikizi lao linaloongoza maandamano anaitwa Joshua Wong. Asili yake ni vietnam. Kipindi cha vita ya vietnam baadhi ya wakimbizi walikimbilia Hong Kong. Miongoni mwa hao wakimbizi ni wazazi wa Joshua.

Picha zake zimesambaa nyingi tu akifanya mikutano ya siri na viongozi wa Amerika yeye pamoja na viongozi wenzake wa hayo maandamano. Na sasa kakimbilia Amerika ametumia kigezo cha kwenda kusoma. Mapema tu ameikimbia Hong Kong.
 
Kihistoria HK ni sehemu ya China.

Opium war ndiyo iliyosababisha Mchina kupokonywa maeneo yake ikiwemo HK na Waingereza. Chanzo cha hii vita ni baada ya Mfalme wa China kupiga marufuku nchini mwake uuzaji wa drugs ambao ulikuwa unafanywa na Uingereza. Ambapo awali China ilimwambia Uingereza iache kupitisha drugs na kuuza nchini mwake kutokea India, Uingereza ikakataa kusikia hilo shauri. Baada ya China kupiga marufuku Uingereza ikaivamia China na kuipiga.

Kipindi HK ipo chini ya Uingereza hizi vurugu zinazotokea leo hazikuwepo. Kwa sababu wakazi wa Hong Kong walikuwa ni daraja la chini na hawakuwa na uthubutu hata wa kuandamana kwa sababu risasi zilikuwa zinawahusu. Mkono wa utawala wa Uingereza ulikuwa kwa Hong Kong ulikuwa ni mkono wa chuma. Hata miaka ya 90 hii karibuni kabla ya Hong Kong kurudishwa tena kwa China bado Hong Kong wakazi wake walikuwa daraja la chini.

Miaka ya 1980 kuelekea 90 utawala wa Uingereza ukaanza kubadili mtaala wa elimu wa HongKong, kwamba HongKong ilikuwa inanyonywa na kutawaliwa kimabavu na China na Uingereza ikabidi izuie hiyo hali. Mfumo wa elimu uliyowekwa na utawala wa Uingereza ni wakazi wa HK wawachukie China bara. Na kwa hili amefanikiwa. Kwani vijana wa HK wanachukia China ya bara, wanachukia kuitwa Wachina na wanachukia lugha yao ya mandarin. Lugha wanayoipenda ni Kingereza.

Mwaka 1997 Hong Kong ilikuwa inatoa 20% ya GPD ya China. Kwa sasa inatoa 3% tu. Biashara za kimataifa wakazi wengi wa China bara walikuwa wanaenda kufanyia Hong Kong. Kwa hili, Hong Kong ikawa inachukua 50% yote ya biashara za kimataifa kutoka China bara. Kwa sasa imeshuka mpaka 12%. Stock market ya Hong Kong ilikuwa ni X 2 ya China bara. Miaka 15 iliyopita bandari ya Hong Kong ilikuwa ndiyo bandari kubwa(kama siyo miongoni) Duniani.

Lakini hizo fursa kwa sasa zimepungua sana. Sababu kuu ni kwamba miaka ya nyuma China bara ilikuwa masikini na Hong Kong ni tajiri. Lakini China bara ya sasa ni tajiri. Zile biashara zilizokuwa zinafanywa kwa kupitia Hong Kong sasa hivi zinafanywa bara. Stock market ya Hongkong imezidiwa kwa sana na miji kama Shenzhen na Shanghai. Hata bandari China bara hategemei tena ya HongKong. Bali ana bandari zake miji kama ya Shenghai, Shenzhen, nchi kama Singapore napo kuna bandari. Kwa hiyo ile faida kubwa waliyokuwa wanaipata Hong Kong imepotea kwa kukua kwa China bara na Dunia kwa ujumla.

Mwaka 1997 Hong Kong inarudishwa tena China bara kutoka utawala wa Uingereza hapa ndipo kitimtim kilianza. Hong Kong ameshajazwa sumu kwenye mfumo wake wa elimu na historia yao imepotezwa kwamba wao ni Wachina. Hiki ndicho Muingereza alichokifanya. Vijana wa Hong Kong wanaandamana wanasema wanataka Democracy lakini ni Democracy gani inaruhusu raia kuandamana wamevaa mask. Wanaweka vigingi kwenye barabara kuu za Hong Kong, wanaleta vurugu Subway na kuzuia zisiondoke, wanawapiga na kuwavamia raia wenye msimamo wa tofauti na wao, wanawapiga polisi na kuchoma majengo ya polisi. Hiyo haitoshi! Wana occupy airport.

Halafu wanasema wananyimwa uhuru! Nchi gani Duniani itakayoweza kukuachia kufanya hivyo(?) Na kwa nini wakikamatwa na polisi wakivuliwa mask zao hawataki sura zao zionekane wanainama chini? Wanaondamana wote hawataki kwenda kazini. Swali ni nani anaeyafadhili hayo maandamano? Halafu ajabu Hong Kong kuanzia maji, umeme ni mambo mengine wanategemea na vinafadhiliwa na China bara. Yani Xi Ping akikata hivyo Hong Kong inakuwa kijiji.

Hata hiyo sheria aliyotaka ipitishwe ni baada ya Hong Kongers wapenzi kwenda kula bata Taiwan. Kijana Chan akamuua mpenzi wake huko hotelini na kurudi HongKong. Uchunguzi baada ya kufanywa Taiwan ukaonekane ameuliwa na mpenzi wake ambaye alisharudi Hong Kong. Taiwan wakamhitaji huyo mhalifu kwa sababu uhalifu umetokea kwenye ardhi yake. Bahati mbaya Taiwan na Hong Kong hazikuingia mkataba wa kuhusu raia kama raia akifanya uhalifu anaweza akasafirishwa na kuchukuliwa hatua kwenye ardhi aliyofanyia uhalifu. Kwa hiyo, ushahidi upo, lakini kesi haiwezi kuamuliwa na Chan yupo huru mpaka sasa huko Hong Kong.

Gavana wa Hong Kong baada ya hilo tukio ndiyo akaleta amendments to Hong Kong extradition bill ili kukava hiyo hali kama iliyotokea. Wanaandamana! Sasa sijui wanaandamana nini.

Na Hong Kongers wasichogundua wanatumiwa kama karata tu na west kwa Mchina. Mchina naye haumizi kichwa shughuli zake anazihamisha anazipeleka miji yake mengine. Kama Hong Kong yenyewe inategemea baadhi ya mafungu ya pesa kutoka China bara kujiendesha, miaka 5 mbeleni HonKong itakuwa hali mbaya sana kiuchumi.

Na China bara inapaa kiuchumi,ambayo watu wanakandia chama chao wanasema cha kikomyunisti lakini kimewaondoa zaidi ya raia wake million 200 kwenye umasikini. Na uhuru raia wake wanao.
Naam ukweli ndo huu..walidharau watu wa bara.
 
Back
Top Bottom