Halafu beberu alivo na dharau akinusa mbunye anachekelea kwa juu kwa madharau ya hatari ndo mana mzalendo no.1 hawapendi kabisa mabeberu.Acha Beberu ahofiwe maana Mikia ya mibuzi jike imejiondoa kulinda mbunye!! Imenyanyuka juu na kujikunja!!
Beberu oyeeee!!
Hahaha mkuu ni hatariHahahaha aya chief duh hatari xana aisee.
China ina mfumo mbaya sana wa siasa!
Mfumo wa chama kimoja cha CCP!
Wananchi wote wanakandamizwa na hakuna demokrasia!
Members wote wa CCP ndio wenye madaraka wananchi 1.2Bil wanafuata hao CCP
Rushwa ni kubwa,wanaoruhusiwa kula rushwa ni CCP pekee!
Haki za binadamu hakuna!
Mfumo ya mahakama ni wa hovyo kabisa,mahakama hazitoi haki kwa wote kwa usawa!
Censorship kubwa kwenye mitandao nk!
CCP ndio inasimamia propaganda na vyombo vyote vya habari China!
Their narrative is correct,others hazitakiwi!
Halafu Jiwe na CCM wanasema tu-copy huo upumbavu!
Majinga kabisa haya maCCM!
Anachotaka Amerka Ni Kuigawa Uchina Tu Ili Hata Iwe Wepesi Kuitawala Kwamaana Yawepesi wa China Kushindana Na USFitina za mmarekani hizo kuiangusha uchina. Hapa China anahitaji kutumia nguvu ya ziada akilemaa hongkong inaondoka.amuulize Putin mbinu alizotumia kuichukua Crimea
Fitina za mmarekani hizo kuiangusha uchina. Hapa China anahitaji kutumia nguvu ya ziada akilemaa hongkong inaondoka.amuulize Putin mbinu alizotumia kuichukua Crimea
Mkuu Kwaio unaamini Waandamanaji wa Hongkong wamehongwa na USA under CIA?Fitina za mmarekani hizo kuiangusha uchina. Hapa China anahitaji kutumia nguvu ya ziada akilemaa hongkong inaondoka.amuulize Putin mbinu alizotumia kuichukua Crimea
Unadhani Crimea ilikuwa kama Hongkong au unadhani Hongkong ni kama Crimea?
Pale hapahitaji nguvu watu washatumia wiki 14. China angependa tumia nguvu ila anaogopa vikwazo
Mkuu Kwaio unaamini Waandamanaji wa Hongkong wamehongwa na USA under CIA?
Mkuu ni ngumu kuwalipa kila siku zaidi ya watu 2million.kinachofanyika Hong kong tukizembea kitakuja tu kutokea na Tanzania.. ipo siku watu watalipwa hela waingie road waandamane kupigania haki za mashoga.
Screenshot hii comment utakuja kukumbuka.