Nedago
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 908
- 1,348
Habari Wakuu
Nimeona leo Waandamanaji huko Hongkong wakiimba wimbo wa Taifa wa USA na kupeperusha bendera za USA kila kona,na wakati huo huo wakiimba Jina la president Trump na USA.
Suala la msingi ni kuwa wanaiomba USA na raisi Trump awaokoe kutoka mikononi mwa utawala kandamizi wa china.
Kuna maswali nimejiuliza matatu!!
1.kwanini hawajamuomba raisi wa China xi jinping au kiongozi wao wa Hongkong mwanamama Cam awahurumie na kuwarejeshea uhuru na democracy yao ila wanamuomba Trump?
2.kwanini wasiiombe nchi ya uingereza ambayo iliwatawala na baadae kuwapa uhuru wao kwa kuwakabidhi kwa china?
3.kwanini wasiuombe umoja wa mataifa,au nchi nyinginezo duniani Kama Russia,Germany au ufaransa ila wao wanataka USA?
4.je USA ana mamlaka kiasi gani kiasi kwamba anaweza kuwasaidia wana Hongkong kuliko umoja wa mataifa?
Naomba ndugu wadau tujadili hayo maswali kwa kina,maana peke yangu hadi sasa sijapata jibu,why?
Nimekuwa nikilifuatilia hili suala la maandamano huko Hongkong china,ambayo sasa yanaelekea mwezi wa 3 mfululizo.
Kama ni mfuatiliaji wa haya masuala ya kimataifa na migogoro Kama hii,utakuwa Unajua kuwa source ya Hongkong protests ni bill ya extradition of criminals to China (kwamba watuhumiwa wa makosa ya jinai huko Hongkong ilitakiwa waanze kupelekwa china) iliyopelekwa kwenye bunge la Hong Kong.
Wananchi wakaona autonomy yao Kama Hongkong citizen's under two goverments one country inaenda kufa na wao kumezwa na China.
Lakini cha kushangaza china wanaishutumu USA chini ya black hand of CIA,na si mtu mwingine,na hata vyombo vya Habari vya china vinataja wazi kuwa CIA inawalipa protesters ili waandamane.
Kitu ambacho USA wanagoma,
Nadhani hata nyie wadau Mnaweza kulinganisha source ya maandamano na uhusika wa USA katika hili.
Nimeona leo Waandamanaji huko Hongkong wakiimba wimbo wa Taifa wa USA na kupeperusha bendera za USA kila kona,na wakati huo huo wakiimba Jina la president Trump na USA.
Suala la msingi ni kuwa wanaiomba USA na raisi Trump awaokoe kutoka mikononi mwa utawala kandamizi wa china.
Kuna maswali nimejiuliza matatu!!
1.kwanini hawajamuomba raisi wa China xi jinping au kiongozi wao wa Hongkong mwanamama Cam awahurumie na kuwarejeshea uhuru na democracy yao ila wanamuomba Trump?
2.kwanini wasiiombe nchi ya uingereza ambayo iliwatawala na baadae kuwapa uhuru wao kwa kuwakabidhi kwa china?
3.kwanini wasiuombe umoja wa mataifa,au nchi nyinginezo duniani Kama Russia,Germany au ufaransa ila wao wanataka USA?
4.je USA ana mamlaka kiasi gani kiasi kwamba anaweza kuwasaidia wana Hongkong kuliko umoja wa mataifa?
Naomba ndugu wadau tujadili hayo maswali kwa kina,maana peke yangu hadi sasa sijapata jibu,why?
Nimekuwa nikilifuatilia hili suala la maandamano huko Hongkong china,ambayo sasa yanaelekea mwezi wa 3 mfululizo.
Kama ni mfuatiliaji wa haya masuala ya kimataifa na migogoro Kama hii,utakuwa Unajua kuwa source ya Hongkong protests ni bill ya extradition of criminals to China (kwamba watuhumiwa wa makosa ya jinai huko Hongkong ilitakiwa waanze kupelekwa china) iliyopelekwa kwenye bunge la Hong Kong.
Wananchi wakaona autonomy yao Kama Hongkong citizen's under two goverments one country inaenda kufa na wao kumezwa na China.
Lakini cha kushangaza china wanaishutumu USA chini ya black hand of CIA,na si mtu mwingine,na hata vyombo vya Habari vya china vinataja wazi kuwa CIA inawalipa protesters ili waandamane.
Kitu ambacho USA wanagoma,
Nadhani hata nyie wadau Mnaweza kulinganisha source ya maandamano na uhusika wa USA katika hili.