Msongoru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 306
- 24
Katika hali inayo onesha JK amejipanga kupata kura za walimu, wiki hii waalimu wamepandishwa madaraja na barua zao zimeambanishwa na fomu maalum ya kukubali ama kukataa daraja. Jambo hili halijawahi kutokea kwa mika mingi na waaliu wamekuwa na madai haya miaka nenda miaka rudi.....
Jambo hili linaonesha picha gani? Nawaaasa waalimu wasidanganyike....... maumivu watakayopata kwa miaka mitano, hayo madaraja ni kama tone baharini.
Jambo hili linaonesha picha gani? Nawaaasa waalimu wasidanganyike....... maumivu watakayopata kwa miaka mitano, hayo madaraja ni kama tone baharini.