bereng
Senior Member
- Feb 5, 2013
- 114
- 21
Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Tuwafikie Tanzania inatoa nafasi za kazi ya ualimu wa ujasiriamali kwa watu wenye ujuzi wa kutengeneza bidhaa mbalimbali zenye viwango. Bidhaa hizo ni pamoja na:-
sabuni aina zote, manukato, mafuta ya kupaka ya mgando, shampoo, losheni, batiki, mishumaa, dawa za usafi, unga wa lishe, keki, wine aina mbalimbali, n.k
Tunahitaji pia watu wanaoweza kufundisha:- upambaji ktk sherehe, ushereheshaji, muziki, na sanaa ya maigizo.
Kama una ujuzi kati ya mambo yaliyotajwa hapo juu, tutumie maombi kupitia baruapepe: tuwafikiemwanza@gmail.com
Maombi kwa wakazi wa Mwanza yatapewa kipaumbele.
sabuni aina zote, manukato, mafuta ya kupaka ya mgando, shampoo, losheni, batiki, mishumaa, dawa za usafi, unga wa lishe, keki, wine aina mbalimbali, n.k
Tunahitaji pia watu wanaoweza kufundisha:- upambaji ktk sherehe, ushereheshaji, muziki, na sanaa ya maigizo.
Kama una ujuzi kati ya mambo yaliyotajwa hapo juu, tutumie maombi kupitia baruapepe: tuwafikiemwanza@gmail.com
Maombi kwa wakazi wa Mwanza yatapewa kipaumbele.