Sham777
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 334
- 836
Habari zenu naomba niwape mrejesho. Baada ya kukaa kwa shemeji yangu kwa zaidi ya miaka Mitatu na kupitia changamoto nyingi nimefanikiwa kupata kazi katika kampuni ya Wachina tunauza na kusambaza Solar System. Ni jambo la heri sana kwangu maana nime fight kwa mda mrefu sana bila ya kupata kazi na umri wangu tayari ni mkubwa ivyo kukaa kwa chini ya mtu ni mtihani sana..
Kutokana na kuchoka kukaa kwa mtu na kuwa tegemezi, kukosa Privacy na mambo kibao ambayo siwezi yataja, siku nilivyo nipigiwa simu niende nikasaini barua ya mkataba wa kazi wala sikufikilia mara mbili. Mkataba ni kufanya kazi Chini ya iyo kampuni ndani ya miaka Miwili na Mshara wangu ni 270,000/= ( laki mbili na sabini tu) na makubaliano yetu kuwa mshara utapanda endapo kampuni ikianza kuingiza faida sababu hii ni kampuni mpya na imeanza kipindi kibay cha anguko la kiuchumi kutokana na Hawa CVD Virus.
Nimefanya kazi mwezi mmoja nikitokea Nyumban (kwa shemeji) mbaka nilipo pata mshara wangu wa kwanza na kuaga na kuondoka kwa aman kwa Shemeji nikiwa na iman sasa naenda kuishi maisha yangu yatakayo kuwa na furaha, uhuru, privacy na aman ila mambo ni tofauti sana na nilivyo tarajia.
Nilipo pata mshahara wangu kitu cha kwanza nilitafuta chumba nikafanikiwa kupata chumba na sebule ambayo nalipia elfu 60,000/= kwa mwezi na nimelipia miezi mitatu jumla 220,000 pamoja na malipo ya dalali. nikafanya shopping ya nguo za kuvaa kazini sababu ya nguo nilizo kua nazo zilikuwa ni kuu kuu kidogo jumla ikani cost 40,000/=. Pia kutokana nilikuwa na kaakiba kangu nikafanikiwa kununua tuvitu tudogo twa kunirahishia maisha kwangu ila maisha yamekuwa magumu mara mia zaidi.
Lengo la huu uzi ni kuwauliza wenzangu mnaishi vip ambao mmeajiriwa na mishahara yanu aizidi laki 4 na wengine mnaishi kabisa na familia zenu na mnasomesha, je kuna ujanja ujanja mwingine huwa mnatumia ili angalau kuwe na wepesi wa maisha. Binafsi kwa huu mshahara sizani kama nitadumu hata miezi sita sababu kuu nimeona nitakuwa nafanyia kazi tumbo tu na hakuna nitakacho save kwa ajiri ya future, na hivi karibuni natarajia kuitwa baba na ndio sababu nimechukua chumba na sebule sijachukua single room.
Nahitaji sana ushauri wenu ili angalau na mim niishi maisha ya kawaida sababu nina mahitaji mengi sana ya kununua kwa mshahara wa mwezi huu sizani kama nitaweza. Nashukuru pia siku ninayo ondoka kwa shemeji kuna vitu niliazimwa kwa ajili ya kuanzia life kama godoro na vitu vingine ambavyo natakiwa nirudishe pindi nitakapo nunua vya kwangu.
NB:
Kwa wale wabobezi wa Lugha mtanisamehe bure mim sio mwandishi mzuri na pia sio mwongeaji mzuri wa Lugha ya kiswahili. Nachanganya sana L na R pia H na A kutokana na mazingira niliyo kulia na kuishi...
Kutokana na kuchoka kukaa kwa mtu na kuwa tegemezi, kukosa Privacy na mambo kibao ambayo siwezi yataja, siku nilivyo nipigiwa simu niende nikasaini barua ya mkataba wa kazi wala sikufikilia mara mbili. Mkataba ni kufanya kazi Chini ya iyo kampuni ndani ya miaka Miwili na Mshara wangu ni 270,000/= ( laki mbili na sabini tu) na makubaliano yetu kuwa mshara utapanda endapo kampuni ikianza kuingiza faida sababu hii ni kampuni mpya na imeanza kipindi kibay cha anguko la kiuchumi kutokana na Hawa CVD Virus.
Nimefanya kazi mwezi mmoja nikitokea Nyumban (kwa shemeji) mbaka nilipo pata mshara wangu wa kwanza na kuaga na kuondoka kwa aman kwa Shemeji nikiwa na iman sasa naenda kuishi maisha yangu yatakayo kuwa na furaha, uhuru, privacy na aman ila mambo ni tofauti sana na nilivyo tarajia.
Nilipo pata mshahara wangu kitu cha kwanza nilitafuta chumba nikafanikiwa kupata chumba na sebule ambayo nalipia elfu 60,000/= kwa mwezi na nimelipia miezi mitatu jumla 220,000 pamoja na malipo ya dalali. nikafanya shopping ya nguo za kuvaa kazini sababu ya nguo nilizo kua nazo zilikuwa ni kuu kuu kidogo jumla ikani cost 40,000/=. Pia kutokana nilikuwa na kaakiba kangu nikafanikiwa kununua tuvitu tudogo twa kunirahishia maisha kwangu ila maisha yamekuwa magumu mara mia zaidi.
Lengo la huu uzi ni kuwauliza wenzangu mnaishi vip ambao mmeajiriwa na mishahara yanu aizidi laki 4 na wengine mnaishi kabisa na familia zenu na mnasomesha, je kuna ujanja ujanja mwingine huwa mnatumia ili angalau kuwe na wepesi wa maisha. Binafsi kwa huu mshahara sizani kama nitadumu hata miezi sita sababu kuu nimeona nitakuwa nafanyia kazi tumbo tu na hakuna nitakacho save kwa ajiri ya future, na hivi karibuni natarajia kuitwa baba na ndio sababu nimechukua chumba na sebule sijachukua single room.
Nahitaji sana ushauri wenu ili angalau na mim niishi maisha ya kawaida sababu nina mahitaji mengi sana ya kununua kwa mshahara wa mwezi huu sizani kama nitaweza. Nashukuru pia siku ninayo ondoka kwa shemeji kuna vitu niliazimwa kwa ajili ya kuanzia life kama godoro na vitu vingine ambavyo natakiwa nirudishe pindi nitakapo nunua vya kwangu.
NB:
Kwa wale wabobezi wa Lugha mtanisamehe bure mim sio mwandishi mzuri na pia sio mwongeaji mzuri wa Lugha ya kiswahili. Nachanganya sana L na R pia H na A kutokana na mazingira niliyo kulia na kuishi...