Hatimae upepo umepuliza na nyeti za kuku zimeonekana.Ni kinyume chake mkuu. In fact wako tayari kupokea mtu yeyote kwa sababu watu hawapo kabisa. ----- chanjo mkuu imetimiza makusudi yake.
Ni kinyume chake mkuu. In fact wako tayari kupokea mtu yeyote kwa sababu watu hawapo kabisa. ----- chanjo mkuu imetimiza makusudi yake.
Ukisoma kwenye link niliyoweka utaona incentives wanazotoa ni za kubwa sio kawaida. Lakini bado hawapati waomba kazi. Kwa hiyo, sio kwamba watu wanaacha kazi, ila watu HAWAJI kuomba kazi.Ingawa hela ya benefit si kubwa lakini kuna option, kama kazi huipendi au bosi mnoko unaenda kukinga bakuli hulali na njaa.
Wazungu wanapenda kazi za 09:00 - 17:00 Monday to Friday.Ukisoma kwenye link niliyoweka utaona incentives wanazotoa ni za kubwa sio kawaida. Lakini bado hawapati waomba kazi. Kwa hiyo, sio kwamba watu wanaacha kazi, ila watu HAWAJI kuomba kazi.
Hebu ona hizi incentives Sky Eclat
About 40 per cent of respondents said they offer training and skills development to attract and retain talent. A similar share reported offering flexible work schedules. Nearly a third increased wages. Others offered signing bonuses and more vacation time.
Kuna watu wanapita mitaani kuorodhesha watu wenye umri wa miaka sitini kwenda juu. Leo hii hapa Dar zoezi linaendelea, wanaoandikisha hawajui ni kwanini takwimu hizo zinakusanywa.... Kaa chojo saa mbaya!.Ni kinyume chake mkuu. In fact wako tayari kupokea mtu yeyote kwa sababu watu hawapo kabisa. ----- chanjo mkuu imetimiza makusudi yake.
Ni jambo la kusikitisha. Kule majuu walishawafanyia kitu mbaya wazee.---- “I’ve seen 32 elderly people pass away immediately after taking the Moderna vaccine. ”Kuna watu wanapita mitaani kuorodhesha watu wenye umri wa miaka sitini kwenda juu. Leo hii hapa Dar zoezi linaendelea, wanaoandikisha hawajui ni kwanini takwimu hizo zinakusanywa.... Kaa chojo saa mbaya!.
Ingekuwa vizuri sana kama hali ingekuwa hivyo ndugu yangu.Kama vipi mabalozi wa bongo wafanye Mkurabita wazee wa kuchapa kazi tuingie huko tukachape kazi na kupata hayo mafao.
Hapa bongo tunabembelezana utadhani kitu gani sijui..... Kazi watu hawataki kuajiri. Ukiingia kitaa kujiajiri hawa wadangaji (TRA na vimamlaka vingine) wanakuja kukudangia na tozo zao za kindezi.
Ukikaa home njaaa na madeni vinakubaka.... Jamani. Kwann tunaishi kwa shida hivi na huko nje watu wanatafuta watendaji.
Ingekuwa vizuri sana kama hali ingekuwa hivyo ndugu yangu.
Lakini huko siko dunia inakoenda.
Umoja wa Mataifa una kitu wanachoita Ajenda 2030.
Lengo la wahusika ni kuleta world government ambayo ni ya kidikteta duniani kote.
Kwa watakaokuwa wamebaki baada ya kumaliza zoezi la kupunguza watu,
Utakuwa ukifuatiliwa kwa saa 24 uliko na unachofanya.
Kisha utalipwa pesa KIDOGO TU kwa kazi utakayokuwa umepewa na umeifanya KIKAMILIFU.
Mkuu BAK hudhani kama culling the herd ni ajenda. Please, watch the following.
View attachment 1940552
hagaya ametusalityUnamaanisha nini mkuu?