Waajiri wa Technolojia ya kompyuta hawajui wanahitaji watu wa aina gani..

mnyikungu

JF-Expert Member
Jul 26, 2009
1,960
2,464
Habari wadau,
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia namna ajira hizi za IT na computer science, katika kufuatilia kwangu nimegundua waajiri wengi ama wanakosa MTU mwenye sifa stahili kwa kazi yao au mtu ana sifa kwa vigezi vyao ila hana uwezo..

Kwanini nasema hivi...technolojia ya komputer ni teknolojia ambayo inakuwa na kutanuka kila siku..baada ya kuona inakuwa kwa kasi basi zikatokea taasisi ambazo zilijikita kwenye sehemu ndogo ndogo ili kutoa elimu ya uhakika kwenye eneo husika..mfano vyuo ama taasisi nyingi zikaikatasha hiyo IT na komputer weee katika vipande vidogo vidogo...sikuhizi MTU anasomea IT security tu, wengine Networking tu...wengine database tu...wengine system administration tu..na kadhalika...solo haliwabagui hawa watu na wamekuwa watu was muhimu sana kwasababu wamebobea katika hizo nyanja, sasa solo la tz halijui huo mnyumbuluko..unakuta kampuni inamhitaji MTU wa kusimamia website tu..halafu vigezo eti degree ya computer science...huuu ni utani..taasisi nyingine unakuta INA shida ya MTU wa security tu...kisa kigezo no degree basis inamuacha MTU mwenye uwezo aliyesomea security...unakuta bank inamhitaji MTU wa kusimamia data zao tu...ila sifa watazotaja kubwaaa kweli...wameifanya hi I nyanja kuwa ya ajabu na imezuia ubunifu wa watu..maana hata MTU mwenye internet cafe tu naye anataka mwenye degree....eti shule ya msingi inamhitaji Mwalimu wa komputer nayo sifa mwenye degree...sasa atawafundisha mini watoto kama sio kuharibu na kushusha uwezo wake tu, LAZIMA TAASISI ZIJIFUNZE KUMTAFUTA MTU SAHIHI MWENYE SIFA SAHIHI KWA KAZI SAHIHI
 
Wazo jema ndo maana taasisi zingine zikitoa nafasi za kazi zinaandika sifa za mtu zinaemtaka pamoja na majukumu anayotakiwa kuyafanya kiasi kwamba mtu unapoomba unajiuliza anaehitajika hapa ni mwenye Diploma, Degree ama Masters kwa jinsi tangazo lilivyosukwa na kama hujiamini huwezi omba
 
Wazo jema ndo maana taasisi zingine zikitoa nafasi za kazi zinaandika sifa za mtu zinaemtaka pamoja na majukumu anayotakiwa kuyafanya kiasi kwamba mtu unapoomba unajiuliza anaehitajika hapa ni mwenye Diploma, Degree ama Masters kwa jinsi tangazo lilivyosukwa na kama hujiamini huwezi omba
Yeah hiyo ni kweli kabisa
 
true mkuu, kuna vitu hata usome hadi uwe profesa huwezi fanya, mfano design mara nyingi ni kipaji cha kuzaliwa, kuna watu hata kushika mouse vizuri ni tabu ila anaweza akadesign logo mwenyewe ukashangaa ila mwengine ana degree ya multimedia ila kutengeneza kitu cha ki artist ni mtihani. pia vipo vitu vingi sana ambavyo hata vyuoni havifundishwi kutokana na technology inavyokwenda upesi upesi hivyo huhitaji mtu anaejifunza mwenyewe, mfano mzuri ni simu ambayo mtaala tu wa miaka 3 iliopita ukiutumia unakuwa outdated
 
Kozi za information technology ni Pana sanaaaa, kulingana na ufundishaji wetu apa bongo na Wanafunzi wetu kuelewa kwao inabidi wasome kwa mtindo huo. Wengineo wanakuja kuijua computer chuoni. Sasa mtu kaaama huyo ni changamoto
 
Siku hizi taasisi nyingi wanazotia hii elimu vyeti vyao vinaexpire baada ya muda fulani ili kumlazimisha muhusika awe updated...kwetu tumekariri awe na degree...degree zenyewe watu wanafundishwa vitu vya mwaka 47 huko.haya masomo ni ya kibabe...na ubabe wake uko kuchwani...wewe muajiri nagitaji tu kukuthibitishia namna nilivyomkali kwenye suala husika...wakikazana hayo madegree watabaki hivyohivyo
 
Umenena ukweli.....ule utafiti wa yule mama kutoka Banki ya dunia kama sio umoja wa mataifa ulioonyesha Tanzania ina uhaba wa wataalamu wenye ujuzi na ufanisi ulikuwa sahihi kwa upande m'moja ila kwa upande mwingine ulikuwa biased. Kwasababu watu wengi wenye ujuzi huwa wanapata alama za chini sana kwenye mfumo wa elimu ya tz nia ambao unakila aina ya kutu ya kiwango cha chini nashangaa bado tunatukuza ati wasomi wa tz. Kiukweli kuna watu wana skills balaa ila katu hutaweza waona kama utawataka kwa kuwapa kigezo cha degree hii ya tz ya kutaka watu kwa ma'G.P.A ya 1st class.......

Hili ni tatizo kubwa sana......me kuna vijana kibao huwa nawaona wapo vizuri sana but unakuta hajafika mbali kielimu......nataka nije kufanya jambo kuhusu hii changamoto ili tuondokane na haya amatatizo.

SONY Xperia Z5 Premium
 
Back
Top Bottom