Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Kuanzia 2015 hadi Leo Asilimia kubwa ya waajiri wamekuwa wabinafsi mno wanataka kuajiri watu wenye Experience tu hawa waliomaliza Chuo wataajiriwa na nani.
Hata Nafasi za kujitolea kupata experience hamtaki kuwapa, graduate’s wamekuwa na hali mbaya sana mtaani wanakufa na msongo wa mawazo.
Walioajiwa wako busy kuwashauri waliomaliza Chuo wajiaajiri Ukiangalia Mtaji Hawana nyumbani hali ngumu
Huu Msemo wa kuwaambia waliomaliza chuo wajiajiri, wanachukulia kujiajiri ni issue simple sana.
Mtu ajiajiri vipi mtaji hana?
Wabunge nao ndo wamekuwa wabinafsi kabisa wanashindwa kuliangalia hili swala kwa upana zaidi.
Serikali inashindwa hata kutengeneza mazingira ya kuwakopesha waliomaliza Chuo hili wajiajiri kama imeshindwa kuwapa Ajira.
Hivi wabunge wanajadiligi nini bungeni kama vitu vya msingi hivi vinachukuliwa Poa, Mnawaambia watu wajiajiri na Mitaji hawana mnataka hawa Vijana Wajiajiri vipi kwa Mfano mnawaumiza sana hawa Vijana waliomaliza vyuo vikuu.
Mnataka kuajiri watu wenye experience ya miaka mitatu hadi kumi Huu ni ubinafsi wa kiwango cha juu kabisa means mnataka hizi kazi mpeane wenyewe kwa wenyewe
NGOs ndo zimekuwa hovyo kabisa Mnawanyima watu hata kazi za kujitolea na kuwaajiri pia hamtaki mnataka mtu mwenye experience ya 5 years na kuendelea hii inaumiza sana vijana
Mmekazana mjiajiri mjiajiri Ebu na nyie mnaosema hivyo acheni kazi then mkajiajiri Muone moto wake mnaongea simple tu lakini mnawaumiza sana hawa Vijana waliomaliza Chuo.
Hata Nafasi za kujitolea kupata experience hamtaki kuwapa, graduate’s wamekuwa na hali mbaya sana mtaani wanakufa na msongo wa mawazo.
Walioajiwa wako busy kuwashauri waliomaliza Chuo wajiaajiri Ukiangalia Mtaji Hawana nyumbani hali ngumu
Huu Msemo wa kuwaambia waliomaliza chuo wajiajiri, wanachukulia kujiajiri ni issue simple sana.
Mtu ajiajiri vipi mtaji hana?
Wabunge nao ndo wamekuwa wabinafsi kabisa wanashindwa kuliangalia hili swala kwa upana zaidi.
Serikali inashindwa hata kutengeneza mazingira ya kuwakopesha waliomaliza Chuo hili wajiajiri kama imeshindwa kuwapa Ajira.
Hivi wabunge wanajadiligi nini bungeni kama vitu vya msingi hivi vinachukuliwa Poa, Mnawaambia watu wajiajiri na Mitaji hawana mnataka hawa Vijana Wajiajiri vipi kwa Mfano mnawaumiza sana hawa Vijana waliomaliza vyuo vikuu.
Mnataka kuajiri watu wenye experience ya miaka mitatu hadi kumi Huu ni ubinafsi wa kiwango cha juu kabisa means mnataka hizi kazi mpeane wenyewe kwa wenyewe
NGOs ndo zimekuwa hovyo kabisa Mnawanyima watu hata kazi za kujitolea na kuwaajiri pia hamtaki mnataka mtu mwenye experience ya 5 years na kuendelea hii inaumiza sana vijana
Mmekazana mjiajiri mjiajiri Ebu na nyie mnaosema hivyo acheni kazi then mkajiajiri Muone moto wake mnaongea simple tu lakini mnawaumiza sana hawa Vijana waliomaliza Chuo.