Waafrika wengi tunaishi kama mifugo

0ozg Tz

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
4,159
11,093
Hatuna muda wa kuinjoy maisha

Mkikutana wapenzi ndani ya wiki mbili tu mmeshabebeshana mimba

Hakuna time ya kufutahia uhusiano wenu utazani nyie ni ng'ombe kwamba mkizaa haraka mnamsaidia mfugaji kupata maziwa na mifugo kuongezeka.

Ona wenzetu weupe wanavyoinjoy,wanaanza na uchumba,wanakaa kwenye uchumba zaidi hata ya miaka miwili bila kunyanduana na hapo unakuta wanafanya safari kibao tu za pamoja mpaka wanakuja afrika mbugani huko no kunyanduana

Hawa wakianza kunyanduana utamu wa hapo sio wa kawaida na utamuona mpenz wako ni mtu mtamu kuliko kiumbe chochote duniani maana miili inakuwa ishatamaniana muda mrefu mpaka basi.

Na wakianza kunyanduana hawakimbilii kuzaa fasta kama wanakimbizwa,wanaweza kunyanduana kwa miaka miwili tena kabla ya kuanzisha familia

Na wote wanakuwa wapapanaji hakuna mtu kukaa na kumtegemea mwenzie kila mtu anafanya kazi na kujilipia bills zake,hata wakikaa pamoja lazima kila mtu alipe bills kwa kusaidiana sio huku kwetu dada zetu wanaishi kwa kumtegemea mwanaume!

FB_IMG_1639545216143.jpg
 
Mila na tamaduni zinatofautiana miongoni mwa jamii mbalimbali kwa hiyo utaratibu wa maisha hata baina ya watu binafsi ndani ya jamii moja haujawahi kuwa uniform.
 
Nikukumbushe tu!

Ukiwa na watoto zaidi ya 2 hao si watoto tena bali ni mifugo!!


#Usipobadilikatutakubadilisha
#Tighabhatemwe
 
Acha Ujinga we kwahiyo unataka kunambia wale white pipo wakiwa kwenye uchumba hawanyanduani ww unaushahidi gani wanakulana kisawasawa vibaya mno.

Kila MTU namipango yake Bana alafu jifunze kujipenda na kupenda wenzio utajifananishaje na mifugo maana mifugo anamla hata mama yake hata uzao wake wanyanduana tuu popote katika mazingira yoyote.
 
Hatuna muda wa kuinjoy maisha

Mkikutana wapenzi ndani ya wiki mbili tu mmeshabebeshana mimba

Hakuna time ya kufutahia uhusiano wenu utazani nyie ni ng'ombe kwamba mkizaa haraka mnamsaidia mfugaji kupata maziwa na mifugo kuongezeka.

Ona wenzetu weupe wanavyoinjoy,wanaanza na uchumba,wanakaa kwenye uchumba zaidi hata ya miaka miwili bila kunyanduana na hapo unakuta wanafanya safari kibao tu za pamoja mpaka wanakuja afrika mbugani huko no kunyanduana

Hawa wakianza kunyanduana utamu wa hapo sio wa kawaida na utamuona mpenz wako ni mtu mtamu kuliko kiumbe chochote duniani maana miili inakuwa ishatamaniana muda mrefu mpaka basi.

Na wakianza kunyanduana hawakimbilii kuzaa fasta kama wanakimbizwa,wanaweza kunyanduana kwa miaka miwili tena kabla ya kuanzisha familia

Na wote wanakuwa wapapanaji hakuna mtu kukaa na kumtegemea mwenzie kila mtu anafanya kazi na kujilipia bills zake,hata wakikaa pamoja lazima kila mtu alipe bills kwa kusaidiana sio huku kwetu dada zetu wanaishi kwa kumtegemea mwanaume!

View attachment 2049550
Ni umaskini, sisi ni njoo gheto ukifika gheto mwendo wa feni.
Haki mapenzi na umaskini hayanogi kwakweli
 
Ukijaribu huo mtazamo wako kwa bongo hii utaitwa bwabwa, nyuki wa mashineni, choko,
Tena anayekuita ni huyohuyo wa ubavuni mwako
 
Tatizo nyege zinawasumbua,imagine hata beach tu watu wanaogelea mtu unakuta kachanganyikiwa anataka kupiga machine humo humo kwenye maji ..!
 
Ni kawaida ya waafrika wengi kubebeshana mimba ilihali wakiwa kwenye uchumba, na wengine huzaa na wanawake wa nje zaidi ya mmoja, ivyo kila mtoto na mama yake.
 
Back
Top Bottom