0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,159
- 11,093
Hatuna muda wa kuinjoy maisha
Mkikutana wapenzi ndani ya wiki mbili tu mmeshabebeshana mimba
Hakuna time ya kufutahia uhusiano wenu utazani nyie ni ng'ombe kwamba mkizaa haraka mnamsaidia mfugaji kupata maziwa na mifugo kuongezeka.
Ona wenzetu weupe wanavyoinjoy,wanaanza na uchumba,wanakaa kwenye uchumba zaidi hata ya miaka miwili bila kunyanduana na hapo unakuta wanafanya safari kibao tu za pamoja mpaka wanakuja afrika mbugani huko no kunyanduana
Hawa wakianza kunyanduana utamu wa hapo sio wa kawaida na utamuona mpenz wako ni mtu mtamu kuliko kiumbe chochote duniani maana miili inakuwa ishatamaniana muda mrefu mpaka basi.
Na wakianza kunyanduana hawakimbilii kuzaa fasta kama wanakimbizwa,wanaweza kunyanduana kwa miaka miwili tena kabla ya kuanzisha familia
Na wote wanakuwa wapapanaji hakuna mtu kukaa na kumtegemea mwenzie kila mtu anafanya kazi na kujilipia bills zake,hata wakikaa pamoja lazima kila mtu alipe bills kwa kusaidiana sio huku kwetu dada zetu wanaishi kwa kumtegemea mwanaume!
Mkikutana wapenzi ndani ya wiki mbili tu mmeshabebeshana mimba
Hakuna time ya kufutahia uhusiano wenu utazani nyie ni ng'ombe kwamba mkizaa haraka mnamsaidia mfugaji kupata maziwa na mifugo kuongezeka.
Ona wenzetu weupe wanavyoinjoy,wanaanza na uchumba,wanakaa kwenye uchumba zaidi hata ya miaka miwili bila kunyanduana na hapo unakuta wanafanya safari kibao tu za pamoja mpaka wanakuja afrika mbugani huko no kunyanduana
Hawa wakianza kunyanduana utamu wa hapo sio wa kawaida na utamuona mpenz wako ni mtu mtamu kuliko kiumbe chochote duniani maana miili inakuwa ishatamaniana muda mrefu mpaka basi.
Na wakianza kunyanduana hawakimbilii kuzaa fasta kama wanakimbizwa,wanaweza kunyanduana kwa miaka miwili tena kabla ya kuanzisha familia
Na wote wanakuwa wapapanaji hakuna mtu kukaa na kumtegemea mwenzie kila mtu anafanya kazi na kujilipia bills zake,hata wakikaa pamoja lazima kila mtu alipe bills kwa kusaidiana sio huku kwetu dada zetu wanaishi kwa kumtegemea mwanaume!