Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,898
- 3,006
Nina hakika
Tungekuwa mbali mno katika kila sekta
Wazungu,ndio waliotufanya sisi ni wajinga mbele yao,
Ila kabla ya ujio wao,Waafrika walikuwa na sifa hizi:-
Waaminifu(wengi wao)
Wana utu
Wanajua utawala
Wachapa kazi na Werevu
Tungekuwa mbali mno katika kila sekta
Wazungu,ndio waliotufanya sisi ni wajinga mbele yao,
Ila kabla ya ujio wao,Waafrika walikuwa na sifa hizi:-
Waaminifu(wengi wao)
Wana utu
Wanajua utawala
Wachapa kazi na Werevu