kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Yaani nchi kama Qatar, Singapore uchumi wao ni mkubwa kuliko wetu.
Hivi watanzania tuna feli wapi?
Sio wa Tanzania peke yetu, Afrika tunafeli wapi kabisa
Au sisi ndo kile kizazi cha Israeli ambacho kililaaniwa na Mungu?
Tunaweza kuwa tunaishi kumbe tayari tumeshalaaniwa.
Hivi watanzania tuna feli wapi?
Sio wa Tanzania peke yetu, Afrika tunafeli wapi kabisa
Au sisi ndo kile kizazi cha Israeli ambacho kililaaniwa na Mungu?
Tunaweza kuwa tunaishi kumbe tayari tumeshalaaniwa.