Si tulioishi na kufanya nao kazi tunajua huo ni upuuzi wako.
Unaonaje akakuoa!!
Kwa akili hizi tutaendelea kulalama wazungu Super human wakati wao wanawaza picha za sayari ya Jupiter waliofikia kwa zaidi ya miaka mitano sisi tunawaza kupeana lift porini na kuzamia harusi
Ifanyishe kazi akili yako kufikiria mambo maishani mwako na kwa jamii nzima. Ukiujaza ubongo wako na hisia hasi, za kujidunisha, utaudumaza ubongo wako na hutafanya la maana. Kila dakika ipitayo hairudi. Binadamu, wa rangi zote tuna uwezo tofauti wa akili, na namna tunavyoitumia. Ukijaliwa akili hata kubwa kiasi gani, ukiidumaza, haitakusaidia ww wala jamii ya dunia.
huyo hapo mwizi wa ATM naye ni mzungu watu wamempa kipondo heavy. Bila kujali rangi yake
huyo hapo mwizi wa ATM naye ni mzungu watu wamempa kipondo heavy. Bila kujali rangi yake
Daah umeniacha hoi mkuu.Wazungu hatuwawezi hata kidogo.ona mungu na mzungu toa hiyo herufi z toka kwenye neno mzungu uone itasomeka vipi,kisha andika mswahili na uikatekate unavyopenda hata neno mbingu halitokei
Yaani watu kama wewe ndiyo mnakubali kuwa second citizens kwenye bara lenu wenyewe. Nilikwenda Malawi kwenye mkutano miaka michache iliyopita, asubuhi nilikwenda bank kabla mkutano haujaanza, kulikua na foleni, nikajiunga kwenye mstari, kwakua ilikua mapema bank haijafunguliwa nilikuwa mtu wa pili, nyumba yangu watatu mzungu. Huduma zilipoanza aliitwa yule mzungu watatu kwenye foleni akahudumiwa kwanza, niliumia lakini pale nilikauka nchi ya watu. Jioni niliuliza wenyeji inakuaje wakanijibu kuwa wazungu hawapangi foleni. Jamani miaka mingapi baada ya uhuru.Wazungu hatuwawezi hata kidogo.ona mungu na mzungu toa hiyo herufi z toka kwenye neno mzungu uone itasomeka vipi,kisha andika mswahili na uikatekate unavyopenda hata neno mbingu halitokei