Waafrika tumefikia kwenye hatua mbaya sana. Baadhi ya wachungaji wa kilokole wamejipa uungu mtu, wanapenda kutukuzwa, kuabudiwa na kusujudiwa

Naona umeandika kinyume chake. Nikukuletea hiyo Quran iliyoandikwa kiarabu utaisoma?
Nimeishi na waislamu wengi hawaijui Quran. Wamekariri aya za kuswali tu lkn sasa mpe hiyo Quran mnavyotafutana.
Upuuzi huo sisi Waislam hatunaga.
Kwanza kwenye Uislam ukiongeza kitu ambacho hakipo kwenye Quraan ama Hadithi ya mtume ujue kichapo kinakuhusu.

Tatizo wakristo wengi hamuijui Bible kwa kuisoma, bali munaishia kuzibeba tu mikononi.

Tofauti na sisi Waislam, wengi tunakijua kitabu chetu kwa kukisoma.

Yani ukiingia msikitini ni wachache wasie ijua kilicho andikwa kwenye Quraan, yani mpaka mtoto wa miaka kumi na mbili anajua kuisoma na kuielewa Quraan.

Nyinyi kanisani anae ijua Bíblia ni mchungaji tu, wafuasi kalibu wote hawaji.

Kiufupi kanisani asipokua mchungaji basi ibada hakuna siku hiyo, wakati msikitini hata sheykh asipokuepo hata mimi naswalisha.
 
Kiongozi nakupa taarifa sahihi ninyi mnaojiita manabii,mitume sijui makuhani wa zama hizi sehemu yenu ni bottom less pit or hell you always deceive worshipers kupitia miujiza ya kipepo huwezi kuthibitisha humu kuwa attending to church without struggling to find your own bread utapata chochote kutoka kanjsani you are a living lier
Sijajua huelewi namna gani, labda niseme tena hivi, hakuna mtu aendeleae kufanya biashara imtiayo hasara! Kushamili kwa makanisa mengi na yanapata waumini, tambua lipo linalowafanya waumini kuhudhuria ibada zao, si bure tu!
Tatizo wengine mkikosa matamanio yenu mnadhani watu hawanufaiki ktk makanisa hayo!
Labda hujui, watu tunatofautiana namna ya kutambua thamani ya kitu, wewe waweza sema kitu hiki hakina thamani wakati wapo watu wengine wanaona thamani ndani yake!
Jambo jingine ni kuwa, raha na amani ya maisha ya mtu ipo katika nafsi yake, yaani kama mtu ana amani na raha ya dhati kuwa muumini wa dini flani, huwezi kumshawishi kuondoka huko kisa wewe huoni thamani ya akitendacho!
Jambo jingine unalopaswa kulijua, kila binadamu katika hali yoyote anayopitia anafanya hivyo kwa mpango wa Mungu, watu wote huwa tunajifunza kutoka wa wengine!
Ni nature, kila jambo lina wakati wake na katika wakati huo watu hujifunza mambo mbalimbali ya kuwaongoza kutenda uonavyo!
Binafsi sina tatizo na wewe, huenda kupinga kwako, kutoamini kwako kunakusaidia kuishi kwa amani, hayo ndo maisha!
 
Sijajua huelewi namna gani, labda niseme tena hivi, hakuna mtu aendeleae kufanya biashara imtiayo hasara! Kushamili kwa makanisa mengi na yanapata waumini, tambua lipo linalowafanya waumini kuhudhuria ibada zao, si bure tu!
Tatizo wengine mkikosa matamanio yenu mnadhani watu hawanufaiki ktk makanisa hayo!
Labda hujui, watu tunatofautiana namna ya kutambua thamani ya kitu, wewe waweza sema kitu hiki hakina thamani wakati wapo watu wengine wanaona thamani ndani yake!
Jambo jingine ni kuwa, raha na amani ya maisha ya mtu ipo katika nafsi yake, yaani kama mtu ana amani na raha ya dhati kuwa muumini wa dini flani, huwezi kumshawishi kuondoka huko kisa wewe huoni thamani ya akitendacho!
Jambo jingine unalopaswa kulijua, kila binadamu katika hali yoyote anayopitia anafanya hivyo kwa mpango wa Mungu, watu wote huwa tunajifunza kutoka wa wengine!
Ni nature, kila jambo lina wakati wake na katika wakati huo watu hujifunza mambo mbalimbali ya kuwaongoza kutenda uonavyo!
Binafsi sina tatizo na wewe, huenda kupinga kwako, kutoamini kwako kunakusaidia kuishi kwa amani, hayo ndo maisha!
Mkuu kupitia huu ujumbe nimepigia mstari wewe ni mmoja wa hao manabii fake mnaowaibia wajinga wasiopenda kunishughulisha kusoma maandika matakatifu yaani wale wanaopenda kulishwa na wachungaji uchwara kama wewe,eti hakuna mtu anapenda kuendelea na biashara imtiayo hasara unasahau mara hii kuwa ningi false prophets mnatumia magic power kuwafanya muendelee ku exist? Nalijua mno neno la Mungu aliyehai ktk hili namshukuru sana aliyehai mimi sibabaishwi kabisa na ninyi manabii uchwara although mke wangu anayumbishwa sana mpaka last week nikaingilia kati kumpiga marufuku na ninyi wajaa laana ma agent wa ant christ
 
Mkuu kupitia huu ujumbe nimepigia mstari wewe ni mmoja wa hao manabii fake mnaowaibia wajinga wasiopenda kunishughulisha kusoma maandika matakatifu yaani wale wanaopenda kulishwa na wachungaji uchwara kama wewe,eti hakuna mtu anapenda kuendelea na biashara imtiayo hasara unasahau mara hii kuwa ningi false prophets mnatumia magic power kuwafanya muendelee ku exist? Nalijua mno neno la Mungu aliyehai ktk hili namshukuru sana aliyehai mimi sibabaishwi kabisa na ninyi manabii uchwara although mke wangu anayumbishwa sana mpaka last week nikaingilia kati kumpiga marufuku na ninyi wajaa laana ma agent wa ant christ
Hisia zako zitakutesa, huenda ndo chaguo lako, umejifungamanisha na chuki, na kwa kujifunga kwako hivi kuna watu wanajifunza na wanapata nafuu ya maisha yao!
Naamini ktk kutenda wema na haki kwa kuwa kufanya hivyo ni kujitendea Mimi mwenyewe!
Kuwachukia watu na kuwatukana, ni jambo ambalo mtu anajitendea mwenyewe pia!
Fuatilia vizuri comments zangu, utagundua sipigii chapuo dini flani lakini naheshimu kile mtu anakithamini kwa namna yake!
 
Hisia zako zitakutesa, huenda ndo chaguo lako, umejifungamanisha na chuki, na kwa kujifunga kwako hivi kuna watu wanajifunza na wanapata nafuu ya maisha yao!
Naamini ktk kutenda wema na haki kwa kuwa kufanya hivyo ni kujitendea Mimi mwenyewe!
Kuwachukia watu na kuwatukana, ni jambo ambalo mtu anajitendea mwenyewe pia!
Fuatilia vizuri comments zangu, utagundua sipigii chapuo dini flani lakini naheshimu kile mtu anakithamini kwa namna yake!
Mimi situkani bali naongea fact kuweka mambo sawa niliokoka 1991 nikikumbuka wokovu na injili ya miaka hiyo ni tofauti kabisa na ninyi wajaa laana wa nyakati hizi,siku hizi huwezi kwenda kanisani kwa hao manabii fake ukapata GOMBO LA CHUO yaani INJILI ISIYOGHOSHIWA zaidi ya mahubiri ya mafanikio,watu hawafundishwi jinsi ya kuishi KITAUWA kumcha Mungu sababu manabii uchwara wanajua kumuambia mtu aache ulevi,uzinzi,uchawi,ibada ya sanamu nk kutamfanya huyo muumini asije tena kanisani kwake thats why ukienda kwa mwamposa utakuta Islamic worshippers wanahudhuria ibada as usual then baada ya kununua mafuta wanarudi makwao na dhambi zao na uislamu wao pasipo kutubu
 
Mimi situkani bali naongea fact kuweka mambo sawa niliokoka 1991 nikikumbuka wokovu na injili ya miaka hiyo ni tofauti kabisa na ninyi wajaa laana wa nyakati hizi,siku hizi huwezi kwenda kanisani kwa hao manabii fake ukapata GOMBO LA CHUO yaani INJILI ISIYOGHOSHIWA zaidi ya mahubiri ya mafanikio,watu hawafundishwi jinsi ya kuishi KITAUWA kumcha Mungu sababu manabii uchwara wanajua kumuambia mtu aache ulevi,uzinzi,uchawi,ibada ya sanamu nk kutamfanya huyo muumini asije tena kanisani kwake thats why ukienda kwa mwamposa utakuta Islamic worshippers wanahudhuria ibada as usual then baada ya kununua mafuta wanarudi makwao na dhambi zao na uislamu wao pasipo kutubu
Basi unachanganya mafaili Mzee, kwani unaelewa nini juu ya matabirio ya siku zinazoitwa za mwisho! Hutaki yatimie au hutaki kuamini unapoyashuhudia?
Ndio maana nimekwambia, mambo yanakwenda kwa nyakati zake, huu ni wakati wa kushuhudia unayoyaona na usipoelewa kuwa huu ni wakati wa haya unayoyaona basi utapata tabu sana!
Relax, be free! Mimi naelewa kinachoendelea na sipati tabu ninapoyaona yanayoendelewa! Kwa taarifa yako, mimi si muumini wa dhehebu lolote kwa muda takribani miaka 15, mara ya mwisho kuhudhuria kanisani ilikuwa kabla ya kumaliza chuo, na lilitokea jambo ambalo nililiona kama igizo mbele za Mungu kwenye maisha halisi!
Pamoja na hayo, ninayo elimu juu ya maisha katika ulimwengu wa mwili na nyama na yale yaliyo katika ulimwengu wa roho!
Elimu juu ya ulimwengu wa roho haimanishi kuwa mfuasi wa dini za kuzungu wala kiarabu, hata mababu zetu walitumia njia zao kadhaa kufanikisha masuala yao kwa kutumia elimu ya masuala ya ulimwengu wa roho!
Ukisikia mtu akitajwa mganga wa kienyeji, mchawi, malaika, jini, nk hawa wote hudhughulika ktk ulimwengu wa roho na uyaonayo wewe ni matokeo ya mipango ktk ulimwengu wa roho!
Natamani kukueleza ana kwa ana, huenda ktk uandishi huu nakosa namna ya kukufanya uelewe!
One thing to note, every action you do, comes from the spiritual plans!
 
Hayo mambo yako hivyo duniani kote hasa Marekani na Latin America.
 
Kuna kiwango dini ikifikia inakuwa kama uraibu.
Binafsi uwa nashangaa sana lakini nabaki kusikitika tu maana watu wenye imani na hao manabii na mitume fake kuwatoa huko ni ngumu sana.
 
Basi unachanganya mafaili Mzee, kwani unaelewa nini juu ya matabirio ya siku zinazoitwa za mwisho! Hutaki yatimie au hutaki kuamini unapoyashuhudia?
Ndio maana nimekwambia, mambo yanakwenda kwa nyakati zake, huu ni wakati wa kushuhudia unayoyaona na usipoelewa kuwa huu ni wakati wa haya unayoyaona basi utapata tabu sana!
Relax, be free! Mimi naelewa kinachoendelea na sipati tabu ninapoyaona yanayoendelewa! Kwa taarifa yako, mimi si muumini wa dhehebu lolote kwa muda takribani miaka 15, mara ya mwisho kuhudhuria kanisani ilikuwa kabla ya kumaliza chuo, na lilitokea jambo ambalo nililiona kama igizo mbele za Mungu kwenye maisha halisi!
Pamoja na hayo, ninayo elimu juu ya maisha katika ulimwengu wa mwili na nyama na yale yaliyo katika ulimwengu wa roho!
Elimu juu ya ulimwengu wa roho haimanishi kuwa mfuasi wa dini za kuzungu wala kiarabu, hata mababu zetu walitumia njia zao kadhaa kufanikisha masuala yao kwa kutumia elimu ya masuala ya ulimwengu wa roho!
Ukisikia mtu akitajwa mganga wa kienyeji, mchawi, malaika, jini, nk hawa wote hudhughulika ktk ulimwengu wa roho na uyaonayo wewe ni matokeo ya mipango ktk ulimwengu wa roho!
Natamani kukueleza ana kwa ana, huenda ktk uandishi huu nakosa namna ya kukufanya uelewe!
One thing to note, every action you do, comes from the spiritual plans!
Nimekuelewa mkuu ZNM
 
  • Thanks
Reactions: ZNM
Upuuzi huo sisi Waislam hatunaga.
Kwanza kwenye Uislam ukiongeza kitu ambacho hakipo kwenye Quraan ama Hadithi ya mtume ujue kichapo kinakuhusu.

Tatizo wakristo wengi hamuijui Bible kwa kuisoma, bali munaishia kuzibeba tu mikononi.

Tofauti na sisi Waislam, wengi tunakijua kitabu chetu kwa kukisoma.

Yani ukiingia msikitini ni wachache wasie ijua kilicho andikwa kwenye Quraan, yani mpaka mtoto wa miaka kumi na mbili anajua kuisoma na kuielewa Quraan.

Nyinyi kanisani anae ijua Bíblia ni mchungaji tu, wafuasi kalibu wote hawaji.

Kiufupi kanisani asipokua mchungaji basi ibada hakuna siku hiyo, wakati msikitini hata sheykh asipokuepo hata mimi naswalisha.

Wakristo wengi wanasali wenyewe bila kuongozwa na mchungaji, kwahiyo hamna tofauti na waislamu.
Lakini tujiulize ilikuaje tukakubali hizi dini za kigeni mpaka leo wakati tunaona wazi sio za kwetu, bali za waarabu na wayahudi?
Sisi tulikuwepo na imani zetu miaka mingi tu, kabla hata ya Musa.
 
Mafanikio hayatokani na bidii tu, yanatokana na bidii iambatanayo na roho wa mafanikio

Sio kila masikini hana bidii, kuna watu wanabidii ya kazi, ubunifu, na nguvu lakini bado ni masikini

Ukiambatana na roho wachafu, wabaya, hata usomeje, ubunije, ujibidisheje, hutoboi
Naona "case study" umejileta
 
Makala hii iliandikwa kwa kiingereza na Mwandishi Kay Musonda na kuchapishwa na jarida la Modern Ghana, toleo no.215 la April 1 mwaka huu. Nimefanya tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili pengine tutapata la kujifunza.

____________

Afrika kwa sasa inashuhudia aina mpya ya utumwa kupitia Ukristo (ulokole). Aina hii ya utumwa wa imani imewafanya watu wengi kuwa wavivu wa kufikiri na uwezo wa kutafakari mambo umedumazwa.

Baadhi ya wachungaji wa kilokole wamejipa uungu mtu. Wanapenda kutukuzwa, kuabudiwa na kusujudiwa. Wanajituza wao zaidi kuliko kumtukuza yule wanayemhubiri.

Wachungaji wa aina hii hawawezi kuongelea mafanikio ya watu weusi kama Barack Obama, Serena Williums, na Usain Bolt. Hawawezi kuongelea wagunduzi waliosaidia kutransform dunia kama kina Albert Einstein, Steve Jobs na wengine. Hawawezi kuongelea Wanasayansi waliodedicate maisha yao na wengine kufia maabara wakitafuta dawa za kutibu magonjwa mbalimbali yanayoisumbua Afrika.

Hawawezi kuongea kuhusu wanafasihi vijana kama Chimamanda Ngozi na Ben Okri, au wakongwe kama Chinua Achebe na Ngugi wa Thiong'o.

Kila pembe ya dunia kuna watu waliofanikiwa kutokana na maarifa, bidii, ubunifu, na weledi. Wapo wafanyabiashara, wanasiasa, wanafasihi na hata wanasayansi wanaofanya mambo makubwa ya kuisaidia dunia yetu. Lakini wachungaji wa Afrika hawatawaongelea watu wa aina hii.

Wao wataongelea mtu aliyepata kazi kimiujiza licha ya kukosa sifa za kupata kazi hiyo, kwa sababu tu aliombewa na kupewa mafuta ya upako siku ya interview ya kazi.

Wataongelea kuhusu kijana aliyetoa mshahara wake wote kwa miezi mitatu mfululizo kwa Mchungaji wake kama mbegu ya mafanikio, baadae akawa 'Boss' kazini.

Au wataongelea kuhusu kijana aliyefeli sekondari lakini baada ya baba yake kumalizia ukarabati wa nyumba ya Mchungaji, alipokea barua ya kupata 'admision' chuo kikuu bila hata kurudia mitihani.

Wachungaji hawa hutumia 'miujiza na shuhuda feki' kama njia ya kuwafumba akili wafuasi wao. Kule Afrika kusini kuna Mchungaji alidanganya kufufua mtu. Hata alipoomba msamaha bado kuna waumini wanaendelea kumuamini na kumsujudu.

Wachungaji hawa wamegundua haya ndio mahubiri yanayopendwa sana huku Afrika. Hawataki kuhubiri kuhusu Aliko Dangote alivyoanza biashara na magumu aliyopitia.

Wanahubiri kuhusu mama Janeth aliyekua mama Ntilie huko Enugu, lakini alipotumia mtaji wake wote wa shilingi laki 5 kununua mafuta ya upako kwa Nabii fulani, ghafla biashara yake ikakua na sasa anamiliki mahoteli makubwa pande zote za nchi. Yani bila mtaji, bila business plan, bila timeline ghafla tu akamiliki mahoteli. Na waumini watashangia kwa kusema Ameen.

Aina hii ya ukristo imepanda mbegu ya uvivu wa kufikiri kwa vijana wengi wa Afrika ambao wanalazimishwa kumuona Mungu kama Mfadhili wa wavivu, au wasiostahili. Kwamba mwanafunzi hata asiposoma anajua akipewa mafuta ya upako atafaulu tu siku ya mtihani. Mfanyabiashara hata asipokua mbunifu anajua akienda kwa 'baba wa miujiza' biashara yake itapanuka ghafla bin vuu. Mfanyakazi hata asipowajibika kazini anajua akitoa fungu la kumi kwa 'Dokta Upako' atapanda cheo.

Kwa baadhi ya makanisa Afrika namna pekee ya kufanikiwa ni kufanya kile wanachokiita kupanda mbegu, kupaka mafuta ya upako au kunyunyuziwa maji ya baraka. Eti wanaofanikiwa haraka ni watu 30 wa mwazo wanaokimbilia mbele ya kanisa kila mmoja akiwa ameshika noti ya dola 100.

Aina hii ya mahubiri inawafanya watu waamini kwamba Mungu hawapendi wanaojituma na kuwa wabunifu katika kazi, badala yake anawapenda zaidi wanaotoa zaka, sadaka, malimbuko na fungu la 10 hata kama ni wavivu. Hii sio sawa hata kidogo kwa sababu Biblia inakataa uvivu kwa nguvu zote (Mithali 12:27)
_
Watu wanaaminishwa kwamba ukishatoa sadaka kanisani unaweza kuamka kila siku asubuhi ukapayuka 'Mimi ni Milionea' halafu ukavuta shuka na kuendelea kulala fofofo, ukisubiri sadaka uliyotoa ikupe muujiza wa kuokota hela, ili upate mtaji wa biashara unayoiwaza.

Mtu huna kazi, huna biashara wala wazo la biashara, huna ujuzi, huna elimu, lakini kila siku unashinda kanisani kumsikiliza Mchungaji anayesema kesho utakua milionea na wewe unasema "Baba napokea/Dady I receive". Huu ni utani.

Waambieni wanaofanya utani huu kwa kofia za Uchungaji, Uaskofu, Unabii au Utume kwamba wanamkosea Mungu. Waambieni Mungu wetu ni Mungu wa kanuni, na hana kanuni ya kuwabariki wavivu. Tuache kufundisha waumini wetu kwamba uvivu unalipa kupitia miujiza.

Mafanikio ni matokeo ya bidii, ubunifu na weledi. Biblia inazungumzia kuhusu karama. Hebu kila mtu atumie karama alizopewa kwa bidii, ubunifu na weledi aone kama hatafanikiwa. Sio sahihi kuwaambia watu wabweteke tu na kusubiria mafanikio kama kusubiria daladala kituoni kwa sababu tu wamepakwa mafuta ya upako.

Mungu alishatubariki tangu wakati wa uumbaji wetu. Ni wajibu wetu kujibidisha katika yale tufanyayo ili baraka zake ziambatane nasi (Kumb 28:6).

Wazungu na Wachina wanazidi kushindana katika kuitawala dunia kwenye mambo mbalimbali kuanzia viwanda, biashara, sayansi na teknolojia. Sisi tuko 'busy' kununua maji ya upako tukiamini yatatufanya tuwe kama Jack Ma au Bill Gates. Upuuzi.

Tumeumbwa kuitawala hii dunia (Mwanzo 1:28). Tutumie vipawa na karama tulizopewa ili kutimiza kusudi hilo la Mungu. Tusiruhusu Askofu, Mchungaji, Nabii, mtume au kiongozi mwingine yeyote wa dini atutawale akili zetu kwa kutuhubiria mafanikio ya miujiza. Wao wanaishi kifahari kwa sadaka za waumini wao, huku waumini wakiendelea kuwa mafukara wa kutupwa.

Biblia inasema kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa (Mithali 1:7). Tutafute maarifa, tufanye kazi kwa bidii, na tumuabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa kufanya hivyo tutapata MAFANIKIO katika mambo yote tuyafanyayo.
“Dady I receive”😅😅
A good thing dini imebaki afrika, gulf countries na Latin America
Kwa sasa naona kinachosumbua ni social inclusion kwenye maisha binafsi ya mtu, kwamba kuweka mwanamke ndani lazima ndoa, hata kama ni mchawi wewe asubuhi nenda ibadani usiku ruka angani, zingatia zaka na sadaka hata kama unazini haitazingatiwa sana
 
Makala hii iliandikwa kwa kiingereza na Mwandishi Kay Musonda na kuchapishwa na jarida la Modern Ghana, toleo no.215 la April 1 mwaka huu. Nimefanya tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili pengine tutapata la kujifunza.

____________

Afrika kwa sasa inashuhudia aina mpya ya utumwa kupitia Ukristo (ulokole). Aina hii ya utumwa wa imani imewafanya watu wengi kuwa wavivu wa kufikiri na uwezo wa kutafakari mambo umedumazwa.

Baadhi ya wachungaji wa kilokole wamejipa uungu mtu. Wanapenda kutukuzwa, kuabudiwa na kusujudiwa. Wanajituza wao zaidi kuliko kumtukuza yule wanayemhubiri.

Wachungaji wa aina hii hawawezi kuongelea mafanikio ya watu weusi kama Barack Obama, Serena Williums, na Usain Bolt. Hawawezi kuongelea wagunduzi waliosaidia kutransform dunia kama kina Albert Einstein, Steve Jobs na wengine. Hawawezi kuongelea Wanasayansi waliodedicate maisha yao na wengine kufia maabara wakitafuta dawa za kutibu magonjwa mbalimbali yanayoisumbua Afrika.

Hawawezi kuongea kuhusu wanafasihi vijana kama Chimamanda Ngozi na Ben Okri, au wakongwe kama Chinua Achebe na Ngugi wa Thiong'o.

Kila pembe ya dunia kuna watu waliofanikiwa kutokana na maarifa, bidii, ubunifu, na weledi. Wapo wafanyabiashara, wanasiasa, wanafasihi na hata wanasayansi wanaofanya mambo makubwa ya kuisaidia dunia yetu. Lakini wachungaji wa Afrika hawatawaongelea watu wa aina hii.

Wao wataongelea mtu aliyepata kazi kimiujiza licha ya kukosa sifa za kupata kazi hiyo, kwa sababu tu aliombewa na kupewa mafuta ya upako siku ya interview ya kazi.

Wataongelea kuhusu kijana aliyetoa mshahara wake wote kwa miezi mitatu mfululizo kwa Mchungaji wake kama mbegu ya mafanikio, baadae akawa 'Boss' kazini.

Au wataongelea kuhusu kijana aliyefeli sekondari lakini baada ya baba yake kumalizia ukarabati wa nyumba ya Mchungaji, alipokea barua ya kupata 'admision' chuo kikuu bila hata kurudia mitihani.

Wachungaji hawa hutumia 'miujiza na shuhuda feki' kama njia ya kuwafumba akili wafuasi wao. Kule Afrika kusini kuna Mchungaji alidanganya kufufua mtu. Hata alipoomba msamaha bado kuna waumini wanaendelea kumuamini na kumsujudu.

Wachungaji hawa wamegundua haya ndio mahubiri yanayopendwa sana huku Afrika. Hawataki kuhubiri kuhusu Aliko Dangote alivyoanza biashara na magumu aliyopitia.

Wanahubiri kuhusu mama Janeth aliyekua mama Ntilie huko Enugu, lakini alipotumia mtaji wake wote wa shilingi laki 5 kununua mafuta ya upako kwa Nabii fulani, ghafla biashara yake ikakua na sasa anamiliki mahoteli makubwa pande zote za nchi. Yani bila mtaji, bila business plan, bila timeline ghafla tu akamiliki mahoteli. Na waumini watashangia kwa kusema Ameen.

Aina hii ya ukristo imepanda mbegu ya uvivu wa kufikiri kwa vijana wengi wa Afrika ambao wanalazimishwa kumuona Mungu kama Mfadhili wa wavivu, au wasiostahili. Kwamba mwanafunzi hata asiposoma anajua akipewa mafuta ya upako atafaulu tu siku ya mtihani. Mfanyabiashara hata asipokua mbunifu anajua akienda kwa 'baba wa miujiza' biashara yake itapanuka ghafla bin vuu. Mfanyakazi hata asipowajibika kazini anajua akitoa fungu la kumi kwa 'Dokta Upako' atapanda cheo.

Kwa baadhi ya makanisa Afrika namna pekee ya kufanikiwa ni kufanya kile wanachokiita kupanda mbegu, kupaka mafuta ya upako au kunyunyuziwa maji ya baraka. Eti wanaofanikiwa haraka ni watu 30 wa mwazo wanaokimbilia mbele ya kanisa kila mmoja akiwa ameshika noti ya dola 100.

Aina hii ya mahubiri inawafanya watu waamini kwamba Mungu hawapendi wanaojituma na kuwa wabunifu katika kazi, badala yake anawapenda zaidi wanaotoa zaka, sadaka, malimbuko na fungu la 10 hata kama ni wavivu. Hii sio sawa hata kidogo kwa sababu Biblia inakataa uvivu kwa nguvu zote (Mithali 12:27)
_
Watu wanaaminishwa kwamba ukishatoa sadaka kanisani unaweza kuamka kila siku asubuhi ukapayuka 'Mimi ni Milionea' halafu ukavuta shuka na kuendelea kulala fofofo, ukisubiri sadaka uliyotoa ikupe muujiza wa kuokota hela, ili upate mtaji wa biashara unayoiwaza.

Mtu huna kazi, huna biashara wala wazo la biashara, huna ujuzi, huna elimu, lakini kila siku unashinda kanisani kumsikiliza Mchungaji anayesema kesho utakua milionea na wewe unasema "Baba napokea/Dady I receive". Huu ni utani.

Waambieni wanaofanya utani huu kwa kofia za Uchungaji, Uaskofu, Unabii au Utume kwamba wanamkosea Mungu. Waambieni Mungu wetu ni Mungu wa kanuni, na hana kanuni ya kuwabariki wavivu. Tuache kufundisha waumini wetu kwamba uvivu unalipa kupitia miujiza.

Mafanikio ni matokeo ya bidii, ubunifu na weledi. Biblia inazungumzia kuhusu karama. Hebu kila mtu atumie karama alizopewa kwa bidii, ubunifu na weledi aone kama hatafanikiwa. Sio sahihi kuwaambia watu wabweteke tu na kusubiria mafanikio kama kusubiria daladala kituoni kwa sababu tu wamepakwa mafuta ya upako.

Mungu alishatubariki tangu wakati wa uumbaji wetu. Ni wajibu wetu kujibidisha katika yale tufanyayo ili baraka zake ziambatane nasi (Kumb 28:6).

Wazungu na Wachina wanazidi kushindana katika kuitawala dunia kwenye mambo mbalimbali kuanzia viwanda, biashara, sayansi na teknolojia. Sisi tuko 'busy' kununua maji ya upako tukiamini yatatufanya tuwe kama Jack Ma au Bill Gates. Upuuzi.

Tumeumbwa kuitawala hii dunia (Mwanzo 1:28). Tutumie vipawa na karama tulizopewa ili kutimiza kusudi hilo la Mungu. Tusiruhusu Askofu, Mchungaji, Nabii, mtume au kiongozi mwingine yeyote wa dini atutawale akili zetu kwa kutuhubiria mafanikio ya miujiza. Wao wanaishi kifahari kwa sadaka za waumini wao, huku waumini wakiendelea kuwa mafukara wa kutupwa.

Biblia inasema kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa (Mithali 1:7). Tutafute maarifa, tufanye kazi kwa bidii, na tumuabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa kufanya hivyo tutapata MAFANIKIO katika mambo yote tuyafanyayo.
UKWELI MCHUNGU, NGUMU KUMEZA
 
Makala hii iliandikwa kwa kiingereza na Mwandishi Kay Musonda na kuchapishwa na jarida la Modern Ghana, toleo no.215 la April 1 mwaka huu. Nimefanya tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili pengine tutapata la kujifunza.

____________

Afrika kwa sasa inashuhudia aina mpya ya utumwa kupitia Ukristo (ulokole). Aina hii ya utumwa wa imani imewafanya watu wengi kuwa wavivu wa kufikiri na uwezo wa kutafakari mambo umedumazwa.

Baadhi ya wachungaji wa kilokole wamejipa uungu mtu. Wanapenda kutukuzwa, kuabudiwa na kusujudiwa. Wanajituza wao zaidi kuliko kumtukuza yule wanayemhubiri.

Wachungaji wa aina hii hawawezi kuongelea mafanikio ya watu weusi kama Barack Obama, Serena Williums, na Usain Bolt. Hawawezi kuongelea wagunduzi waliosaidia kutransform dunia kama kina Albert Einstein, Steve Jobs na wengine. Hawawezi kuongelea Wanasayansi waliodedicate maisha yao na wengine kufia maabara wakitafuta dawa za kutibu magonjwa mbalimbali yanayoisumbua Afrika.

Hawawezi kuongea kuhusu wanafasihi vijana kama Chimamanda Ngozi na Ben Okri, au wakongwe kama Chinua Achebe na Ngugi wa Thiong'o.

Kila pembe ya dunia kuna watu waliofanikiwa kutokana na maarifa, bidii, ubunifu, na weledi. Wapo wafanyabiashara, wanasiasa, wanafasihi na hata wanasayansi wanaofanya mambo makubwa ya kuisaidia dunia yetu. Lakini wachungaji wa Afrika hawatawaongelea watu wa aina hii.

Wao wataongelea mtu aliyepata kazi kimiujiza licha ya kukosa sifa za kupata kazi hiyo, kwa sababu tu aliombewa na kupewa mafuta ya upako siku ya interview ya kazi.

Wataongelea kuhusu kijana aliyetoa mshahara wake wote kwa miezi mitatu mfululizo kwa Mchungaji wake kama mbegu ya mafanikio, baadae akawa 'Boss' kazini.

Au wataongelea kuhusu kijana aliyefeli sekondari lakini baada ya baba yake kumalizia ukarabati wa nyumba ya Mchungaji, alipokea barua ya kupata 'admision' chuo kikuu bila hata kurudia mitihani.

Wachungaji hawa hutumia 'miujiza na shuhuda feki' kama njia ya kuwafumba akili wafuasi wao. Kule Afrika kusini kuna Mchungaji alidanganya kufufua mtu. Hata alipoomba msamaha bado kuna waumini wanaendelea kumuamini na kumsujudu.

Wachungaji hawa wamegundua haya ndio mahubiri yanayopendwa sana huku Afrika. Hawataki kuhubiri kuhusu Aliko Dangote alivyoanza biashara na magumu aliyopitia.

Wanahubiri kuhusu mama Janeth aliyekua mama Ntilie huko Enugu, lakini alipotumia mtaji wake wote wa shilingi laki 5 kununua mafuta ya upako kwa Nabii fulani, ghafla biashara yake ikakua na sasa anamiliki mahoteli makubwa pande zote za nchi. Yani bila mtaji, bila business plan, bila timeline ghafla tu akamiliki mahoteli. Na waumini watashangia kwa kusema Ameen.

Aina hii ya ukristo imepanda mbegu ya uvivu wa kufikiri kwa vijana wengi wa Afrika ambao wanalazimishwa kumuona Mungu kama Mfadhili wa wavivu, au wasiostahili. Kwamba mwanafunzi hata asiposoma anajua akipewa mafuta ya upako atafaulu tu siku ya mtihani. Mfanyabiashara hata asipokua mbunifu anajua akienda kwa 'baba wa miujiza' biashara yake itapanuka ghafla bin vuu. Mfanyakazi hata asipowajibika kazini anajua akitoa fungu la kumi kwa 'Dokta Upako' atapanda cheo.

Kwa baadhi ya makanisa Afrika namna pekee ya kufanikiwa ni kufanya kile wanachokiita kupanda mbegu, kupaka mafuta ya upako au kunyunyuziwa maji ya baraka. Eti wanaofanikiwa haraka ni watu 30 wa mwazo wanaokimbilia mbele ya kanisa kila mmoja akiwa ameshika noti ya dola 100.

Aina hii ya mahubiri inawafanya watu waamini kwamba Mungu hawapendi wanaojituma na kuwa wabunifu katika kazi, badala yake anawapenda zaidi wanaotoa zaka, sadaka, malimbuko na fungu la 10 hata kama ni wavivu. Hii sio sawa hata kidogo kwa sababu Biblia inakataa uvivu kwa nguvu zote (Mithali 12:27)
_
Watu wanaaminishwa kwamba ukishatoa sadaka kanisani unaweza kuamka kila siku asubuhi ukapayuka 'Mimi ni Milionea' halafu ukavuta shuka na kuendelea kulala fofofo, ukisubiri sadaka uliyotoa ikupe muujiza wa kuokota hela, ili upate mtaji wa biashara unayoiwaza.

Mtu huna kazi, huna biashara wala wazo la biashara, huna ujuzi, huna elimu, lakini kila siku unashinda kanisani kumsikiliza Mchungaji anayesema kesho utakua milionea na wewe unasema "Baba napokea/Dady I receive". Huu ni utani.

Waambieni wanaofanya utani huu kwa kofia za Uchungaji, Uaskofu, Unabii au Utume kwamba wanamkosea Mungu. Waambieni Mungu wetu ni Mungu wa kanuni, na hana kanuni ya kuwabariki wavivu. Tuache kufundisha waumini wetu kwamba uvivu unalipa kupitia miujiza.

Mafanikio ni matokeo ya bidii, ubunifu na weledi. Biblia inazungumzia kuhusu karama. Hebu kila mtu atumie karama alizopewa kwa bidii, ubunifu na weledi aone kama hatafanikiwa. Sio sahihi kuwaambia watu wabweteke tu na kusubiria mafanikio kama kusubiria daladala kituoni kwa sababu tu wamepakwa mafuta ya upako.

Mungu alishatubariki tangu wakati wa uumbaji wetu. Ni wajibu wetu kujibidisha katika yale tufanyayo ili baraka zake ziambatane nasi (Kumb 28:6).

Wazungu na Wachina wanazidi kushindana katika kuitawala dunia kwenye mambo mbalimbali kuanzia viwanda, biashara, sayansi na teknolojia. Sisi tuko 'busy' kununua maji ya upako tukiamini yatatufanya tuwe kama Jack Ma au Bill Gates. Upuuzi.

Tumeumbwa kuitawala hii dunia (Mwanzo 1:28). Tutumie vipawa na karama tulizopewa ili kutimiza kusudi hilo la Mungu. Tusiruhusu Askofu, Mchungaji, Nabii, mtume au kiongozi mwingine yeyote wa dini atutawale akili zetu kwa kutuhubiria mafanikio ya miujiza. Wao wanaishi kifahari kwa sadaka za waumini wao, huku waumini wakiendelea kuwa mafukara wa kutupwa.

Biblia inasema kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa (Mithali 1:7). Tutafute maarifa, tufanye kazi kwa bidii, na tumuabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa kufanya hivyo tutapata MAFANIKIO katika mambo yote tuyafanyayo.
 
Makala hii iliandikwa kwa kiingereza na Mwandishi Kay Musonda na kuchapishwa na jarida la Modern Ghana, toleo no.215 la April 1 mwaka huu. Nimefanya tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili pengine tutapata la kujifunza.

____________

Afrika kwa sasa inashuhudia aina mpya ya utumwa kupitia Ukristo (ulokole). Aina hii ya utumwa wa imani imewafanya watu wengi kuwa wavivu wa kufikiri na uwezo wa kutafakari mambo umedumazwa.

Baadhi ya wachungaji wa kilokole wamejipa uungu mtu. Wanapenda kutukuzwa, kuabudiwa na kusujudiwa. Wanajituza wao zaidi kuliko kumtukuza yule wanayemhubiri.

Wachungaji wa aina hii hawawezi kuongelea mafanikio ya watu weusi kama Barack Obama, Serena Williums, na Usain Bolt. Hawawezi kuongelea wagunduzi waliosaidia kutransform dunia kama kina Albert Einstein, Steve Jobs na wengine. Hawawezi kuongelea Wanasayansi waliodedicate maisha yao na wengine kufia maabara wakitafuta dawa za kutibu magonjwa mbalimbali yanayoisumbua Afrika.

Hawawezi kuongea kuhusu wanafasihi vijana kama Chimamanda Ngozi na Ben Okri, au wakongwe kama Chinua Achebe na Ngugi wa Thiong'o.

Kila pembe ya dunia kuna watu waliofanikiwa kutokana na maarifa, bidii, ubunifu, na weledi. Wapo wafanyabiashara, wanasiasa, wanafasihi na hata wanasayansi wanaofanya mambo makubwa ya kuisaidia dunia yetu. Lakini wachungaji wa Afrika hawatawaongelea watu wa aina hii.

Wao wataongelea mtu aliyepata kazi kimiujiza licha ya kukosa sifa za kupata kazi hiyo, kwa sababu tu aliombewa na kupewa mafuta ya upako siku ya interview ya kazi.

Wataongelea kuhusu kijana aliyetoa mshahara wake wote kwa miezi mitatu mfululizo kwa Mchungaji wake kama mbegu ya mafanikio, baadae akawa 'Boss' kazini.

Au wataongelea kuhusu kijana aliyefeli sekondari lakini baada ya baba yake kumalizia ukarabati wa nyumba ya Mchungaji, alipokea barua ya kupata 'admision' chuo kikuu bila hata kurudia mitihani.

Wachungaji hawa hutumia 'miujiza na shuhuda feki' kama njia ya kuwafumba akili wafuasi wao. Kule Afrika kusini kuna Mchungaji alidanganya kufufua mtu. Hata alipoomba msamaha bado kuna waumini wanaendelea kumuamini na kumsujudu.

Wachungaji hawa wamegundua haya ndio mahubiri yanayopendwa sana huku Afrika. Hawataki kuhubiri kuhusu Aliko Dangote alivyoanza biashara na magumu aliyopitia.

Wanahubiri kuhusu mama Janeth aliyekua mama Ntilie huko Enugu, lakini alipotumia mtaji wake wote wa shilingi laki 5 kununua mafuta ya upako kwa Nabii fulani, ghafla biashara yake ikakua na sasa anamiliki mahoteli makubwa pande zote za nchi. Yani bila mtaji, bila business plan, bila timeline ghafla tu akamiliki mahoteli. Na waumini watashangia kwa kusema Ameen.

Aina hii ya ukristo imepanda mbegu ya uvivu wa kufikiri kwa vijana wengi wa Afrika ambao wanalazimishwa kumuona Mungu kama Mfadhili wa wavivu, au wasiostahili. Kwamba mwanafunzi hata asiposoma anajua akipewa mafuta ya upako atafaulu tu siku ya mtihani. Mfanyabiashara hata asipokua mbunifu anajua akienda kwa 'baba wa miujiza' biashara yake itapanuka ghafla bin vuu. Mfanyakazi hata asipowajibika kazini anajua akitoa fungu la kumi kwa 'Dokta Upako' atapanda cheo.

Kwa baadhi ya makanisa Afrika namna pekee ya kufanikiwa ni kufanya kile wanachokiita kupanda mbegu, kupaka mafuta ya upako au kunyunyuziwa maji ya baraka. Eti wanaofanikiwa haraka ni watu 30 wa mwazo wanaokimbilia mbele ya kanisa kila mmoja akiwa ameshika noti ya dola 100.

Aina hii ya mahubiri inawafanya watu waamini kwamba Mungu hawapendi wanaojituma na kuwa wabunifu katika kazi, badala yake anawapenda zaidi wanaotoa zaka, sadaka, malimbuko na fungu la 10 hata kama ni wavivu. Hii sio sawa hata kidogo kwa sababu Biblia inakataa uvivu kwa nguvu zote (Mithali 12:27)
_
Watu wanaaminishwa kwamba ukishatoa sadaka kanisani unaweza kuamka kila siku asubuhi ukapayuka 'Mimi ni Milionea' halafu ukavuta shuka na kuendelea kulala fofofo, ukisubiri sadaka uliyotoa ikupe muujiza wa kuokota hela, ili upate mtaji wa biashara unayoiwaza.

Mtu huna kazi, huna biashara wala wazo la biashara, huna ujuzi, huna elimu, lakini kila siku unashinda kanisani kumsikiliza Mchungaji anayesema kesho utakua milionea na wewe unasema "Baba napokea/Dady I receive". Huu ni utani.

Waambieni wanaofanya utani huu kwa kofia za Uchungaji, Uaskofu, Unabii au Utume kwamba wanamkosea Mungu. Waambieni Mungu wetu ni Mungu wa kanuni, na hana kanuni ya kuwabariki wavivu. Tuache kufundisha waumini wetu kwamba uvivu unalipa kupitia miujiza.

Mafanikio ni matokeo ya bidii, ubunifu na weledi. Biblia inazungumzia kuhusu karama. Hebu kila mtu atumie karama alizopewa kwa bidii, ubunifu na weledi aone kama hatafanikiwa. Sio sahihi kuwaambia watu wabweteke tu na kusubiria mafanikio kama kusubiria daladala kituoni kwa sababu tu wamepakwa mafuta ya upako.

Mungu alishatubariki tangu wakati wa uumbaji wetu. Ni wajibu wetu kujibidisha katika yale tufanyayo ili baraka zake ziambatane nasi (Kumb 28:6).

Wazungu na Wachina wanazidi kushindana katika kuitawala dunia kwenye mambo mbalimbali kuanzia viwanda, biashara, sayansi na teknolojia. Sisi tuko 'busy' kununua maji ya upako tukiamini yatatufanya tuwe kama Jack Ma au Bill Gates. Upuuzi.

Tumeumbwa kuitawala hii dunia (Mwanzo 1:28). Tutumie vipawa na karama tulizopewa ili kutimiza kusudi hilo la Mungu. Tusiruhusu Askofu, Mchungaji, Nabii, mtume au kiongozi mwingine yeyote wa dini atutawale akili zetu kwa kutuhubiria mafanikio ya miujiza. Wao wanaishi kifahari kwa sadaka za waumini wao, huku waumini wakiendelea kuwa mafukara wa kutupwa.

Biblia inasema kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa (Mithali 1:7). Tutafute maarifa, tufanye kazi kwa bidii, na tumuabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa kufanya hivyo tutapata MAFANIKIO katika mambo yote tuyafanyayo.
Hi,
Makala hii ni nzuri sana na inamengi sana ya kujifunza kutoka kwa mwandishi, lakini kinachonishangaza zaidi ni pale ninapoona mwandishi anaingia kwa kuwa-attack kabisa watumishi wa Mungu as if wote ni WAJANJA WA MJINI (Jambo ambalo ni uongo ulio wazi)

Tukumbuke kwenye maisha hakuna kazi isiyo na watu feki, ukienda kwenye siasa wapo waswahili-swahili, ukienda kwenye biashara wapo wapigaji, ukienda kwenye udactari wapo madactari feki nk, hii ina-maana hata katika taaluma hii ya kumtumikia Mungu hata fake Pastors au servnt wapo na wanaendelea kupotosha watu. Hivyo kuwepo kwa fake servant haimaanishi kuwa wenye wito halisi (Watumishi wa Kweli) hawapo, wapo na wanatenda kazi hata sasa.

Kwako MWANDISHI.....

Si kila kinachoandikwa au kushauliwa na wazungu kwetu (Africa) ni sahihi, BIG NO! na hili ndio tatizo kubwa linalotusumbua sisi, tunaamini kila ushauri unaoletwa na White People.

Labda cha kukusaidia Mwandishi...

Msaada pekee wa Waafrica unatoka kwa Mungu (Watumishi wake) na sio kwa wazungu, hata wewe kuwa hapo ulipo na kuanza kutembea na hizo "Side effect" za hao fake Pastors kuchafua watumishi halisi wa Mungu ni kutokana na msaada (Maombi) wa hao watumishi wa Mungu na kingine. Hivyo before hujawashambulia all Paators tambua kuwa kuna wengine unawaonea bila sababu.

Ubarikiwe. - Mwl Deus M.Ndololo
 
Hakuna Nabii wa MUNGU Akiyepewa Biblia ,Yesu Alipewa Injili Biblia ni theolojia za wazungu kuwahadaa watu ndio maana kuna makosa na mapungufu mengi unajua kabisa MUNGU ni Mkamilifu Sasa mbona achanganye Maneno unajua KBS. Huu ni uchakachuaji wa Binadam ,Open ur minds guys
 
Japo Mimi nimlokole kabisa lakini huu ujinga nimeachana nao siku.
Hii Mungu akubariki Fanya KAZI kwa bidii.
Akili kichwani, imani moyoni, pesa mfukoni.
 
Hi,
Makala hii ni nzuri sana na inamengi sana ya kujifunza kutoka kwa mwandishi, lakini kinachonishangaza zaidi ni pale ninapoona mwandishi anaingia kwa kuwa-attack kabisa watumishi wa Mungu as if wote ni WAJANJA WA MJINI (Jambo ambalo ni uongo ulio wazi)

Tukumbuke kwenye maisha hakuna kazi isiyo na watu feki, ukienda kwenye siasa wapo waswahili-swahili, ukienda kwenye biashara wapo wapigaji, ukienda kwenye udactari wapo madactari feki nk, hii ina-maana hata katika taaluma hii ya kumtumikia Mungu hata fake Pastors au servnt wapo na wanaendelea kupotosha watu. Hivyo kuwepo kwa fake servant haimaanishi kuwa wenye wito halisi (Watumishi wa Kweli) hawapo, wapo na wanatenda kazi hata sasa.

Kwako MWANDISHI.....

Si kila kinachoandikwa au kushauliwa na wazungu kwetu (Africa) ni sahihi, BIG NO! na hili ndio tatizo kubwa linalotusumbua sisi, tunaamini kila ushauri unaoletwa na White People.

Labda cha kukusaidia Mwandishi...

Msaada pekee wa Waafrica unatoka kwa Mungu (Watumishi wake) na sio kwa wazungu, hata wewe kuwa hapo ulipo na kuanza kutembea na hizo "Side effect" za hao fake Pastors kuchafua watumishi halisi wa Mungu ni kutokana na msaada (Maombi) wa hao watumishi wa Mungu na kingine. Hivyo before hujawashambulia all Paators tambua kuwa kuna wengine unawaonea bila sababu.

Ubarikiwe. - Mwl Deus M.Ndololo
Mr Deus labda hujaelewa andiko langu mimi sijasema wachungaji wote ni fake rahasha nimewataja baadhi ya hao wanaodanganya waumini kwa mahubiri yao ya uongo
 
Back
Top Bottom