Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,088
- 8,221
Naona umeandika kinyume chake. Nikukuletea hiyo Quran iliyoandikwa kiarabu utaisoma?
Nimeishi na waislamu wengi hawaijui Quran. Wamekariri aya za kuswali tu lkn sasa mpe hiyo Quran mnavyotafutana.
Nimeishi na waislamu wengi hawaijui Quran. Wamekariri aya za kuswali tu lkn sasa mpe hiyo Quran mnavyotafutana.
Upuuzi huo sisi Waislam hatunaga.
Kwanza kwenye Uislam ukiongeza kitu ambacho hakipo kwenye Quraan ama Hadithi ya mtume ujue kichapo kinakuhusu.
Tatizo wakristo wengi hamuijui Bible kwa kuisoma, bali munaishia kuzibeba tu mikononi.
Tofauti na sisi Waislam, wengi tunakijua kitabu chetu kwa kukisoma.
Yani ukiingia msikitini ni wachache wasie ijua kilicho andikwa kwenye Quraan, yani mpaka mtoto wa miaka kumi na mbili anajua kuisoma na kuielewa Quraan.
Nyinyi kanisani anae ijua Bíblia ni mchungaji tu, wafuasi kalibu wote hawaji.
Kiufupi kanisani asipokua mchungaji basi ibada hakuna siku hiyo, wakati msikitini hata sheykh asipokuepo hata mimi naswalisha.