Project Pundit
Member
- Mar 3, 2022
- 27
- 40
Mafanikio hayatokani na bidii tu, yanatokana na bidii iambatanayo na roho wa mafanikio
Sio kila masikini hana bidii, kuna watu wanabidii ya kazi, ubunifu, na nguvu lakini bado ni masikini
Ukiambatana na roho wachafu, wabaya, hata usomeje, ubunije, ujibidisheje, hutoboi
Wameanza kuja