Waafrika tulidanganywa: Ile kauli ya "binadam wote ni sawa ni Uongo"

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
Kuna mambo ya kiongo sana watu wamekaririshwa kujifariji" Eti binadam wote ni sawa"
Huu ni uongo mkubwa sana, binadam hatuko sawa hata kidogo!
  • Binadam aliyevumbua ndege hawezi kuwa sawa na aliyegundua chungu tunatofautiana,
  • Huwezi linganisha mzungu na mbongo ukasema wako sawa,
  • Huwez linganisha mmakonde na mhaya hata cku moja,
  • huwez linganisha masai na mchaga hata cku moja,
  • huwezi linganisha mgogo na msukuma hata cku moja,
Ebu fikilia inchi nzima ingekuwa ya wagogo tupu (Chirondele) ingekuwaje (tafta mgogo yoyote aliyekaribu nawe umfikilie angekuwa ndo kiongozi wao harafu upate picha nchi yao ingekuwaje)

Kama binadamu wote ni sawa kwanini baadhi ya watu wakifa huwa tunasema pengo lake halitazibika!

UKWELI NI HUU
Ukweli ni kwamba kuna binadam vichwa na wengne mikia, hatuko sawa kabisa!

Tena katika hao binadamu mikia bado wanatofautiana, Kuna wale mikia ya tembo na wengine mikia ya mbuzi bila kuwasahau wenye mikia ya nyani!..

Ndiyo maana wazungu walipokuja kwetu walitukuta tunacheza bao kwa mawe ya dhahabu, wakatuletea goroli tukawapa dhahabu! Unaanzaje kusema tuko sawa?

Kama binadamu wote ni sawa Kuna kiongozi mmoja alitibiwa nje kwa zaidi ya Million 800 wakati huohuo Kuna mwanachi mwingine hospital ya serikali anakosa panadol Utasemaje Tuko sawa?

"AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU?"
 

Kabla ya kuja kubwabwaja kwamba aliyesema binadamu wote ni sawa ni muongo ulipaswa kwanza uombe kuelimishwa walikuwa wanaongelea binadamu wote ni sawa kwa jinsi gani
 
Kabla ya kuja kubwabwaja kwamba aliyesema binadamu wote ni sawa ni muongo ulipaswa kwanza uombe kuelimishwa walikuwa wanaongelea binadamu wote ni sawa kwa jinsi gani
ukishasema wote ni sawa Kuna cha nyongeza tena?
 
Kuna mambo ya kiongo sana watu wamekaririshwa kujifariji" Eti binadam wote ni sawa"
Huu ni uongo mkubwa sana, binadam hatuko sawa hata kidogo!
  • Binadam aliyevumbua ndege hawezi kuwa sawa na aliyegundua chungu tunatofautiana,
  • Huwezi linganisha mzungu na mbongo ukasema wako sawa,
  • Huwez linganisha mmakonde na mhaya hata cku moja,
  • huwez linganisha masai na mchaga hata cku moja,
  • huwezi linganisha mgogo na msukuma hata cku moja,
Ebu fikilia inchi nzima ingekuwa ya wagogo tupu (Chirondele) ingekuwaje (tafta mgogo yoyote aliyekaribu nawe umfikilie angekuwa ndo kiongozi wao harafu upate picha nchi yao ingekuwaje)

Kama binadamu wote ni sawa kwanini baadhi ya watu wakifa huwa tunasema pengo lake halitazibika!

UKWELI NI HUU
Ukweli ni kwamba kuna binadam vichwa na wengne mikia, hatuko sawa kabisa!

Tena katika hao binadamu mikia bado wanatofautiana, Kuna wale mikia ya tembo na wengine mikia ya mbuzi bila kuwasahau wenye mikia ya nyani!..

Ndiyo maana wazungu walipokuja kwetu walitukuta tunacheza bao kwa mawe ya dhahabu, wakatuletea goroli tukawapa dhahabu! Unaanzaje kusema tuko sawa?

Kama binadamu wote ni sawa Kuna kiongozi mmoja alitibiwa nje kwa zaidi ya Million 800 wakati huohuo Kuna mwanachi mwingine hospital ya serikali anakosa panadol Utasemaje Tuko sawa?

"AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU?"
Usawa wetu unaletwa na neno wote ni binadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata hao walioitunga hiyo kauli walii-qualify kwamba binadamu wote ni sawa kwa mahitaji matatu CHAKULA, MAVAZI na MALAZI.
Sasa usiulize hadhi na ubora wa mahitaji hayo, lakini jua tu kila mtu ANAKULA, ANAVAA na ANALALA.
hayo mavazi yanafanana? Kuna wanaofunika na wanaovaa mkuu
 
Ukweli uko hivi ... nanukuu ... "Binadamu wote ni sawa ila kuna wengine ni sawa zaidi ya wenzao"
 
ukishasema wote ni sawa Kuna cha nyongeza tena?
Tatizo ni kwmba nyie vijana wa siku hizi hamfundishwi mambo haya ya msingi. Usawa uliokuwa unaongelewa hapa ni kwamba kwamba watu wote wanahitaji mavazi, chakula na sehemu ya kujihifadhi/kulala kama basic needs, na kustahili hehima.

Halikuwa suala la nani ana hela nyini au nani hana, nani ana kitambi au hana, au nani ana akili nyingi au hana. Hayo ni mambo ya ziada yasiyo ya msingi.

N ukitaka kujua kwamba binadamu wote ni sawa kwa vipi, wazike pamoja binadamu wote unaoona wako tofauti halafu nenda kafukue kaburi lao baada ya miaka kumi.
 
naona kuna watu na makabila yao wanatukanwa kirejareja hapa.

mods mpo?
 
Tatizo ni kwmba nyie vijana wa siku hizi hamfundishwi mambo haya ya msingi. Usawa uliokuwa unaongelewa hapa ni kwamba kwamba watu wote wanahitaji mavazi, chakula na sehemu ya kujihifadhi/kulala kama basic needs, na kustahili hehima.

Halikuwa suala la nani ana hela nyini au nani hana, nani ana kitambi au hana, au nani ana akili nyingi au hana. Hayo ni mambo ya ziada yasiyo ya msingi.

N ukitaka kujua kwamba binadamu wote ni sawa kwa vipi, wazike pamoja binadamu wote unaoona wako tofauti halafu nenda kafukue kaburi lao baada ya miaka kumi.
Kuna wanaokula mlo mmoja na wengine Milo mnne, Kuna wanajikunyata na wanaolala hutuko sawa
 
Ni muhimu uelewe dhana ya usawa inayozungumziwa ni Usawa wa aina IPI?

Kwa maana kwa asilimia nyingi sana umejikita katika uwezo wa kiakili kitu ambacho kiko wazi kwamba binadamu hatulingani.

Usawa unaozungumziwa ni wa Utu, kwamba sote tu Binadamu na katika mahitaji ya msingi kwa Binadamu sote tuko sawa bila kujali race zetu.

Linapokuja suala la huduma na upendeleo ni muhimu kuelewa kuwa madaraja yatakuwepo siku zote, maadamu Changamoto zipo katika maisha, na Tofauti ya Uwezo wetu katika kupamana na changamoto za maisha ndio inayoleta madaraja/kuonekana hauko sawa.
 
Nani anye determine kwamba dhahabu ina thamani?
Labda wewe ndo upo inferior kwa wazungu ndo maana ukaandika ulichoandika hapa.
Nakushauri usome vizuri historia anthropology na sociology uache kusikiliza story za vijiweni eti unajiona mchambuzi.
 
Kuna mambo ya kiongo sana watu wamekaririshwa kujifariji" Eti binadam wote ni sawa"
Huu ni uongo mkubwa sana, binadam hatuko sawa hata kidogo!
  • Binadam aliyevumbua ndege hawezi kuwa sawa na aliyegundua chungu tunatofautiana,
  • Huwezi linganisha mzungu na mbongo ukasema wako sawa,
  • Huwez linganisha mmakonde na mhaya hata cku moja,
  • huwez linganisha masai na mchaga hata cku moja,
  • huwezi linganisha mgogo na msukuma hata cku moja,
Ebu fikilia inchi nzima ingekuwa ya wagogo tupu (Chirondele) ingekuwaje (tafta mgogo yoyote aliyekaribu nawe umfikilie angekuwa ndo kiongozi wao harafu upate picha nchi yao ingekuwaje)

Kama binadamu wote ni sawa kwanini baadhi ya watu wakifa huwa tunasema pengo lake halitazibika!

UKWELI NI HUU
Ukweli ni kwamba kuna binadam vichwa na wengne mikia, hatuko sawa kabisa!

Tena katika hao binadamu mikia bado wanatofautiana, Kuna wale mikia ya tembo na wengine mikia ya mbuzi bila kuwasahau wenye mikia ya nyani!..

Ndiyo maana wazungu walipokuja kwetu walitukuta tunacheza bao kwa mawe ya dhahabu, wakatuletea goroli tukawapa dhahabu! Unaanzaje kusema tuko sawa?

Kama binadamu wote ni sawa Kuna kiongozi mmoja alitibiwa nje kwa zaidi ya Million 800 wakati huohuo Kuna mwanachi mwingine hospital ya serikali anakosa panadol Utasemaje Tuko sawa?

"AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU?"
Tatizo lako unafikiri kwamba wazungu wote wana akili. Kuna baadhi ya wazungu kweli wako vizuri ila wengi ni mbumbumbu tu sawa na sisi waafrika. Ndio maana hata Ulaya sio nchi zote ni tajiri nyingine zinajikongoja!
Kinachowasaidia wazungu ni yale maendeleo ya jumla ambayo walianza kuyapata mapema na hivyo yanawafanya wawe mbele kwenye mambo mengi na ndio wewe unawaona kama wana akili nyingi.
 
Nani anye determine kwamba dhahabu ina thamani?
Labda wewe ndo upo inferior kwa wazungu ndo maana ukaandika ulichoandika hapa.
Nakushauri usome vizuri historia anthropology na sociology uache kusikiliza story za vijiweni eti unajiona mchambuzi.
kwahiyo ulipogundua dhahabu ulifanyia nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom