Tukio la Mmarekani mweusi kuuliwa na Polisi limezuwa gumzo kubwa hadi wa-Afrika kulaani kila muda na kuchukuwa muda mwingi wa wa-Afrika mitandaoni na vijiweni na wengine kutoa mauchungu yao.
Rais wa Ghana naye eti ana laani ?nimecheka sana
Naomba nitoe reference za nchi 2 tu ninazozifahamu Tanzania na Afrika kusini hizi nchi watu weusi wengi hufa mikononi mwa polisi kwa kipigo kikali tena za ukatili kesi mbalimbali za watu kufa vituoni ni vingi familia nyingi wamepata uchungu sababu ya polisi halafu ngekewa anaishi Buza, Mlandizi, Korogwe anatokwa na mishipa kwa kubishana kwa uchungu kisa ya Mmarekani mweusi kuuawa na polisi mbona huko kwenu weusi halisi Africans wanauawa kwa vipigo vikali na wala hamufanyi maandamano mitandaoni kulaani na huwa mnachukulia poa tu.
Rais wa Ghana nimemshusha hadhi huenda huko Ghana kuna familia nyingi zina machungu ya kuondokewa na wapendwa wao sababu ya police brutality na hajawahi kulaani ..
Rais wa Ghana naye eti ana laani ?nimecheka sana
Naomba nitoe reference za nchi 2 tu ninazozifahamu Tanzania na Afrika kusini hizi nchi watu weusi wengi hufa mikononi mwa polisi kwa kipigo kikali tena za ukatili kesi mbalimbali za watu kufa vituoni ni vingi familia nyingi wamepata uchungu sababu ya polisi halafu ngekewa anaishi Buza, Mlandizi, Korogwe anatokwa na mishipa kwa kubishana kwa uchungu kisa ya Mmarekani mweusi kuuawa na polisi mbona huko kwenu weusi halisi Africans wanauawa kwa vipigo vikali na wala hamufanyi maandamano mitandaoni kulaani na huwa mnachukulia poa tu.
Rais wa Ghana nimemshusha hadhi huenda huko Ghana kuna familia nyingi zina machungu ya kuondokewa na wapendwa wao sababu ya police brutality na hajawahi kulaani ..