Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,313
- 5,920
Hivi ni mimi tu pekeangu huwa najionea kwa hawa ndugu zangu weusi wakiwashangaa white people's! Akionekana muzungu anatembea iwe kwa miguu ama kwa gali wanamshangaa, akionekana mwarabu, mhindi ama mchina wanamshangaa ata kama wanaishi mji mmoja but watamshangaa tu,kana kwamba awajawai kuwaona maisha yao yote awa weupe!.
Kwa wanaume na wanawake haka kaushamba kapo, tena kila kona ya nchi pamoja na all Africans. Ivi ni kwanini? Alafu mwanamme mweupe huwa anaonekana mwenye thamani kubwa kwa dada zetu kuliko mwanamme mweusi, na yuko radhi kuolewanae kuliko kuorewa na mweusi mwenzie! Wengine hutamka kabisa natamani niolewe na mwarabu nipate watoto wazuri na weupeee 🤣🤣🤣🤣🤣 nyie wakina dada.
Kwa wanaume na wanawake haka kaushamba kapo, tena kila kona ya nchi pamoja na all Africans. Ivi ni kwanini? Alafu mwanamme mweupe huwa anaonekana mwenye thamani kubwa kwa dada zetu kuliko mwanamme mweusi, na yuko radhi kuolewanae kuliko kuorewa na mweusi mwenzie! Wengine hutamka kabisa natamani niolewe na mwarabu nipate watoto wazuri na weupeee 🤣🤣🤣🤣🤣 nyie wakina dada.