Waafrica wanajokomboa polepole bila watu kujua. Ivory Cost wanataka serikali mpya, Tunisia hawamtaki dicteta, Nigeria wamechoshwa na rushwa, Tanzania wamechoshwa na rushwa na Egypt wamechoshwa na ubabe na umasikini. Utawala wa Nchi za Africa hautaweza tena kujificha kwenye sera za ufisadi. Kitu kimoja tu kitawauwa mafisadi nacho ni Technology.