let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,263
- 7,813
Sauzi kiingereza ni lugha ya pili kwa matumizi. unaweza kataa iki ninachokiandika hapa ila huo ndiyo ukweli.Cheki waafrica wote. Wasouth, wakenya, wabongo, wazambia, wanigeria nk. Wakiwa wanaongea kiingereza wanaonekana kama watu wenye uelewa wa chini sana na slow learners. Cheki clips za bunge la South Africa, hadi maspika wanaonekana kama watu fulani wazito sana akilini, maskini wa misamiati nk. Hii lugha ya mkoloni imetushika pabaya sana.
100% ukiwakuta wao kwa wao wanaongea ni lazima watumie lugha zao za asili.
ukienda maofisini mtaani kote wanazungumza lugha zao za asili tu.
kiingereza kinatumika wanapojua kuwa we ni foreigner.
2016 rafik yangu alinipeleka mpumalanga. kufika uko ni kama umeenda usukumani ndani ndani uko. kinachofanya ujue wapo ndani ya SA ni mazingira tu ila kwenye lugha hakuna.
ukanda huo nchi wanayoongoza kwa kuongea kiingereza kizuri ni wazimbabwe.