Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Cheki waafrica wote. Wasouth, wakenya, wabongo, wazambia, wanigeria nk. Wakiwa wanaongea kiingereza wanaonekana kama watu wenye uelewa wa chini sana na slow learners.
Cheki clips za bunge la South Africa, hadi maspika wanaonekana kama watu fulani wazito sana akilini, maskini wa misamiati nk. Hii lugha ya mkoloni imetushika pabaya sana.
Cheki clips za bunge la South Africa, hadi maspika wanaonekana kama watu fulani wazito sana akilini, maskini wa misamiati nk. Hii lugha ya mkoloni imetushika pabaya sana.