GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Wa Z'bari wapinga rasimu ya katiba,
Wanataka wajadili muungano sio katiba ya tanzania,wakati wazanzbari wanayo katiba yao.
Wanataka tanganyika izaliwe upya ili ndio mjadala ufanyike wa muungano sio katiba.
Wataka mjadala huu wa mazungumzo uwe na walikishaji sawa sawa kwa pande zote mbili.
Wanataka tanganyika ijitoe katika koti la muungano,ili waweze kuchambua mambo ya muungano.
Wanataka wazihirishiwe ikiwa tanganyika ipo kama ndo hii tanzania basi itangaze kuwa tanzania ni jamuhuri ya watu wa tanzania sio ya muungano,,,,,ili tujadili upya muungano mpya na utafutiwe mfumo mpya sio huu tulionao,m1 kuvaa koti lamuungano.
Ikiwa haya hawayataki ccm,basi bora muungano uvunjike.
Wanataka wajadili muungano sio katiba ya tanzania,wakati wazanzbari wanayo katiba yao.
Wanataka tanganyika izaliwe upya ili ndio mjadala ufanyike wa muungano sio katiba.
Wataka mjadala huu wa mazungumzo uwe na walikishaji sawa sawa kwa pande zote mbili.
Wanataka tanganyika ijitoe katika koti la muungano,ili waweze kuchambua mambo ya muungano.
Wanataka wazihirishiwe ikiwa tanganyika ipo kama ndo hii tanzania basi itangaze kuwa tanzania ni jamuhuri ya watu wa tanzania sio ya muungano,,,,,ili tujadili upya muungano mpya na utafutiwe mfumo mpya sio huu tulionao,m1 kuvaa koti lamuungano.
Ikiwa haya hawayataki ccm,basi bora muungano uvunjike.