eyetyna
Senior Member
- Jun 24, 2011
- 148
- 17
nadhan huyo atakuwa amejifunza vya kutosha,na sidhani kama ataweza kurudia kufanya kitu cha design hiyo tena.....................
sasa hivi atulie tu then atambue kuwa alifany makosa na hatakiw kurudia tena awe mwangalifu maana next tyme wanaume wengine ni noooma ungeweza kutolewa shoo ya mbele yote.............
sasa hivi atulie tu then atambue kuwa alifany makosa na hatakiw kurudia tena awe mwangalifu maana next tyme wanaume wengine ni noooma ungeweza kutolewa shoo ya mbele yote.............