mng'oa kucha
Senior Member
- Jul 31, 2013
- 150
- 179
Tumezoea kuzikwepa kwamba ni redio za kizee, zinatangaza habari za upendeleo kwa serikali matokeo yake vito vya habari vya taifa kama TBC vi,ekuwa vikidharauliwa ila kwa kifupi tu kilichotokea zimbabwe hakuna mtu anasikiliza kituo kingine chochote ili ajue hatma ya taifa lake. Mi nadhani nikiishia hapo itapendeza