Mshindi Wa uchaguzi mkuu wa marekani atakuwa Bern Sanders wa DemocratsNani ataamua nani awe mshindi
Democrats safari hii watapoteza kitiMshindi Wa uchaguzi mkuu wa marekani atakuwa Bern Sanders wa Democrats
kiti kikipotea watakalia hata kigodaDemocrats safari hii watapoteza kiti
Magufuri ni raisi Wa awamu ya tano .Fyoko fyoko ukiileta utakumbana na kibano cha Magufuli
Ofisi inaraha yakeMadarakani kila mwanasiasa akipata ushindi muda ukisha hataki kuachia ofisi
Kiswahili ndo somo pekee Congcong alilopata BKizungu wakati mwingine kinaboa kinakopa hadi maneno ya kiswahili
a unataka tuanze vipi???Kwanza ushanikumbusha wakati nipo chekechea ile kwenda likizo kurudi nikasahau kuandika a