mtebetini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,924
- 2,035
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake MpeniUbabaishaji huu tulonao hapa nchini ndiyo sababu kuu ya LAANA inayotufunika tusijikomboe na ni APIZO la mnyonge.....
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake MpeniUbabaishaji huu tulonao hapa nchini ndiyo sababu kuu ya LAANA inayotufunika tusijikomboe na ni APIZO la mnyonge.....
Mpeni japo anastahili haki.. Lakini wapi hata hicho kidogo unaDhulumiwa kweupee na Ubabaishaji ulivyotamalaki mmmmh !!!!Mnyonge mnyongeni lakini haki yake Mpeni
Mmmhh mnyonge hana haki mpaka mwenye nguvu apendeMpeni japo anastahili haki.. Lakini wapi hata hicho kidogo unaDhulumiwa kweupee na Ubabaishaji ulivyotamalaki mmmmh !!!!
Apende eeeh?? Sasa tungojee na tusubirie Allahu Subhanna-WataAla aonyeshe nguvu na adhabu zake zakubinua jao maDhalimu !!!Mmmhh mnyonge hana haki mpaka mwenye nguvu apende
Madhalimu hawana uwonga wa Mungu wao dunia imewamezaApende eeeh?? Sasa tungojee na tusubirie Allahu Subhanna-WataAla aonyeshe nguvu na adhabu zake zakubinua jao maDhalimu !!!
Imewameza dunia na kwa tamaa zao, ila itawatapika nyonga na fedheha zitawaumbua...Madhalimu hawana uwonga wa Mungu wao dunia imewameza
Zitawaumbua kwani wazee walisema tamaa mbele mauti nyumaImewameza dunia na kwa tamaa zao, ila itawatapika nyonga na fedheha zitawaumbua...
Nyuma ya kila jambo kuna ukweli kujitokeza kama siyo leo basi kesho... Wadhungu husema "time will tell" jamani tuogope dua za Wanyonge !!Zitawaumbua kwani wazee walisema tamaa mbele mauti nyuma
Wanyonge ni hapa dunia mbele ya Muumba wote tunahadhi sawa na waswahili wamesema “Dua la mnyonge haliendi joshi”Nyuma ya kila jambo kuna ukweli kujitokeza kama siyo leo basi kesho... Wadhungu husema "time will tell" jamani tuogope dua za Wanyonge !!
MUNGU haandikwi kwa herufi ndogo ww chuma cha mjerumaniMfariji wa kweli ni Mungu
MUNGU haandikwi kwa herufi ndogo ww chuma cha mjerumani
Kujifunza hakuna mwisho katika hii dunia wala hakuna mipakaMjerumani anatengeneza magari mazuri.Lakini wee Levels Nani kakuambia Mungu haiandikwe Kwa herufi ndogo? Ndio maana tunaandika
MwenyeEzMungu kutoa heshima zote.
Na bila ya huu mchezo unaotaka ufutwe humu JF usingi weza kujifunza.
Kujifunza hakuna mwisho katika hii dunia wala hakuna mipaka
Mfano wako ni mzuri na una busaraMipaka ndugu Mtebetini tunaifunga wenyewe.
Elimu tunayo ipata Na tunavyo Juana Na Watu mbali mbali ni hakuna Mfano.