mgogoone
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,908
- 2,000
Kwingine hapana, sasa mtu anayependa sana ngono utamwita?
Utamwita mzinzi maana hatoshezeleke
Kwingine hapana, sasa mtu anayependa sana ngono utamwita?
Hatoshezeleke au hatoshelezeki ndiyo ufasaha wa maelezoUtamwita mzinzi maana hatoshezeleke
Maelezo yake yanasikitisha kiasiHatoshezeleke au hatoshelezeki ndiyo ufasaha wa maelezo
Kiasi ndugu Kitoabu kunielwa vibaya ati nimemtukana..La hasha kwani manti ya uzi huu ni kujibizana.....Maelezo yake yanasikitisha kiasi
Kimaadili hizi nyimbo za bongo fleva hazifai kwani zapoteza mwelekeoKujibizana kwa maneno mabaya sio vizuri kimaadili
Humu Jamii Forum wachangiaji wengi Majipu.Mwelekeo upi wameelekea wana wa humu
majip leo yametumbuliwa 'ea poti'Humu Jamii Forum wachangiaji wengi Majipu.
ea poti wanafanyakazi kama vile uwanja si wa kimataifamajip leo yametumbuliwa 'ea poti'
Kimataifa? Mi naona ni ka wa mchangani.ea poti wanafanyakazi kama ule uwanja si wa kimataifa
Namuona Mhe Magu tbc1anavyohojiana na wafanyakazi wa uwanja wa ndegeKimataifa? Mi naona ni ka wa mchangani.
Namuona Mhe Magu tbc1anavyohojiana na wafanyakazi wa uwanja wa ndege
Kumuangalia kwenye TV ni burudaniNdege mzuri hupendeza kumuangalia.
Murua ninapoingia uwanjani kwa mbwembwe zangu hakuna wakunifuata!!Burudani murua
Wakunifuata hakuna kwenye uzi huu usiku nakesha all aloneMurua ninapoingia uwanjani kwa mbwembwe zangu hakuna wakunifuata!!
Wakunifuata hakuna kwenye uzi huu usiku nakesha all alone
Kibao alichapwa Mzee Mugabe ni kumdhalilisha, Ile Yule bi Mkubwa naye shujaa!Alone kivipi wakati wadau tuko kibao...
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us