Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,104
Kule unapolenga au kukusudia kuna changamoto hasi!!
Milele daima hakika itapendeza mkuu
Mkuu wa kaya ni baba au babuMilele daima hakika itapendeza mkuu
Babu alikuwa bubu na vizazi vyake havikuwa mabubu wala viziwi !!Mkuu wa kaya ni baba au babu
Viziwi wawili ndio wale waigizaji wa comediBabu alikuwa bubu na vizazi vyake havikuwa mabubu wala viziwi !!
Comedy ilikua enzi za kina buster keaton na charlie chaplin saivi wamebaki utopoloViziwi wawili ndio wale waigizaji wa comedi
Utopolo ndio young africaComedy ilikua enzi za kina buster keaton na charlie chaplin saivi wamebaki utopolo
Africa Ni bara lenye wanachama wengi wa FIFAUtopolo ndio young africa
FIFA saiv inasubiri barua ya rufaa ya yanga kwa MorrisonAfrica Ni bara lenye wanachama wengi wa FIFA
Morrison ni wakili msomiFIFA saiv inasubiri barua ya rufaa ya yanga kwa Morrison
Msomi mwenye cheti feki !!Morrison ni wakili msomi
Feki zote weka hapaMsomi mwenye cheti feki !!
Hapa ndiyo kwetu ni lazima tupalindeFeki zote weka hapa
Hapa ndiyo kwetu ni lazima tupalinde
Kimaadili na kimila haifai kuvunja sheriaTupalinde tanzania pasiharibike kimaadili
Sheria ni msumari ukikalia unakuchomaKimaadili na kimila haifai kuvunja sheria