007 De Souza
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 880
- 500
Sababu ya kutengana mm na yeye ilikuwa ni pesaLaana haimshiki mtu bila SABABU
TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu ya kutengana mm na yeye ilikuwa ni pesaLaana haimshiki mtu bila SABABU
TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
Sababu ilikuwa pesaPesa haikuwa SABABU
TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
Gonjwa hatari...
Sanaaah hiyo ni jahazi ilosambaratika !!
Iliosambaratika kimpango mwingine, kama Covid-19 kinavyotusambaratisha.. OyiSanaaah hiyo ni jahazi ilosambaratika !!
Oyi... niwashauri tuongeze tahadhari Convid19 hainaga mzaha!!Iliosambaratika kimpango mwingine, kama Covid-19 kinavyotusambaratisha.. Oyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzaha mzaha,hutumbua Usaha .Walinena WahengaOyi... niwashauri tuongeze tahadhari Convid19 hainaga mzaha!!
Wahenga hawana lao tena hali ya sasa ni kujikimu maskani....Mzaha mzaha,hutumbua Usaha .Walinena Wahenga
Tu ni ile hali ya kuonyesha msisitizomaskani ya mateja ni mwendo wa unga na bangi tu.
Msisitizo wangu kwa waTZ ni utaifa never-die !!Tu ni ile hali ya kuonyesha msisitizo
Nani kasema shule zinafunguliwa tarehe 11/05/2020, ni maneno ya kizushi tu!Die hard fan wangu ni nani?
Die hard fan wangu ni nani?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us