Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Auibu hii ya madai ya Madaktari kutaka huduma za afya ziboreshwe lakini serikali haioni inachoona ni kile cha maslahi tu na kung'ang'ania hapo kutupotosha, sijui CCM ikiangushwa viongozi watajificha wapi.Mwisho wa ubaya aibu.