Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,500
Awamu yenye matamko yanayokinzanaPapara haifai katika hii awamu
Awamu yenye matamko yanayokinzanaPapara haifai katika hii awamu
yanayokinzana kati yao wenyewe viongozi kwa viongozi.Awamu yenye matamko yanayokinzana
Viongozi wetu wanatakiwa kuwa makini sana, ajali ya kivuko Mwanza wanasema hawajui abiria walikuwa wangapi, pia chanzo cha ajali hakijulikani!yanayokinzana kati yao wenyewe viongozi kwa viongozi.
Hakijulikani vipi? Ina maana hawajui kuwa ni uzembe na ubovu wa miundombinu?Viongozi wetu wanatakiwa kuwa makini sana, ajali ya kivuko Mwanza wanasema hawajui abiria walikuwa wangapi, pia chanzo cha ajali hakijulikani!
Miundombinu ipi unayozungumzia hasa kwa upande wa maziwa, mito na nagari?Hakijulikani vipi? Ina maana hawajui kuwa ni uzembe na ubovu wa miundombinu?
Hatari zaidi ni kujaza watu kwenye vyombo vya majini wakati wakijua fika kuwa chombo kikizidiwa kinaweza kuzamagari na usafiri hatari
kuzama ni jambo moja,ila kuachwa usiku na kuendelea na zoezi la uokoaji asubuhi yake na jambo la kusikitisha zaidiHatari zaidi ni kujaza watu kwenye vyombo vya majini wakati wakijua fika kuwa chombo kikizidiwa kinaweza kuzama
Zaidi ya kusikitisha kwa kweli, Mungu awape faraja wote waliopoteza ndugu, jamaa na marafikikuzama ni jambo moja,ila kuachwa usiku na kuendelea na zoezi la uokoaji asubuhi yake na jambo la kusikitisha zaidi
ndugu,jamaa na marafiki wapumzike kwa amani ktk safari yao ya mileleZaidi ya kusikitisha kwa kweli, Mungu awape faraja wote waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki
Milele tutawakumbukandugu,jamaa na marafiki wapumzike kwa amani ktk safari yao ya milele
tutawakumbuka kwa ajali ya kivuko cha mv nyerereMilele tutawakumbuka
Mv Nyerere imetukumbusha msiba wa Mv Bukobatutawakumbuka kwa ajali ya kivuko cha mv nyerere
MC bukoba ilikua hatari sana, ni zaid ya mv nyerereMv Nyerere imetukumbusha msiba wa Mv Bukoba
mv nyerere pia inatukumbusha yaliyotokea kwenye mv spiceMC bukoba ilikua hatari sana, ni zaid ya mv nyerere
MV Spice ndo ile iliozama Nungwi??mv nyerere pia inatukumbusha yaliyotokea kwenye mv spice
nungwi ndipo ilipozama mv spice mkuuMV Spice ndo ile iliozama Nungwi??
Mkuu leo siku ya sabatonungwi ndipo ilipozama mv spice mkuu
sabato ni niniMkuu leo siku ya sabato
Nini usichokijua magharibi mwa Tanzania man fizo?sabato ni nini