longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,197
- 3,994
mkuu samahani nimekwisha mjibuJlokjykvf ni jina la mchezaji wa uholanzi ligi daraja la nne, uzi haufiki mwisho kirahisi mkuu
mkuu samahani nimekwisha mjibuJlokjykvf ni jina la mchezaji wa uholanzi ligi daraja la nne, uzi haufiki mwisho kirahisi mkuu
Mjibu kwanza yule jamaa wa viwondermkuu samahani nimekwisha mjibu
Viwonder vya bongo hata cherehani tatu wanahesabuMjibu kwanza yule jamaa wa viwonder
Viwonder vyenyewe vimegeuka kuwa mradi wa kununua wale wa timu pinzani siwezi mjibu kwani ntaishia kubensaananeniwaMjibu kwanza yule jamaa wa viwonder
Kubensaananewa ni n mkuu?Viwonder vyenyewe vimegeuka kuwa mradi wa kununua wale wa timu pinzani siwezi mjibu kwani ntaishia kubensaananeniwa
Kubensaananeniwa naye si vibaya kama yuko radhi kufanya hivyo!Viwonder vyenyewe vimegeuka kuwa mradi wa kununua wale wa timu pinzani siwezi mjibu kwani ntaishia kubensaananeniwa
mkuu ni kupotezwa bila kujulikanaKubensaananewa ni n mkuu?
Kujulikana sana nayo ni taabumkuu ni kupotezwa bila kujulikana
taabu ni pale unapotawaliwa na chama kimoja kwa zaidi ya miaka 57Kujulikana sana nayo ni taabu
57 mara 57 ni sawasawa na ngapi?taabu ni pale unapotawaliwa na chama kimoja kwa zaidi ya miaka 57
ngapi? ni neno lenye alama ya kuuliza kwa mbele yake57 mara 57 ni sawasawa na ngapi?
Yake matendo ni ya ajabu sanangapi? ni neno lenye alama ya kuuliza kwa mbele yake
Off side zote alizidi Mh LissuWapi ambapo kuna samaki wengi?
Nalog off