Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,011
Binafsi sikumsoma kaandika nini hilo sio wazo banah ni uandishi makorokocho Zzhii ni wazo lake binafsi.....
Binafsi sikumsoma kaandika nini hilo sio wazo banah ni uandishi makorokocho Zzhii ni wazo lake binafsi.....
Zz usiku mwemaBinafsi sikumsoma kaandika nini hilo sio wazo banah ni uandishi makorokocho Zz
Ajabu sana shehe, mwambie Zz banahBinafsi sipendi lugha za ajabu ajabu!
ZZ yupo imara mkuu nikusadiajee!?Binafsi sikumsoma kaandika nini hilo sio wazo banah ni uandishi makorokocho Zz
Nikusaidiaje ili uweze kudumu kwenye ndoa miaka mingi, nina ujuzi utakusaidia darasa bure kabisa ZzZZ yupo imara mkuu nikusadiajee!?
Mwema, yani mtu mwema siku zote huishi kwa mafanikio...Zz usiku mwema
Mafanikio hutokana na juhudi za muhusika na sio kwa miracle mambo tx!Mwema, yani mtu mwema siku zote huishi kwa mafanikio...
Mafanikio kuyapata sio poa yahitaji juhudi we jamaa ulitekwa wapi mkuuMwema, yani mtu mwema siku zote huishi kwa mafanikio...
Tx au tax labda tra au tcra au uvccm sema nn huo ukuta wa maendeleo kwa wanyogeMafanikio hutokana na juhudi za muhusika na sio kwa miracle mambo tx!
Tx9 amekumiss sana, nipo hapa nakuwaza mweeeh mbona jana ulitoka nduki,Mafanikio hutokana na juhudi za muhusika na sio kwa miracle mambo tx!
Mkuuuuuuuu dah aisehhhhh kwanza nimecheka dah nimekumiss sana teh teh teh kuna watu ni siku nyingi sijawasikia ukiwemo wewe mzeya wa totoz, mdogo wangu vipi dada yako sakayo nae kitambo sana, hivi yupo?Mafanikio kuyapata sio poa yahitaji juhudi we jamaa ulitekwa wapi mkuu
Nilikua nawai msosi pendwa kabla Aisha hajamalizaTx9 amekumiss sana, nipo hapa nakuwaza mweeeh mbona jana ulitoka nduki,
Hajamaliza akagongewa mlango atoke nje !!!Nilikua nawai msosi pendwa kabla Aisha hajamaliza
Nje kunavutia leo..... Hasa nnapo tazama anga na kuona nyota nyingiHajamaliza akagongewa mlango atoke nje !!!
Hajamaliza unajua tulikuachia msosi sema hukutokea, ila leo aisha hayupo karibu sana plate lote limejaa kibua makange na ugaliNilikua nawai msosi pendwa kabla Aisha hajamaliza
Ugali sipendelei kuula usiku...... Ile menu ya jana ilikua poa zaidiHajamaliza unajua tulikuachia msosi sema hukutokea, ila leo aisha hayupo karibu sana plate lote limejaa kibua makange na ugali
zaidi ya kubanawa ns tumbo !!Ugali sipendelei kuula usiku...... Ile menu ya jana ilikua poa zaidi
Tumbo!?? Lol usiombe hyo kitu ikutokee ugenini alafu pana shida ya maji.... Utajutazaidi ya kubanawa ns tumbo !!
Utajuta kuzaliwaTumbo!?? Lol usiombe hyo kitu ikutokee ugenini alafu pana shida ya maji.... Utajuta
Zaidi unapendelea vyakula gani, ili siku nyingine nikupikie kitu roho inapendaUgali sipendelei kuula usiku...... Ile menu ya jana ilikua poa zaidi