britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,635
- 29,967
Hakuna marefu yasiyo na ncha, uzuri ni kwamba historia ni Mwalimu mzuri sana,
Ipo siku ataanza kuandamwa mtu mwingine alafu watanzania hawa hawa watamsahau Lissu,
Najua upepo uvumao kwa nguvu uacha alama na athari mbali mbali,
Magufuli hana cha kupoteza katika battle hii, anayepoteza ni mtanzania wa kawaida sana, ambaye pamoja na mimi tunashinda hapa JF na mitandao mingine tukishangilia na kuagiza popcorn bila kujua kwamba tuna jukumu la ziada sana kuhusu suala ili,
Nahisi kutokana na shambulio au yanayoendelea kati ya Miamba miwili ya siasa yaan Magufuli na Lissu, yalipaswa kutuachia somo la kutatua haya,
1.Kujua hivi ni wapi unapopatwa na janga kama la Lissu upeleke malalamiko yako kama serikali haionekani kujali?
2.Ulinzi unapaswa kuimarishwa tu au tatizo siyo ulinzi, ni mipango ovu dhidi ya mtu hata kama analindwa, na je tunatatua vipi ilo,
3.je wajua kwamba battle likiisha kuna kila aina ya mmoja wapo kupotea kabisa na kujuta kwa aliyoyafanya? Yaan kwa kipindi watanzania watakuwa na wanyemshangilia akiwa mpya kabisa?
Lazima mmoja ashindwe na akishindwa atakuwa kajuzibia baadhi ya Mambo kwa sababu mmoja ana uwezo wa kumfanya mtu asiishi kwa raha hata kama exile family yake iko Tz,
Ndo ana uwezo wa kuamua kwamba sasa ukiwekwa ndani mpaka aamue kisa muhimili wake una Monocotyledon root,
Je wajua kwamba atakayepotea kuna muda atakosa hata shilingi kwa tenda zake kadhaa huku akiwa kanyang'anywa hata ubunge kwa Mizengwe,
Wazungu wahuni sana uwatumia watu kama chewing sweets na kukuacha solemba, wakati huo mshahara wako ukiwa umezuiwa, makampuni yako yakiwa yamefungwa, passport yako ikiwa imezuiwa, wakati huo maisha yanaminywa,
Namuona Lissu aliye loose battle , watanzania wakiwa wamemchoka, wazungu na Ma Bbc wakiwa hawamuiti tena, wakati huo akiwekewa mizengwe ya kufukuzwa ubunge na kunyimwa stahiki zake,
Namuona Lissu anayeachwa aingie nchini alafu amalizwe kimya kimya kwa njia yeyote(sijasema kumuua hayo umeyawaza wewe)
Naona kesho yenye kesi za uahini dhidi ya Lissu,
Namalizia na swali kwa Lissu na wafuasi wake kuwa !!!
Huoni kwamba unapoteza Muda tu huko ulipo kaka yetu??
Ilibidi ukaushe maisha ni matamu kuliko siasa kaka yangu,
HAYA YOTE SULUHU NI KATIBA MPYA,
Uzi huu ntaufufua 2022
Nisome hapa
ICC alichomoka Kenyatta na kesi ya mauaji sembuse Magufuli?!! - JamiiForums
Inawezekana mgombea Urais kupelekwa mahakamani muda wa kampeni ushahidi ukiletwa? - JamiiForums
Ipo siku ataanza kuandamwa mtu mwingine alafu watanzania hawa hawa watamsahau Lissu,
Najua upepo uvumao kwa nguvu uacha alama na athari mbali mbali,
Magufuli hana cha kupoteza katika battle hii, anayepoteza ni mtanzania wa kawaida sana, ambaye pamoja na mimi tunashinda hapa JF na mitandao mingine tukishangilia na kuagiza popcorn bila kujua kwamba tuna jukumu la ziada sana kuhusu suala ili,
Nahisi kutokana na shambulio au yanayoendelea kati ya Miamba miwili ya siasa yaan Magufuli na Lissu, yalipaswa kutuachia somo la kutatua haya,
1.Kujua hivi ni wapi unapopatwa na janga kama la Lissu upeleke malalamiko yako kama serikali haionekani kujali?
2.Ulinzi unapaswa kuimarishwa tu au tatizo siyo ulinzi, ni mipango ovu dhidi ya mtu hata kama analindwa, na je tunatatua vipi ilo,
3.je wajua kwamba battle likiisha kuna kila aina ya mmoja wapo kupotea kabisa na kujuta kwa aliyoyafanya? Yaan kwa kipindi watanzania watakuwa na wanyemshangilia akiwa mpya kabisa?
Lazima mmoja ashindwe na akishindwa atakuwa kajuzibia baadhi ya Mambo kwa sababu mmoja ana uwezo wa kumfanya mtu asiishi kwa raha hata kama exile family yake iko Tz,
Ndo ana uwezo wa kuamua kwamba sasa ukiwekwa ndani mpaka aamue kisa muhimili wake una Monocotyledon root,
Je wajua kwamba atakayepotea kuna muda atakosa hata shilingi kwa tenda zake kadhaa huku akiwa kanyang'anywa hata ubunge kwa Mizengwe,
Wazungu wahuni sana uwatumia watu kama chewing sweets na kukuacha solemba, wakati huo mshahara wako ukiwa umezuiwa, makampuni yako yakiwa yamefungwa, passport yako ikiwa imezuiwa, wakati huo maisha yanaminywa,
Namuona Lissu aliye loose battle , watanzania wakiwa wamemchoka, wazungu na Ma Bbc wakiwa hawamuiti tena, wakati huo akiwekewa mizengwe ya kufukuzwa ubunge na kunyimwa stahiki zake,
Namuona Lissu anayeachwa aingie nchini alafu amalizwe kimya kimya kwa njia yeyote(sijasema kumuua hayo umeyawaza wewe)
Naona kesho yenye kesi za uahini dhidi ya Lissu,
Namalizia na swali kwa Lissu na wafuasi wake kuwa !!!
Huoni kwamba unapoteza Muda tu huko ulipo kaka yetu??
Ilibidi ukaushe maisha ni matamu kuliko siasa kaka yangu,
HAYA YOTE SULUHU NI KATIBA MPYA,
Uzi huu ntaufufua 2022
Nisome hapa
ICC alichomoka Kenyatta na kesi ya mauaji sembuse Magufuli?!! - JamiiForums
Inawezekana mgombea Urais kupelekwa mahakamani muda wa kampeni ushahidi ukiletwa? - JamiiForums