Wa Lissu na Magufuli ni upepo unaovuma kwa kasi na utapita tu, kuna atakayeshindwa vibaya battle hii

Kwa afrika mkuu bado sana, dunia hubadilika ulaya na america tu wakati afrika ikiwa static

Jiulize wapi bado wanamini katika udikteta, 70% ni afrika wakati ulaya wakiwa wanaisha isha,
Hivi inakuwaje mtu ulieenda IKULU kuwasaidia watanzania kupambana na UMASIKINI, MARADHI na UJINGA badala yake wewe uko BUSY kujenga MAGENGE YA MAUAJI, DHULMA, UKABILA, KUUA WATU, UBINAFSI na UFISADI ??!

- Damu ya LISSU haitamwacha SALAMA Kamwe, hata kama anajivunia KINGA, Watu wake kama BASHITE, DOTTO JAMES, KALEMANI, MKURUGENZI WA ITIGI, MNYETIwill never get SPARED.

Ni LAZIMA WALIPE TU DAMU ZA WATU WASIO NA HATIA !!
 
Hivi inakuwaje mtu ulieenda IKULU kuwasaidia watanzania kupambana na UMASIKINI, MARADHI na UJINGA badala yake wewe uko BUSY kujenga MAGENGE YA MAUAJI, DHULMA, UKABILA, KUUA WATU, UBINAFSI na UFISADI ??!

- Damu ya LISSU haitamwacha SALAMA Kamwe, hata kama anajivunia KINGA, Watu wake kama BASHITE, DOTTO JAMES, KALEMANI, MKURUGENZI WA ITIGI, MNYETIwill never get SPARED.

Ni LAZIMA WALIPE TU DAMU ZA WATU WASIO NA HATIA !!
Mkuu kwa ilo sina ushahidi ila tusubiri muda ni mwalimu mzuri
 
Dunia ya miaka 10 iliyopita siyo dunia ya leo. Mambo yanabadilika sana kwasababu maarifa yameongezeka. Historia ina tabia ya kujirudia: Hata Nyerere naye aliwafanyaga hivihivi wakina Kambona, Jumbe na wengine lakini MUDA ni kitu kibaya sana, walitokea wengine na walimyumbisha hadi akaamua kukimbia Ikulu mwaka 1985.Akajisemea mwenyewe kwamba hakuna kitu kigumu kama kuwabana watu walio elimika.

Lissu is just a tip of the iceberg kwasababu tu yeye ni mwanasiasa, ndiyo maana anaonekana sana. Lakini amini nakuambia kuna watu wabaya sana kuliko Lissu ambao wako karibu na Raisi na wanamchekea kila siku na kunywa naye chai. Ambacho mnashindwa kukielewa ni kwamba panapo moshi hapakosi moto.

Raisi ana maadui wengi sana hapa nchini tena ndani ya Serikali na Chama chake kuliko hao wakina Lissu na upinzani. Tena kama kumuumiza watamuumiza haohao ndani ya chama chake kama ilivyokuwa kwa Nyerere na Kikwete.

Mtanange baina ya Raisi Magufuli na Lissu ni sehemu ndogo sana ya mitanange ambayo Raisi anapigana nayo sasa au ambayo ataanza kupigana nayo hivi punde....

"" lakini amin nakuambia kuna watu wabaya kuliko lissu ambao wako Karibu na raisi na wanamchekea kila siku na wanakunywa naye chai "" sasa siwafanye mambo tutulie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ya miaka 10 iliyopita siyo dunia ya leo. Mambo yanabadilika sana kwasababu maarifa yameongezeka. Historia ina tabia ya kujirudia: Hata Nyerere naye aliwafanyaga hivihivi wakina Kambona, Jumbe na wengine lakini MUDA ni kitu kibaya sana, walitokea wengine na walimyumbisha hadi akaamua kukimbia Ikulu mwaka 1985.Akajisemea mwenyewe kwamba hakuna kitu kigumu kama kuwabana watu walio elimika.

Lissu is just a tip of the iceberg kwasababu tu yeye ni mwanasiasa, ndiyo maana anaonekana sana. Lakini amini nakuambia kuna watu wabaya sana kuliko Lissu ambao wako karibu na Raisi na wanamchekea kila siku na kunywa naye chai. Ambacho mnashindwa kukielewa ni kwamba panapo moshi hapakosi moto.

Raisi ana maadui wengi sana hapa nchini tena ndani ya Serikali na Chama chake kuliko hao wakina Lissu na upinzani. Tena kama kumuumiza watamuumiza haohao ndani ya chama chake kama ilivyokuwa kwa Nyerere na Kikwete.

Mtanange baina ya Raisi Magufuli na Lissu ni sehemu ndogo sana ya mitanange ambayo Raisi anapigana nayo sasa au ambayo ataanza kupigana nayo hivi punde....
Wangekuwa na hisia japo kidogo juu ya kubadirika kwa dunia naamini wangejifunza kuongoza, ila kwa kuwa wameamua kujifungia ndani basi wamebaki kuwaswaga watu kama mifugo.
Tukio la Tundu Lissu hawaliangalii kwa akili huru kabisa, bado wamejaa hasira na chuki, wanamuangalia kwa akili zenye ujinga mwingi huku wengine wakiangalia kwa akili zenye hofu ya njaa ya matumbo yao. Suala la Lissu si dogo hata tutume watu waandike kwa lugha zote au hata wakijibu namna gani. Hili suala ni ndoano mbaya sana kwetu na tumeshaimeza. Hii ni kama waswahili walivyopata kusema kuwa, kamba hukatikia pabovu.
 
Hakuna marefu yasiyo na ncha, uzuri ni kwamba historia ni Mwalimu mzuri sana,

Ipo siku ataanza kuandamwa mtu mwingine alafu watanzania hawa hawa watamsahau Lissu,

Najua upepo uvumao kwa nguvu uacha alama na athari mbali mbali,

Magufuli hana cha kupoteza katika battle hii, anayepoteza ni mtanzania wa kawaida sana, ambaye pamoja na mimi tunashinda hapa JF na mitandao mingine tukishangilia na kuagiza popcorn bila kujua kwamba tuna jukumu la ziada sana kuhusu suala ili,

Nahisi kutokana na shambulio au yanayoendelea kati ya Miamba miwili ya siasa yaan Magufuli na Lissu, yalipaswa kutuachia somo la kutatua haya,

1.Kujua hivi ni wapi unapopatwa na janga kama la Lissu upeleke malalamiko yako kama serikali haionekani kujali?

2.Ulinzi unapaswa kuimarishwa tu au tatizo siyo ulinzi, ni mipango ovu dhidi ya mtu hata kama analindwa, na je tunatatua vipi ilo,

3.je wajua kwamba battle likiisha kuna kila aina ya mmoja wapo kupotea kabisa na kujuta kwa aliyoyafanya? Yaan kwa kipindi watanzania watakuwa na wanyemshangilia akiwa mpya kabisa?

Lazima mmoja ashindwe na akishindwa atakuwa kajuzibia baadhi ya Mambo kwa sababu mmoja ana uwezo wa kumfanya mtu asiishi kwa raha hata kama exile family yake iko Tz,

Ndo ana uwezo wa kuamua kwamba sasa ukiwekwa ndani mpaka aamue kisa muhimili wake una Monocotyledon root,

Je wajua kwamba atakayepotea kuna muda atakosa hata shilingi kwa tenda zake kadhaa?

Wazungu wahuni sana uwatumia watu kama chewing sweets na kukuacha solemba, wakati huo mshahara wako ukiwa umezuiwa, makampuni yako yakiwa yamefungwa, passport yako ikiwa imezuiwa, wakati huo maisha yanaminywa,
Namuona Lissu aliye loose battle , watanzania wakiwa wamemchoka, wazungu na Ma Bbc wakiwa hawamuiti tena, wakati huo akiwekewa mizengwe ya kufukuzwa ubunge na kunyimwa stahiki zake,

Namuona Lissu anayeachwa aingie nchini alafu amalizwe kimya kimya kwa njia yeyote(sijasema kumuua hayo umeyawaza wewe)
Naona kesho yenye kesi za uahini dhidi ya Lissu,

Namalizia na swali kwa Lissu na wafuasi wake kuwa !!!
Huoni kwamba unapoteza Muda tu huko ulipo kaka yetu??
Ilibidi ukaushe maisha ni matamu kuliko siasa kaka yangu,

HAYA YOTE SULUHU NI KATIBA MPYA,

Uzi huu ntaufufua 2022

Nisome hapa

ICC alichomoka Kenyatta na kesi ya mauaji sembuse Magufuli?!! - JamiiForums


Inawezekana mgombea Urais kupelekwa mahakamani muda wa kampeni ushahidi ukiletwa? - JamiiForums
Hakika muda ni mwalimu mzuri sana. Mada zote BBC DW VOA na kila chombo cha habafi zitazumgumzwa halafu zitaexpire. Kimbembe ni wakati wa kurudi nchini sasa. Ni lazima aite maji mma. Waahauri wake wamemshauri vibaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upepo unaovuma ni wa mabadiliko, watu wanataka katiba mpya, haki ya kuchagua viongozi wawatakao na na haki ya kuishi hata kama wanakosoa watawala.
Katiba haina maana, kama hata kwa Katiba iliyopo inatoa namna ya kujitawala inasiginwa!

Tatizo sio hiyo document inayoitea Katiba, bali ni vichwa vya wana wa Nchi!
 
Labda wewe unamuona kuwa anacho cha kupoteza lakini yeye anajiona hana cha kupoteza. Kabla ya tukio alikua na hofu lakini baada ya tukio ameona kuwa kumbe hofu haiwezi kumuweka salama, na pia kama alivyopata kusema mwenyewe kwa kauli yake baada ya kuzinduka kuwa "I survived to tell the tale". Hii ilikua ni kauli nzito sana.
muachani Lissu alie atakavyo, maana maumivu yake siyo yenu, kamwe hamuwezi kuyasikia.
Tuangalie mustakabali wa taifa letu, isije ikawa tunadhani tupo salama kumbe upande mwingine tunapanda mbegu ya chuki na visasi muda ukifika mambo yalipuke.
Huyo mgonjwa bado hajapona!
 
Mkuu hiyo naomba uiweke maana nahisi unaweza kuwa na mawazo mazuri zaid,

Ila kwa sasa ilibidi kila mtanzania mtaka mabadiliko ajadili suala la katiba yenye mamlaka kidogo ya rais, ili tuwe huru, nakuhapia watanzania hatuko huru kuongea kabisa,

Kwa bahati mbaya huwa siamini mabadiliko kuletwa na wazungu bila watanzania wenyewe kuwa na mwamko juu ya katiba yenyewe na wanachotaka kibadilike

..hata kwa katiba hii tuliyonayo JPM anaweza kumtendea haki TL.

..hudhani kwamba akifanya hivyo wananchi watampenda zaidi?
 
Fighting JPM ni sawa na kupigana vita usiyoijua. Waulize matunda ya vita yao kwa Kikwete. Tutakuwa na maadui wapya kila baada ya miaka 10.

Mpaka sasa hakuna mkakati wa maana wa kuitoa CCM. Kama Chadema leo matawi yanakufa kila mahali na tena hawakuwa na hata robo ya matawi ya CCM! Unashinda vipi uchaguzi hata kama refa ni wako?

Lissu itakuwa topic mkishtuka uchaguzi wa serikali za mitaa mnaanza zimamoto na wagombea wa kuokoteza! Badilikeni rudini majimboni muimarishe matawi na kuongeza wanachama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo naomba uiweke maana nahisi unaweza kuwa na mawazo mazuri zaid,

Ila kwa sasa ilibidi kila mtanzania mtaka mabadiliko ajadili suala la katiba yenye mamlaka kidogo ya rais, ili tuwe huru, nakuhapia watanzania hatuko huru kuongea kabisa,

Kwa bahati mbaya huwa siamini mabadiliko kuletwa na wazungu bila watanzania wenyewe kuwa na mwamko juu ya katiba yenyewe na wanachotaka kibadilike
Kuna wakati ukitulia unaandika mambo ya kueleweka....
 
Kwa hiyo magufuli ataibuka mshindi kwa kuua, kutesa kuteka, kuumiza, kufilisi, kukashifu, kutukana au unaaanisha ushindi gani mkuu
Anayeanzisha battle huwa hajali anfanya baya au zuri ilimradi alichodhamiria kitimie hivo akikifanikisha kwa kuwashinda wanaotaka kumzuia huko ndo kushinda battle mkuu
 
Hakuna marefu yasiyo na ncha, uzuri ni kwamba historia ni Mwalimu mzuri sana,

Ipo siku ataanza kuandamwa mtu mwingine alafu watanzania hawa hawa watamsahau Lissu,

Najua upepo uvumao kwa nguvu uacha alama na athari mbali mbali,

Magufuli hana cha kupoteza katika battle hii, anayepoteza ni mtanzania wa kawaida sana, ambaye pamoja na mimi tunashinda hapa JF na mitandao mingine tukishangilia na kuagiza popcorn bila kujua kwamba tuna jukumu la ziada sana kuhusu suala ili,

Nahisi kutokana na shambulio au yanayoendelea kati ya Miamba miwili ya siasa yaan Magufuli na Lissu, yalipaswa kutuachia somo la kutatua haya,

1.Kujua hivi ni wapi unapopatwa na janga kama la Lissu upeleke malalamiko yako kama serikali haionekani kujali?

2.Ulinzi unapaswa kuimarishwa tu au tatizo siyo ulinzi, ni mipango ovu dhidi ya mtu hata kama analindwa, na je tunatatua vipi ilo,

3.je wajua kwamba battle likiisha kuna kila aina ya mmoja wapo kupotea kabisa na kujuta kwa aliyoyafanya? Yaan kwa kipindi watanzania watakuwa na wanyemshangilia akiwa mpya kabisa?

Lazima mmoja ashindwe na akishindwa atakuwa kajuzibia baadhi ya Mambo kwa sababu mmoja ana uwezo wa kumfanya mtu asiishi kwa raha hata kama exile family yake iko Tz,

Ndo ana uwezo wa kuamua kwamba sasa ukiwekwa ndani mpaka aamue kisa muhimili wake una Monocotyledon root,

Je wajua kwamba atakayepotea kuna muda atakosa hata shilingi kwa tenda zake kadhaa?

Wazungu wahuni sana uwatumia watu kama chewing sweets na kukuacha solemba, wakati huo mshahara wako ukiwa umezuiwa, makampuni yako yakiwa yamefungwa, passport yako ikiwa imezuiwa, wakati huo maisha yanaminywa,
Namuona Lissu aliye loose battle , watanzania wakiwa wamemchoka, wazungu na Ma Bbc wakiwa hawamuiti tena, wakati huo akiwekewa mizengwe ya kufukuzwa ubunge na kunyimwa stahiki zake,

Namuona Lissu anayeachwa aingie nchini alafu amalizwe kimya kimya kwa njia yeyote(sijasema kumuua hayo umeyawaza wewe)
Naona kesho yenye kesi za uahini dhidi ya Lissu,

Namalizia na swali kwa Lissu na wafuasi wake kuwa !!!
Huoni kwamba unapoteza Muda tu huko ulipo kaka yetu??
Ilibidi ukaushe maisha ni matamu kuliko siasa kaka yangu,

HAYA YOTE SULUHU NI KATIBA MPYA,

Uzi huu ntaufufua 2022

Nisome hapa

ICC alichomoka Kenyatta na kesi ya mauaji sembuse Magufuli?!! - JamiiForums


Inawezekana mgombea Urais kupelekwa mahakamani muda wa kampeni ushahidi ukiletwa? - JamiiForums
Endelee kujiliwaza we bashiye na ndoto za kijuha ukifikiri upo salama sana na uhai wako wengine wanastaili kufa huku we ukiendelea kutingisha makalio kwa kumkebehi uliyemsababishia maumivu makali ya mwili.I wish kwa mapenzi ya Mungu utaonja haya maumivu uliyomsababishia mwenzio.
 
Back
Top Bottom