Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Kuna uvumi kwamba Migiro ni new factor katika mbio za uraisi. Jambo la kukumbuka ni kwamba katika miaka 10 ya utawala JK Tanzania itakuwa imevurugwa mno, itahitaji mtu makini, serious, mwenye busara na ukali wa kiasi kuirudisha katika mhimili unaostahili - mtu wa namna ya Kagame-Kagame hivi; no-nonsense president. (Mara nyingine natamani Kagame awe raisi wa kwanza wa East Africa).
Miaka 10 ya Mwinyi nchi ilivurugwa sana, na japo mapungufu yake mengi, Mkapa alifanikiwa kuturudisha kwenye mstali unaofaa kwa kiasi fulani. JK ame-reverse mazuri yote ya Mkapa na kutupeleka pabaya zaidi ya tulipofikishwa na Mwinyi.
Sasa ukiweka mikaka 10 ya JK, ukaweka miaka mingine 10 ya uozo mwingine wa uongozi basi nchi yetu itakuwa kaput, isisile, imalike, crap!
Sasa fikiria; Asha Migiro for a no-nonsense president kututoa tutakapofikishwa na JK?
Miaka 10 ya Mwinyi nchi ilivurugwa sana, na japo mapungufu yake mengi, Mkapa alifanikiwa kuturudisha kwenye mstali unaofaa kwa kiasi fulani. JK ame-reverse mazuri yote ya Mkapa na kutupeleka pabaya zaidi ya tulipofikishwa na Mwinyi.
Sasa ukiweka mikaka 10 ya JK, ukaweka miaka mingine 10 ya uozo mwingine wa uongozi basi nchi yetu itakuwa kaput, isisile, imalike, crap!
Sasa fikiria; Asha Migiro for a no-nonsense president kututoa tutakapofikishwa na JK?