Wa kurekebisha uvurugaji wa nchi wa miaka 10 ya JK; Migiro?

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Kuna uvumi kwamba Migiro ni new factor katika mbio za uraisi. Jambo la kukumbuka ni kwamba katika miaka 10 ya utawala JK Tanzania itakuwa imevurugwa mno, itahitaji mtu makini, serious, mwenye busara na ukali wa kiasi kuirudisha katika mhimili unaostahili - mtu wa namna ya Kagame-Kagame hivi; no-nonsense president. (Mara nyingine natamani Kagame awe raisi wa kwanza wa East Africa).

Miaka 10 ya Mwinyi nchi ilivurugwa sana, na japo mapungufu yake mengi, Mkapa alifanikiwa kuturudisha kwenye mstali unaofaa kwa kiasi fulani. JK ame-reverse mazuri yote ya Mkapa na kutupeleka pabaya zaidi ya tulipofikishwa na Mwinyi.

Sasa ukiweka mikaka 10 ya JK, ukaweka miaka mingine 10 ya uozo mwingine wa uongozi basi nchi yetu itakuwa kaput, isisile, imalike, crap!

Sasa fikiria; Asha Migiro for a no-nonsense president kututoa tutakapofikishwa na JK?
 
We unadhani nani anafaa badala ya kulia na Migiro si umtaje tu huyo unayemwakilisha. After all Mama Asha Migiro alishakutangazia kuwa anataka U-Rais? ama unaogopa kivuli chake?
 
We unadhani nani anafaa badala ya kulia na Migiro si umtaje tu huyo unayemwakilisha. After all Mama Asha Migiro alishakutangazia kuwa anataka U-Rais? ama unaogopa kivuli chake?

Baada ya miaka 50 ya CCM bado tu kuna watu wanategemea kuwa CCM ni mkombozi na suruhisho ya matatizo yetu kweli??
 
Baada ya miaka 50 ya CCM bado tu kuna watu wanategemea kuwa CCM ni mkombozi na suruhisho ya matatizo yetu kweli??

Hakuna cha Rose Migiro wala nini hapo anapigiwa debe ili kuendeleza zile agenda za Abuja za 1987! Sasa kigezo cha gender kinaletwa lakini ukweli chini yako au mbereko ni lile azimio la Abuja.
 
Huo uvumi umeutoa wapi au ni ndoto za mchana..ccm wameshindwa kututoa tulipo kwani kwa sasa tunarudi nyuma badala ya kusonga mbele
 
kuna uvumi kwamba migiro ni new factor katika mbio za uraisi. Jambo la kukumbuka ni kwamba katika miaka 10 ya utawala jk tanzania itakuwa imevurugwa mno, itahitaji mtu makini, serious, mwenye busara na ukali wa kiasi kuirudisha katika mhimili unaostahili - mtu wa namna ya kagame-kagame hivi; no-nonsense president. (mara nyingine natamani kagame awe raisi wa kwanza wa east africa).

Miaka 10 ya mwinyi nchi ilivurugwa sana, na japo mapungufu yake mengi, mkapa alifanikiwa kuturudisha kwenye mstali unaofaa kwa kiasi fulani. Jk ame-reverse mazuri yote ya mkapa na kutupeleka pabaya zaidi ya tulipofikishwa na mwinyi.

Sasa ukiweka mikaka 10 ya jk, ukaweka miaka mingine 10 ya uozo mwingine wa uongozi basi nchi yetu itakuwa kaput, isisile, imalike, crap!

Sasa fikiria; asha migiro for a no-nonsense president kututoa tutakapofikishwa na jk?



mimi naona tuondoe hii system ya kutoa rais ambaye alikuwa yuko nje zaidi tunarudi kulekule ni rahihi kununuliwa na mabepari hii ni inahitaji mtu ambaye ni aggresive, mwanawasa type or kagame ina mambo mazito ya kuondoa mwanamke hataweza kupambana na mijizi sampuli ya rostam na manji.angalao watu kama sita, lowasa na dr slaa wana ujasiri wa kusimamia ukweli
 
If Migiro hafai basi Lowasa is our best fit! Anyway, napita tu bandugu wajuzi wa haya mambo tupeni michango yenu!
 
Kuna uvumi kwamba Migiro ni new factor katika mbio za uraisi. Jambo la kukumbuka ni kwamba katika miaka 10 ya utawala JK Tanzania itakuwa imevurugwa mno, itahitaji mtu makini, serious, mwenye busara na ukali wa kiasi kuirudisha katika mhimili unaostahili - mtu wa namna ya Kagame-Kagame hivi; no-nonsense president. (Mara nyingine natamani Kagame awe raisi wa kwanza wa East Africa).

Miaka 10 ya Mwinyi nchi ilivurugwa sana, na japo mapungufu yake mengi, Mkapa alifanikiwa kuturudisha kwenye mstali unaofaa kwa kiasi fulani. JK ame-reverse mazuri yote ya Mkapa na kutupeleka pabaya zaidi ya tulipofikishwa na Mwinyi.

Sasa ukiweka mikaka 10 ya JK, ukaweka miaka mingine 10 ya uozo mwingine wa uongozi basi nchi yetu itakuwa kaput, isisile, imalike, crap!

Sasa fikiria; Asha Migiro for a no-nonsense president kututoa tutakapofikishwa na JK?

Tatizo lako ukipenda unakuwa kipofu kabisa. Nchi hii ameanza kuivuruga Mkapa na hili lajulikana ila kwa uozo wako wa mawazo unasema ameirekebisha. Ufisadi wote ulianzia kipindi cha Mkapa mpaka na yeye mwenye akajiuzia Kiwira, ww haya huyaoni ? EPA , Kagoda nk huoni tu ? basi ww ni .............................

 
Huo uvumi umeutoa wapi au ni ndoto za mchana..
Soma magazeti, labda kama hujui kiingereza sema tukusaidie kutafsiri; The Citizen; "Migiro factor" fuels 2015 polls debate". The emminent return home of Dr Asha-Rose Migiro after expiry of her tenure as United Nations deputy secretary general, has given fresh momentum to speculations on who will emerge victorious in the hotly contested slot of CCM candidate in the 2015 presidential election.
 
Tatizo lako ukipenda unakuwa kipofu kabisa. Nchi hii ameanza kuivuruga Mkapa na hili lajulikana ila kwa uozo wako wa mawazo unasema ameirekebisha. Ufisadi wote ulianzia kipindi cha Mkapa mpaka na yeye mwenye akajiuzia Kiwira, ww haya huyaoni ? EPA , Kagoda nk huoni tu ? basi ww ni .............................

Yaani unaniambia nina tatizo la kupenda kisha unasema aliyeanza kuvuruga nchi ni Mkapa? Naona wewe umezaliwa enzi za utawala wa Mkapa, na hukuona enzi za skandali za Loliondo, dhahabu kuvushwa na mapailot, biashara ikulu, First-lady-cum-president, degradation ya wasomi na wafanya kazi, wahindi kushika hatamu za nchi, wafungwa kuombewa msamaha kwa raisi na mama zao, nk!
 
kwa mfumo uliopo ndani ya ccm ni maajabu kuwa kuna mtu anaweza toka ccm akaleta mabadiliko,binafsi hata unishauri vipi kamwe siwezi kukubali,ccm imefika sehemu hawana dira, na bila dira chombo cha usafiri hakiwezi kufika kule kiendako,walipewa ushauri na Kolimba lakini ajabu yaliyotokea ni drama!!!
 
We unadhani nani anafaa badala ya kulia na Migiro si umtaje tu huyo unayemwakilisha. After all Mama Asha Migiro alishakutangazia kuwa anataka U-Rais? ama unaogopa kivuli chake?
Mwinyi na Mkapa walipogombea uraisi walitangaza nia zao? Sie tunachambua mada kutokana na mazungumzo yanayoendelea nchini. Sasa kama wewe umezamisha kichwa chako ndani ya mchanga na kujifanya husikii wala kuona kinachoendelea ni vema ujiondoe humu JF, usitupotezee wakati na pumba zako sizizo na msingi unazoona ni worth ku-post. Period.
 
Tanzania itakuwa imevurugwa mno, itahitaji mtu makini, serious, mwenye busara na ukali wa kiasi kuirudisha katika mhimili unaostahili - mtu wa namna ya Kagame-Kagame hivi; no-nonsense president. (Mara nyingine natamani Kagame awe raisi wa kwanza wa East Africa).

Makamanda hamjitambui, leo hivi kesho vile
 
Makamanda hamjitambui, leo hivi kesho vile

upload_2018-3-14_10-16-52.png


Hahaha! Mkuu unamiss point moja muhimu sana katika nilichosema, nadhani kabla hata Magufuli hajawa raisi wa Tanzania. Hata leo hii nitasema hivyo hivyo;

Tanzania itakuwa imevurugwa mno, itahitaji mtu makini, serious, mwenye busara na ukali wa kiasi kuirudisha katika mhimili unaostahili - mtu wa namna ya Kagame-Kagame hivi; no-nonsense president. (Mara nyingine natamani Kagame awe raisi wa kwanza wa East Africa).

Sasa, soma tena kwa makini utaona kwamba bado hatujafikia pale niliposema tunahitaji kwenda. Au sema wewe, tumefika? Jaribu ku-score, out of 100%
  • Makini?
  • Serious?
  • Mwenye busara?
  • Ukali wa kiasi?
 
Back
Top Bottom